S E M I N A Z A P A S A K A KWA
V I JA NA
Miracle River - Mto wa Muujiza DSM
Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama; akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. Yohana Mtakatifu 7:37-38
LENGO LA SEMINA: Mungu anawaiteni mnywe maji safi, maji matakatifu yapatikanayo kwake, na kuyashiriki vile vile. Amewaiteni ninyi muinuliwe, muwe na furaha na kuimarishwa kwa ajili ya kusudi lake. Mnahitajiwa kunywa mara kwa mara maji yake ambayo yatawapeni nguvu yake kwenu.
Vile vile natakiwa kadhalika kuyatoa maji hayo kwa wengi kama Mungu atakavyotaka. Ni Mungu aliye Hai atakayewawezesha kuwagawia watu usafi wa maji awekayo ndani yenu. Mungu hatakoma kuwapeni ninyi maji yatakayo wawezesheni ninyi kuishi. Nanyi kadhalika mtakuwa na maji ya kuwapatia wengine ambao wana kiu.
NANI AHUDHURIE: Vijana wote wa Kike na Kiume miaka 18-45 wenye maono ya kumtumikia Mungu katika maisha yao.
Awamu ya Kwanza: Tarehe 26/03 hadi 28/03/2014
Awamu ya Pili: Tarehe 16/04 hadi 18/04/2014
UKUMBI: ACMTC - Mto wa Muujiza, Temboni, Mtaa wa Upendo, DSM
Miracle River - Mto wa Muujiza
R A T I B A Y A M A F U N Z O Y A U M I S H E N I TAREHE 26-28/3 NA 16-18/4/2014
SN | SIKU/TAREHE | MUDA | SOMO/SHUGHULI | MHUSIKA |
1. | DAY 1 16/4/2014 | 2:00-3:00 | Kujisajili na Kufungua kwa Sala na Toba | Wote |
3:00-3:30 | Kujitambulisha | Wote | ||
3:30-4:00 | Uchaguzi wa Viongozi wa Semina na Sekretarieti | Wote | ||
4:00-4:30 | Matarajio ya Washiriki | Mwezeshaji | ||
4:30-5:00 | Kanuni za Semina | Wote | ||
5:00-5:30 | M A P U M Z I K O Y A C H A I | Wote | ||
5:30-6:00 | U F U N G U Z I R A S M I | Mgeni Rasmi | ||
6:00-7:00 | Madhumuni ya Semina | Mwezeshaji | ||
7:00-8:00 | M A P U M Z I K O Y A C H A K U L A | Wote | ||
8:00-9:00 | Kuinua Vijana wa Kiroho | Mwezeshaji | ||
9:00-10:00 | Vijana kama Taifa la leo na Kanisa | Mwezeshaji | ||
10:00-10:30 | Tathmini na kufunga kwa sala | Mwenyekiti | ||
2. | DAY 2 17/4/2014 | 2:00-2:30 | Kufungua kwa Sala na Toba | Wote |
2:30-3:00 | Recap day 1 | Sekretarieti | ||
3:00-4:00 | Tatizo la Vijana katika Kanisa la leo | Mwezeshaji | ||
4:00-4:30 | M A P U M Z I K O Y A C H A I | Wote | ||
4:30-5:30 | Jinsi ya Kijana kuwa na Msimamo katika Kristo | Mwezeshaji | ||
5:30-6:00 | K A Z I Z A V I K U N D I | Wote | ||
6:00-6:30 | Mawasilisho na Mjadala | Wote | ||
6:30-7:00 | Kupanda na Kuvuna katika maisha ya Ujana | Mwezeshaji | ||
7:00-8:00 | M A P U M Z I K O Y A C H A K U L A | Wote | ||
8:00-9:00 | Kuanzisha Timu za Vijana wa Kiroho | Mwezeshaji | ||
9:00-9:30 | K A Z I Z A V I K U N D I | Wote | ||
9:30-10:00 | Mawasilisho na Mjadala | Wote | ||
10:00-10:30 | Tathmini na Kufunga | Mwenyekiti | ||
3. | DAY 3 17/4/2014 | 2:00-2:30 | Kufungua kwa Sala na Toba | Wote |
2:30-3:00 | Recap day 2 | Sekretarieti | ||
3:00-4:00 | Ahadi ya Kijana ya kujitolea kumtumikia Mungu | Mwezeshaji | ||
4:00-4:30 | M A P U M Z I K O Y A C H A I | Wote | ||
4:30-5:30 | Jinsi Kijana anavyoweza Kumpeleka Yesu duniani kote | Mwezeshaji | ||
5:30-6:00 | K A Z I Z A V I K U N D I | Wote | ||
6:00-6:30 | Mawasilisho na Mjadala | Wote | ||
6:30-7:00 | Jinsi ya Kijana Kusifu na Kuabudu katika uzuri wa Utakatifu | Mwezeshaii | ||
7:00-8:00 | M A P U M Z I K O Y A C H A K U L A | Wote | ||
8:00-9:00 | Jinsi ya Kijana kutengeneza madhabahu ya kusifu na kuabudu | Mwezeshaji | ||
9:00-9:30 | K A Z I Z A V I K U N D I | Wote | ||
9:30-10:00 | Mawasilisho na Mjadala | Wote | ||
10:00-10:30 | Sherehe ya Kufunga Semina na Vyeti kwa washiriki | Mgeni Rasmi |
Gharama: Tshs. 15,000/= kwa siku x siku 3= Tshs 45,000/= kwa Chai asubuhi, Chakula cha Mchana na Viburudisho tu.
Gharama huzihusishi: malazi, chakula cha jioni na usafiri.
Kujisajili wasiliana: Frank Materu Voda - 0754 350 752, Tigo-0715 350752, Airtel- 0782-350 752
Barua pepe: materufrank@yahoo.com
Tovuti: www.aggressivechristianity.net
0 Comments