[wanabidii] Ajira viwandani

Sunday, January 20, 2013
Ndugu Yona
kweli ni vizuri tujiulize. Lakini kwa vile umeelimika swala hili linahusu Fair competition for all parties. Rushwa na kutofuata sheria kunafanya imported labour iwe cheap. Nenda kwenye viwand hivyo ukiona wageni wenye work permit bjoo unhukumu. Walio wengi hawna work permit wanaishi ndani ya viwanda wanatoka nje usiku tu. Kwa kifupi kama competition ingekuwa fair kuna wataalamu wengi wa viwanda vilivyokuwa vya kizalendo ambao wengeweza ku compete Ukitaka data za cubic mita ya miti inayoteketea viwandani hapo tunaweza kukutafutia. Kwa nini boiler zisitumie alternative source of energy ambayo ni rafiki wa mazingira?

----------
Sent via Nokia Email

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments