[wanabidii] Stendi ya Mabasi ya Mikoani Mbezi Luis au Luguruni??

Thursday, March 06, 2014
Waz

Moja ya kero kubwa hapa Dar ni msongamano unaotokana na kutopangilia
miundombinu na huduma vizuri.

Kwenye magazeti ya siku za karibuni, imeripotiwa kuwa mpango wa kujenga
stendi ya mabasi yaendayo mikoani eneo la Mbezi Luis umekwama kwa sababu
eneo lile halifai kutokana na kuwepo mkondo wa maji.

Nimekuwa najiuliza kwa nini kujengwa stendi pale mahali hajapapimwa (hivyo
ni vigumu kujengwa huduma za mahoteli, nk na kumwaga maji taka)... wakati
mbele kidogo tu pale Luguruni kuna eneo kubwa limetengwa kuwa satellite city
na mpaka sasa limebaki pori? Kujenga hapo stendi kuu ya mabasi ya mikoani
pamoja na soko kubwa la jumla kungetosha kuhamasisha uwekezaji ambao ndio
ungesaidia patumike kama kituo cha huduma kama ilivyokusudiwa na kupunguza
msongamano mji mkongwe wa Dar. Dar City Council bado wanatafuta maeneo
kuweka hiyo stendi wakati Luguruni iko pori kubwa pale. Hata waliwahi
kutaka kujenga ya muda pale Chuo Kikuu Dar


Hivi humu hakuna anayehusika na haya mambo atuelimishe?


--
"Give your energy to things that give you energy.",

"Learn enough to begin and then learn as you go."


Dr. Donath R.Olomi
Chief Executive Officer
Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
Mwalimu House 7th Floor, Ilala
P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
www.imedtz.org
Mobile +255-754-296660

Publications available on the Internet

http://www.repoa.or.tz/documents/RR_12-2.pdf

http://www.businessenvironment.org/dyn/be/docs/31/BETanzania02.pdf

http://www.tanzaniagateway.org/docs/EnhancingSMEcontributiontoempandpovertyreduction.pdf

http://econpapers.repec.org/article/wsijecxxx/v_3a17_3ay_3a2009_3ai_3a01_3ap_3a103-125.htm

http://www.fek.umu.se/forskning/pub/Business.Studies/babsonpaperversion.pdf

http://www.sbaer.uca.edu/research/icsb/2011/763.pdf

http://fusionmx.babson.edu/entrep/fer/babson2001/I/I-R/I-R/i-r.htm

http://www.theigc.org/sites/default/files/EnterpriseMapofTanzania.pdf

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments