[wanabidii] KUJITOA KATIKA HUDUMA

Wednesday, July 16, 2014
Comrades;
Tafadhali kama kuna watu wa Vodacom/au anayefahamu formula ya kujitoa katika huduma za miito ya simu naomba anisaidie tafadhali.
Sijui niliingiaje huko lakini siitaji huduma hii,mana nakatwa fedha kwa mtindo ambao haueleweki
 
Reuben

Share this :

Related Posts

0 Comments