[wanabidii] Lissu kumshtaki rais Kikwete bungeni - Mwanzo

Wednesday, November 07, 2012
MBUNGE wa Singida Mashariki Tundu Lissu (CHADEMA), ambaye pia ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, amesema anakusudia kuleta hoja binafsi bungeni kumshitaki Rais Jakaya Kikwete kwa madai kuwa amevunja katiba kwa kuteua majaji wasio na sifa. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Lissu alisema anakusudia kufanya hivyo katika Bunge la Februari mwakani baada ya rais kuendelea kuteua majaji wasio na sifa.
http://wotepamoja.com/archives/10160#.UJoqN6odheM.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments