Kwa kugundua umuhimu wa Afya na matatizo yanayowakabili ndugu zetu walio magerezani (WAFUNGWA)
ChingaOne blog na marafiki zake wanakualika kwenye kampeni ya
VAA KANDAMBILI
Ukiwa kama Ndugu, Rafiki wa karibu na Jamaa wa Wafungwa au ChingaOne blog
tunaomba mchango wako katika kampeni hii
Tunaomba msaada wa pea kuanzia moja ya Kandambili ili iweze kuwasaidia ndugu zetu
leo na kesho
Changia sasa! Changia leo!
kwani Afya ni haki ya kila mtu
kwa maelezo kuhusu kuchangia Kampeni hii tuandikie kwa barua pepe
chingaone @gmail.com
au piga simu kwa No.
0712221744
0787221744
0754798920
Afya ni haki ya watu wote
Asanteni Sana!
Jennifer Livigha
Founder & Team Leader
0712221744, 0787221744, 0754798920
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments