[wanabidii] NAUNGA MKONO KENYA KUJIONDOA ICC

Monday, September 09, 2013
Ndugu zangu ,

Pamoja na kwamba siungi mkono vurugu zilizotokea nchini Kenya mwaka 2007 baada ya uchaguzi hii isiwe sababu ya mie kuunga mkono hii mahamana ya kimataifa ya ICC na mkataba wao wa ROMA .

Ndugu zetu jirani zetu wa Kenya wameamua kujiondoa kwenye mkataba huu wa roma na kusisitiza kwamba wakati wanaingia kwenye mkataba huo hakukuwa na katiba ya sasa na mambo mengi zaidi ya kikatiba hayakufuatwa kwahiyo wameona bora wajiondoe .

Mie naungana na wakenya naunga mkono nchi ya jumuiya ya afrika mashariki kuamua kujiondoa kwenye mahakama hii , inapaswa kesi zinazohusu mwanachama wa jumuiya zishugulikiwe na mahakama za jumuiya au zile za umoja wa afrika haipaswi kwenda zaidi ya hapo .


--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Related Posts

0 Comments