[wanabidii] ZITTO AWA MBOGO BAADA YA WAHAMIAJI HARAMU KUKAMATWA

Wednesday, September 04, 2013
Nimejulishwa kuwa Watu wa Kigoma wanaotoka jimbo la Kigoma Kaskazini wanaoishi Tegeta Dar es Salaam wamekamatwa kwamba ni wahamiaji haramu. Hii operesheni dhidi ya wahamiaji haramu inaweza kutugawa tusipokuwa makini. Nimempigia simu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mkuu wa Uhamiaji kuwaeleza masikitiko yangu na kutaka Watanzania hao waachiwe mara moja. Nawaomba watu wa Kigoma wanaoishi Dar es Salaam watulie wakati tunatafuta suluhisho la jambo hili.

By Zitto Kabwe

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments