[wanabidii] SERIKALI SIKIVU

Friday, August 10, 2012
Natafuta kitu cha kusifia ambacho Serikali yetu imekifanya kwa kiwango cha kuridhisha. Natamani kuandika japo post moja ya kusifia serikali yetu "sikivu"! Nisaidie kama unafahamu jambo lolote lililofanywa na serikali na liko katika kiwango safi! Ninataka kupumzika kukosoa tu, nichukue likizo kidogo, siku 2/3. Ye yote mwenye jambo LA KURIDHISHA lililofanywa na serikali anisaidie!

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments