yaliyokithiri ya watu
Kumwagiwa Tindikali, na kwa kuwa hatujui nini kitatutokea.
Kwa wale ambao wanajiona
wako Vulnerable kumwagiwa
ACID (Kumwagiwa Acud
Prones), Nimeona ni Bora Nije na
Kaushauri kadogo ambako kanaweza kuwa Msaada katika kujipatia Huduma ya Kwanza.
Kwa vile tunajua (From
Chemistry) kuwa Tindikali (Acid) ikichanganywa na Base
(Alikali) Matokeo huwa Chmvi
na Maji. Hii ni Property ya Acid na Base.
Mathalani, Hydrochrolic Acid (HCL) ikichangnywa na Sodium Hydroxide
(NA0H), Zao huwa ni Maji (H20) na
Sodium Chroride, Chumvi (NACL)
Hivyo Basi, Muda umefika. sasa niwakati kuanza kutembea na
kikopo cha alkali,ukimwagiwa
tindikali na wewe unai-
neutralize kwa kujimwagia kidogo!
Kazi ni kwako! Hutaki unaacha.
--
"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia Mtema.
--
Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
Skype: Mohamedi.Mtoi
Twitter: @mohamedimtoi
Facebook: http://www.facebook.com/mouddymtoi
--
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments