[wanabidii] Visa Ya Tanzania kutoka Umoja wa ulaya

Wednesday, September 19, 2012
Habari wanabidii
Nina mgeni anatoka Nchi za umoja wa ulaya kuja Tz. Anapitia NBO kabla ya kutua MZA. Je mtu huyu anahitaji temporary Visa akiwa airport kubadili flight ya kutua Mza.
Wabeja sana 

Share this :

Related Posts

0 Comments