[wanabidii] he! chadema ni wanafiki kumbe?????

Tuesday, November 05, 2013
Mbunge wa Arusha amwita mbunge mwenzake hadharani kuwa Zitto ni mnafiki alikuwa anapinga posho kumbe anachukua kwa  mlango wa nyuma.....tunachokikumba wengine ni kwamba suala la kuchukua Posho lilipojitokeza  bungeni Mwaka juzi wabunge  wote wa CHADEMA AKIWEMO KIONGOZI wao walipinga hizo posho wakatishia kuzisusia ni John Magale Shibuda peke yake 

Topic: Shibuda achangia bajeti ya waziri mkuu; ataka posho ziongezwe kwa jina jipya

Shibuda achangia bajeti ya waziri mkuu; ataka posho ziongezwe kwa jina jipya

Kaanza kwa kutoa angalizo kuwa atakayoongea hata kama yatawauzi wengine ni kutofautiana kimawazo tu
Last edited by Donyongijape; 28th June 2011 a
wengine....


Wabunge CCM Waomba Kuongezwa Mishahara • Mnyika Apinga, Ataka Posho Zifutwe, Lissu Awafunda

Share this :

Related Posts

0 Comments