[Mabadiliko] COME BACK YA MWANAHARAKATI NOVA KAMBOTA....NINI USHAURI WAKO?

Monday, May 13, 2013
Baada ya kuwa nje ya tasnia ya kublog kwa takribani miaka mitatu sasa kutokana na mizunguko ya dunia hatimaye najiandaa kurudi rasmi katika ulimwengu wa kublog ndani ya kipindi cha mwezi miezi miwili kutoka sasa.

Ikumbukwe kuwa nimeanza kublog tangu 15 Agosti mwaka 2008, hata hivyo kuna siri leo nitawamegea ndugu zangu watanzania;

-Mimi nimejaaliwa kipaji cha kuchambua maswala ya siasa
-Pia nachambua maswala ya soka
-pia nachambua maswala ya kihistoria
-Mimi pia ni mtunzi wa Riwaya
-Ni mtunzi wa mashairi
-Mwandishi wa vitabu vya kihistoria

Sasa nataka kuanzisha blog mpya ya kisasa? je nijikite kwenye nini kati ya hayo niliyoeleza hapo juu? je blog hiyo iweje? TAFADHALI NAOMBA TOA MAONI NA USHAURI WAKO KWANGU, NAHESHIMU MAWAZO YENU MAANA BILA NYINYI NISINGEKUWA HUYU NOVA KAMBOTA MWANAHARAKATI. Nitahakikisha nakusanya maoni yote kutoka blog zote na kuyafanyia kazi, Asante sana!

ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI SANA...

Ni mimi Mwanaharakati Nova Kambota

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments