[wanabidii] KIGOGO WA NCCR MAGEUZI AHAMIA ACT TANZANIA

Tuesday, July 22, 2014
BWANA PETER KATUNKA AJIUNGA NA ACT-TANZANIA AKITOKEA NCCR-MAGEUZI

Bwana Katunka alikuwa:-
1.Katibu wa Jimbo la Kinondoni Chadema mwaka 2000-2004. 

2.Katibu Wilaya Kinondoni Chadema 2004-2009. 

Mwaka 2009 alihamia NCCR-Mageuzi pamoja na kina David Kafulila baada ya matatizo yanayoendelea kuisumbua Chadema mpaka Leo kuwakuta. 

Alipofika NCCR-Mageuzi Mbatia akamuomba ashiriki kampeni zake Jimbo la Kawe kwa karibu kabisa kutoka na uzoefu wake na uwezo wake kiutendaji. 

Peter Katunka karibu ACT,
Karibu mzalendo,
ACT Taifa Kwanza Leo na Kesho.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments