Suala sio kuwagawanya watu, bali suala ni kwamba "What impact will it have to other banks" Will the other banks be able to compete-as most customers will start to run away? Na matokeo yake kuanza kuanguka kwa benki and thus increase unemployments. Hayo ndiyo mambo mnaweza kuongelea na sio again kuanza kutafuta chokochoko za dini. Shame on you people, John Mahaba na wengine walio sensitive na mambo ya dini dini. Tafuteni sababu za misingi ya kitaifa iwapo mnaipenda nchi ambayo inahitaji investors kutoka pande zote za dunia.
Mtanganyika
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments