[wanabidii] Visa Ya Tanzania kutoka Umoja wa ulaya Wednesday, September 19, 2012 Habari wanabidiiNina mgeni anatoka Nchi za umoja wa ulaya kuja Tz. Anapitia NBO kabla ya kutua MZA. Je mtu huyu anahitaji temporary Visa akiwa airport kubadili flight ya kutua Mza.Wabeja sana Share this : Digg Linkedin Stumbleupon Delicious Tumblr BufferApp Pocket Evernote
0 Comments