natarajia kufungua kesi kuzuia uchaguzi wa jimbo la KALENGA IRINGA hadi pale tume ya uchaguzi itakapokuwa tayari kuitisha uchaguzi wa jimbo la chalinze kwa wakati mmoja .
majimbo hayo mawili yameondokewa na wabunge wake kwa muda wa mwezi mmoja hivyo kuitisha uchaguzi kwa nyakati tafauti ni gharama kwa walipa kodi. nitatumia mfano wa uchaguzi wa kata 27 , kwani madiwani wake walifariki kwa siku moja?
naomba wakili aliyetari kusimamia kesi hii tuwasiliane
0 Comments