SAKATA ya mauwaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten mkoani Iringa marehemu Daudi Mwangosi limeendelea kuchukua sura mpya mkoani Iringa baada ya askari polisi anayetuhumiwa kuhusika na mauwaji hayo kufichwa katika gari maalum na askari wenzao .
Tukio hilo lilitokea leo wakati mtuhumiwa huyo akifikishwa mahakamani huku askari polisi hao muda wote walionekana kuzunguka huku na kule katika mahakama hiyo kama njia ya kuwathibiti wanahabari waliokuwepo mahakamani hapo wasipate nafasi ya kumpiga picha mtuhumiwa huyo ambaye ni askari mwenzao mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23)
http://wotepamoja.com/archives/10605#.UK0G0cPTe-0.gmail --
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk
CORE 2 DUO
2.0 GHZ CPU
2 GB RAM
DVD/CD - RW
WINDOWS 7 /WINDOWS XP
WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0718 637905
0786 806028
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 Comments