Jamani, wengine tupo mbali hebu anayefuatilia mkutano wa CCM atujuze maana kuna mtu kaniambia mkutano umechangamka ile mbaya. Ila hajaniambia kinachoongelewa zaidi ya kusema umechangamka, bahati mbaya simu ikakata.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments