Leo nimeshuhudia mjadara kwenye TV ya channel 5 majira ya saa kumi na mbili na kuendelea kidogo mjadara wa katiba mpya Mjumbe mmoja wa UKAWA akawa anajitahidi kutoa maelezo ya kina lakini binafsi sikupata nafasi ya kuuliza swali au kuchangia nikaona nishirikiane na wadau. Hebu nisaidieni hivi hii KATIBA MPYA ni kwa ajili ya CCM au UKAWA au WANANCHI. Hebu mnisaidie tena hivi UKAWA ipo kwa sheria gani. Nisaidie tena hivi wanaoijadiri katiba wanajua kuwa Katiba umri wake ni miaka mingapi?
Related Posts
- [wanabidii] Uhakiki wabaini wafanyakazi hewa 1,680
- [wanabidii] Top Headlines: India rejects Pakistan's video of 'spy confession'
- [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani
- [wanabidii] News Digest: Mercedes S400 launched at Rs 1.31 crore
- [wanabidii] Serikali yaipuuza Marekani
- [wanabidii] New content updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments