HATIMAYE aliyekuwa mhariri wa Tanzania Daima, Absalom Kibanda na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi, Theophil Makunga wameachiwa huru na Mahakama ya Kisutu muda huu. Wahariri hao pamoja na mwandishi wa makala Samsoni Mwigamba walifunguliwa mashitaka ya uchochezi tangu mwaka 2011, kutokana na makala iliyoandikwa na Mwigamba ikisema 'waraka kwa askari wote wa Tanzania' na kuchapwa katika gazeti la Tanzania Daima.
Related Posts
- [wanabidii] IPTL/PAP YAMVAA KAFULILA
- [wanabidii] [GazaArk] Support for Gaza exports: product payments & ongoing solidarity
- [wanabidii] Press Releases: Assistant Secretary of State for Economic and Business Affairs Charles Rivkin, U.S. Permanent Representative to the Organization of American States, and National Summit Coordinator Ambassador Carmen Lomellin Travel to Trinidad and Tobago
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] Afrique - Nissan : Yaya Touré rejoint Nissan en tant que nouvel ambassadeur mondial
- [wanabidii] Vodacom lawamani kuhusu usalama wa fedha za wateja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments