Wadau nomba minijuze.
Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya sasa mtu anaruhusiwa kugombea uraisi wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania ni miaka minganpi? Mtu mgombea anatakiwa awe na kiwango gani cha elimu
Ntashukuru sana
Fred
0 Comments