Watanzania Wanasumbuliwa Sana na balozi za EU hapa nchini!
Juu ya upatikanaji wa VISA za safari
Imebainika kuwa balozi za nchi za ulaya zilizopo hapa nchini,zikiwemo
balozi za Ujerumani,Ubelgiji,Netherland na nyinginezo,
Zimekuwa zikiwasumbua sana raia wa Tanzania wanaohitaji Visa za kusafaria kwenda katika nchi za ulaya.
Pamoja na watanzania wanatimiza masharti yote yanayohitajika katika kuomba Visa lakini balozi hizo zimekuwa bado zikiwawekea vikwazo visivyo
katika sheria za maombi ya Visa.mfano mtanzania anapo omba Visa ubalozini atapeleka barua ya mwaliko na bima,pamoja na benk statment,
barua ya kazini,pay insleep za mishaara.
Heti bado afisa balozi anadai barua ingine itoke kwa mwenyeji kuonyesha
milijuana vipi? na mgeni mtanzania!
Kwa kweli hakuna uhusiano mzuri katika ya raia na maofisa wa visa wa balozi za EU nchini Tanzania.
Watanzania wanapoomba Visa wanasumbuliwa sana sana za ulaya hapa nchini.
Serikali inaweza kuwa na uhusiano mzuri na balozi hizo lakini raia wa Tanzania hawathaminiwi kabisa na balozi za EU hapa tanzania
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments