[wanabidii] Mapya Yaibuka Sakata La Mtuhumiwa Wa Mauaji Ya Mwandishi - Mwanzo

Wednesday, November 21, 2012
SAKATA ya mauwaji ya aliyekuwa  mwandishi  wa habari  wa  kituo cha Chanel Ten mkoani Iringa  marehemu  Daudi Mwangosi limeendelea  kuchukua sura mpya mkoani Iringa  baada ya askari  polisi  anayetuhumiwa kuhusika na mauwaji hayo kufichwa katika gari maalum na askari  wenzao .
Tukio  hilo  lilitokea  leo wakati mtuhumiwa huyo akifikishwa mahakamani huku askari  polisi hao  muda  wote  walionekana kuzunguka huku na kule katika mahakama hiyo kama njia ya  kuwathibiti  wanahabari  waliokuwepo mahakamani hapo wasipate nafasi ya  kumpiga  picha mtuhumiwa  huyo ambaye ni  askari mwenzao mwenye  namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23)

http://wotepamoja.com/archives/10605#.UK0G0cPTe-0.gmail

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk
CORE 2 DUO
2.0 GHZ CPU
2 GB RAM
DVD/CD - RW
WINDOWS 7 /WINDOWS XP
WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0718 637905
0786 806028
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments