[wanabidii] tuwekeze mtwara

Tuesday, July 30, 2013
dear all.
nipo mtwara kwa sasa, kuna opportunities kibao za uwekezaji hapa jamani, acheni kukomaa na dar.
Hata hivyo dar kuna vitu hivi kwa anetaka
1 Bar/guest ya kupanga ipo mbezi mwisho jirani na shule ya msingi mbezi...bei m 1.6 kwa mwezi na maongezi ruksa
2: Nyumba ya kisasa sana inauzwa ipo tandale jirani na shule ya wajapan na hotel ya mtanzania ina vyumba 5 zote zina a/c , kuna fence ya ukuta na electric wire, maji na parking nzuri, sebule la kisasa nk...modern house...anauza haraka bei m 100 top selling price haishuki labda kiduchu sana. call me soon for more details, hii ukikubaliana na mimi tu hakuna atakaekuzuia tena.
3: plots, mashamba, majumba/nyumba tunazo za bei tofaut tofauti maeneo mbali mbali...karibuni sana
4: Nyumba za bei nafuu tabata segerea m 50 tu zipo tofaut tofaut za kisasa pia zinauzwa
5 Ghorofa la kisasa tu lipo masaki mbuyuni bei usd laki 4 tu, inauzwa haraka
6: Tunauza pia na kukodisha au kupangisha yard/ magodown seehem mbali mbal jijini dar na ars



Atakahitaji jamani anipigie au anitumie ujumbe tu au email
Lesian mollel
ALJ Gen Co ltd
Box 26276
Da r es laaam
cell +255 652 31 41 81

Share this :

Related Posts

0 Comments