Akaendelea kuonya kwamba mfanyakazi yeyote yule wa SERIKALI awe Mwalimu, Daktari au yoyote atakayeonekana anashabikia chama chochote cha cha UPINZANI, CCM itamshughulikia kwa kumfukuza kazi.
Hivyo wafanyakazi wote wa Serikali wanatakiwa kushabakia chama tawala.
Hizi ni kauli za mtu mwenye hadhi ya daktari wa falsafa. (Phd), zina tenge zina tia huruma zina tia kinyaa!
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments