[wanabidii] magaidi tena kenya,kituo cha polis Thursday, September 26, 2013 wanabidii Taarifa kutoka nchini kenya zinasema kuwa leo asubuhi katika mji wa mandera magaidi wameteka kituo cha polisi na kuua askari pamoja na kuchoma magari 11,hadi sasa polisi watatu wamedhibitika kufariki. Share this : Digg Linkedin Stumbleupon Delicious Tumblr BufferApp Pocket Evernote
0 Comments