[wanabidii] TETESI - DR SHUKURU KAWAMBWA AMEFARIKI DUNIA

Wednesday, June 25, 2014
Habari iliyotufikia hivi punde ni kuwa waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi wa Tanzania mh. Shukuru Kawambwa amefariki dunia.... Bado tupo katika mchakato wa kuthibitisha hili... tumempigia simu ila haipokelewi. Inasemekana alikuwa safarini kuelekea mkoani Mwanza na amepata mshtuko wa ghafla..
Ukweli kuhusu habari hii tutakuletea hapa hapa

Chanzo-Fichuotz blog

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments