Ndugu zangu,
Muungano wa Nchi mbili ukizaa Serikali Mbili haujawa Muungano. Muungano wa Nchi MBILI huzaa nchi MOJA. Ukishindwa hilo, basi, utazaa nchi TATU.
Na hapo, Nchi Mbili zitakuwa zimeunda SHIRIKISHO au UMOJA fulani, ni kama EU. Mfano wa maji ya mto hautupi maana ya halisi na kwa uhalisia tulio nao. Maana, hata mito ikiungana, hatimaye hutengeneza mto mmoja. Mto Ruaha, Lukosi inapoungana hatimaye hupatikana mto Rufiji. Mto Rufiji hauingii bahari ya Hindi ukiwa na majina matatu.
Naam, mwanadamu havuki mto mara mbili. Ukishayakanyaga maji ya mto, basi, yamepita. Ukirudi njia hiyo utakuwa unavuka mto mwingine. Ndio maana Afrika mto mmoja huwa na majina tofauti.
NCHI NI KITU KINGINE. Nchi huwa na jina moja tu, mengine ni ya utani.
Good Morning!
Maggid,
Iringa.
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments