[wanabidii] Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu

Tuesday, February 25, 2014
Katika hali ya kuonyesha Uhai wa Chadema kuelekea 2015 ni kukatisha tamaa na kumpa hofu ya anaekiuguza chama hicho japo sio busara kumkataza mgonjwa anaekalibia kufa kunywa dawa na kumpa moyo atapona tuu japo moyoni unajua lazima afe Madiwani wawili wa chadema wameamua kujiuzulu Madiwani hao wanaojulikana kwa jina la 

1.) ZACHARIA MFUKO Wa kata ya MASEKELO na 

2.) SEBASTIANI PETER Wa kata ya NGOKORO

Sababu walizozitoa madiwani hao ni kushoshwa na uongozi kandamizi wa Freeman Mbowe na jopo lake huku wakiumizwa na siasa za chama zao za kutaka umaarufu kuliko kuwatumikia watanzania akiongea kwa jaziba SEBASTIANI PETER Wa kata ya NGOKORO "alisema Chadema inapoteza mvuto kwa watanzania hasa baada ya kutumia chopa tatu na milion mia tisa za chama hicho huku kikiambulia kata tatu tuu " lakini mpaka sasa hakuna kikao kilichoeleza na kufanya tathimini kwa nini chama kimepoteza kiasi hicho.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments