[wanabidii] Siku ya Pili ya Tamasha la Jinsia Tanzania 2013

Thursday, September 05, 2013
Siku ya Pili ya Tamasha la Jinsia Tanzania 2013

[caption id="attachment_37342" align="aligncenter" width="632"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0995.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0995.jpg" alt="" title="Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi akichangia mada kwenye moja ya semina anuai zinazoendelea katika Tamasha la jinsia 2013 linalofanyika jijini Dar es Salaam." width="632" height="480" class="size-full wp-image-37342" /></a> Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi (katikati) akichangia mada kwenye moja ya semina anuai zinazoendelea katika Tamasha la jinsia 2013 linalofanyika jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_37341" align="aligncenter" width="570"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0806.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0806.jpg" alt="" title="Mmoja wa marafiki wa TGNP kutoka nchini Kenya akiwasilisha mada kwenye Tamasha la jinsia 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="570" height="480" class="size-full wp-image-37341" /></a> Mmoja wa marafiki wa TGNP kutoka nchini Kenya (aliye simama) akiwasilisha mada kwenye Tamasha la jinsia 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_37335" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0182.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0182.jpg" alt="" title="Washiriki wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam wakifuatilia mada anuai kwenye semina mbalimbali zinazowasilishwa kwenye tamasha hilo." width="640" height="387" class="size-full wp-image-37335" /></a> Washiriki wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam wakifuatilia mada anuai kwenye semina mbalimbali zinazowasilishwa kwenye tamasha hilo.[/caption][caption id="attachment_37334" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0173.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0173.jpg" alt="" title="Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani ni mmoja wa wawasilishaji mada kutoka asasi ya Watoto Arts Organization -WAAO (aliyesimama kati ya watoto) akizungumza na watoto kwenye tamasha hilo." width="640" height="403" class="size-full wp-image-37334" /></a> Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani ni mmoja wa wawasilishaji mada kutoka asasi ya Watoto Arts Organization -WAAO (aliyesimama kati ya watoto) akizungumza na watoto kwenye tamasha hilo.[/caption]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0204.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0204.jpg" alt="" title="Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani ni mmoja wa wawasilishaji mada kutoka asasi ya Watoto Arts Organization -WAAO akizungumza na watoto kwenye tamasha hilo" width="640" height="428" class="aligncenter size-full wp-image-37336" /></a>[caption id="attachment_37337" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0206.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0206.jpg" alt="" title="Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani watoto wakiwa katika somo la vitendo namna ya kuandaa moja ya vyakula rahisi." width="640" height="428" class="size-full wp-image-37337" /></a> Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani watoto wakiwa katika somo la vitendo namna ya kuandaa moja ya vyakula rahisi.[/caption][caption id="attachment_37329" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0122.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0122.jpg" alt="" title="Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani watoto wakipata mafunzo kwa mmoja wa wawasilishaji mada kutoka TGNP." width="640" height="480" class="size-full wp-image-37329" /></a> Kundi la watoto nalo lilipata fursa ya kufundishwa masuala mbalimbali katika tamasha hilo. Pichani watoto wakipata mafunzo kwa mmoja wa wawasilishaji mada kutoka TGNP (aliyesimama kushoto).[/caption]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0768.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0768.jpg" alt="" title="Moja ya kikundi cha sanaa kikifanya igizo kuonesha wanatamasha uzembe wa wafanyakazi katika taasisi za umma anuai muhimu nchini zinazogusa maisha ya kila siku ya Wananchi kihuduma." width="640" height="460" class="aligncenter size-full wp-image-37338" /></a>[caption id="attachment_37339" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0778.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0778.jpg" alt="" title="Moja ya kikundi cha sanaa kikifanya igizo kuonesha wanatamasha uzembe wa wafanyakazi katika taasisi za umma anuai muhimu nchini zinazogusa maisha ya kila siku ya Wananchi kihuduma." width="640" height="383" class="size-full wp-image-37339" /></a> Moja ya kikundi cha sanaa kikifanya igizo kuonesha wanatamasha uzembe wa wafanyakazi katika taasisi za umma anuai muhimu nchini zinazogusa maisha ya kila siku ya Wananchi kihuduma.[/caption][caption id="attachment_37340" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0804.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0804.jpg" alt="" title="Baadhi ya wawasilishaji mada wakizungumza na wana semina katika tamasha la jinsia linaloendelea jijini Dar es Salaam." width="640" height="451" class="size-full wp-image-37340" /></a> Baadhi ya wawasilishaji mada wakizungumza na wana semina katika tamasha la jinsia linaloendelea jijini Dar es Salaam.[/caption]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0160.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0160.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="640" height="428" class="aligncenter size-full wp-image-37333" /></a><a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0151.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0151.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="640" height="404" class="aligncenter size-full wp-image-37332" /></a><a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0121.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0121.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="640" height="406" class="aligncenter size-full wp-image-37328" /></a><a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0148.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0148.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="640" height="428" class="aligncenter size-full wp-image-37331" /></a><a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0144.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0144.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="640" height="428" class="aligncenter size-full wp-image-37330" /></a>[caption id="attachment_37327" align="aligncenter" width="614"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0114.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0114.jpg" alt="" title="Warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam." width="614" height="480" class="size-full wp-image-37327" /></a> Picha mbalimbali juu ni warsha mbalimbali zikifanyika kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 linalofanyika viwanja vya TGNP, Mabibo jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_37344" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0450.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0450.jpg" alt="" title="Maonesho ya bidhaa anuai zinazotengenezwa na vikundi vya wajasiriamali" width="640" height="426" class="size-full wp-image-37344" /></a> Maonesho ya bidhaa anuai zinazotengenezwa na vikundi vya wajasiriamali[/caption][caption id="attachment_37343" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0448.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0448.jpg" alt="" title="Maonesho ya bidhaa anuai zinazotengenezwa na vikundi vya wajasiriamali" width="640" height="426" class="size-full wp-image-37343" /></a> Maonesho ya bidhaa anuai zinazotengenezwa na vikundi vya wajasiriamali[/caption][caption id="attachment_37326" align="aligncenter" width="640"]<a href="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0066.jpg"><img src="http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/09/DSC_0066.jpg" alt="" title="Mmoja wa washiriki wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 (kulia) akiangalia moja ya bidhaa maalumu zinazouzwa na TGNP ndani ya banda la mtandao huo." width="640" height="439" class="size-full wp-image-37326" /></a> Mmoja wa washiriki wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 (kulia) akiangalia moja ya bidhaa maalumu zinazouzwa na TGNP ndani ya banda la mtandao huo.[/caption]

_________________________________________________________
Joachim Mushi, Mhariri Mkuu wa gazeti tando la Thehabari.com
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066/ 0786 030066/ 0756 469470
Web:- www.thehabari.com  
          http://joemushi.blogspot.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments