Kamanda Ras Makunja na Bundi wake ! Kwa nini ? anawapenda sana !
Bundi wa Ras Makunja hawana ukorofi na mtu,
Baada ya kujichukulia tuzo ya kimataifa ya
bendi bora ya kiafrika barani ulaya,mkuu wa kikosi kazi cha Ngoma Africa band aka FFU kamanda
Ras Makunja alikutwa akicheza na bundi wake katika maskani yake "Anunnaki Empire" alipoulizwa
kulikoni awapende bundi hao ! kwanini asifuge ndege kama kasuku ? Kamanda Ras Makunja alijibu heti "Bundi wake" hawana ukorofi na mtu
ni ndege wenye upendo tuu tena watulivu kuliko Kasuku,Kamanda Ras makunja amedai kasuku wana kelele sana..lakini Bundi wakimya na wapole.
Alipoendelea kuhojiwa akaamua kuuchuna.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments