[wanabidii] Nani anafahamu Matokeo Ya Umeya Manispaa ya ILemela

Friday, September 28, 2012
Habari wadau kwa mujibu wa jamii forum Mabula amekuwa Meya wa jiji la Mwanza kwa kura 11-8 za chichibera.

Nani anafahamu matokeo ya Umeya wa Manispaa ya Ilemela? 
Ahsanteni

Share this :

Related Posts

0 Comments