[wanabidii] Neno Fupi La Usiku; Shaaban Robert Na Wasadikika...

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Neno Fupi La Usiku; Shaaban Robert Na Wasadikika...


Shaaban Robert anaandika; " Wasadikika wana desturi ya kutafuta fimbo baada ya kuumwa na nyoka. Tumekwisha umwa na nyoka. Ni kwa matendo yetu mabaya ya zamani.

Nyoka mwenyewe amekwishakimbia. Hapatikani kwa kujilipiza kisasi, lakini, sumu yake imebakia katika jeraha tulilolipata. Sasa, shauri lililo jema ni kuzuia sumu hii isienee miilini mwetu ikaleta kifo.

Maovu yana hatari kubwa kukaa kati yetu. Tumedumu nayo kwa muda mrefu. Hayakutuletea faida ila hasara, huzuni na kilio siku zote."- Shaaban Bin Robert.

Maggid.
Iringa.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000, raia wa Kenya, Joshua Mulundi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kosa la kutoa taarifa za uongo.
Mulundi alidaiwa kutoa taarifa za uongo kwa ofisa wa polisi katika Kituo cha Polisi Oystebay jijini Dar es Salaam, kwamba yeye na wenzake walikodiwa kwenda kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, Alocye Katemana, akisema kuwa kesi hiyo ilikuja jana kwa ajili ya upande wa Jamhuri kumsomea maelezo ya awali mshitakiwa huyo.
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, alimsomea maelezo ya awali mshitakiwa na baada ya kumaliza, mshitakiwa huyo alikiri kutenda kosa hilo kinyume cha kifungu cha 122 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002.
Kabla ya Hakimu Katemana kutoa adhabu yake aliutaka upande wa Jamhuri uzungumze lolote kama wanalo, ambapo Wakili Kweka alidai kuwa anaiomba mahakama itoe adhabu inayostahili.
Kwamba, kwa mazingira ya kesi hiyo, hali iliyojengeka katika jamii kuhusu sakata la kutekwa na kuteswa kwa Dk. Ulimboka ni tete na kuwa si vema kwa mtu mzima kama huyo kutoa taarifa za uongo polisi.
Aidha, kwa upande wake Mulundi, alieleza kuwa yeye ni raia wa Kenya na kwamba lengo na madhumuni ya kuja Tanzania ni kuja kufanya biashara ya kuuza nguo.
Alidai kuwa Juni 27, mwaka jana akiwa Arusha, alitekwa na mtu asiyemfahamu na kumwamuru afanye kila jambo atakalomtaka, kwamba yeye alikubali kufanya yote aliyoamriwa na mtu huyo ambaye alikuwa na silaha.
"Mheshimiwa hakimu kwa kuwa nilikuwa naogopa vitisho hivyo nilifanya kama alivyokuwa akinielekeza na baadaye mtu huyo aliyekuwa ameniteka akanipeleka hadi Tanga sehemu ambayo sikuwa nimewahi kufika.
"Akanieleza kuwa yeye ni Mkristo na kwamba ananituma kwa Mkristo mwenzie na akanipa taarifa hizo nizipeleke kwa Mkristo mwenzake na taarifa hizo ndizo zilizosomwa hapa mahakamani na mwendesha mashitaka wakati akinisomea maelezo ya awali," alisema.
Alidai kuwa alikwenda hadi katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Kawe, Tanganyika Parkers na kumkuta Mchungaji Joseph Kiliba ambaye yule mtekaji alimwagiza amfikishie taarifa hizo.
Mulundi aliongeza kuwa alimpelekea taarifa zile mchungaji kama alivyoelekezwa lakini baada ya hapo alijikuta anakamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Oystebay, ambako alirudia taarifa ile na kisha kufunguliwa mashitaka.
Akitoa adhabu yake baada ya kusikiliza maombi ya pande zote mbili, Hakimu Katema alisema kwa kuwa mshitakiwa amekiri kosa kabla hata mashahidi wa Jamhuri hawajaletwa kutoa ushahidi wa kesi hiyo, mahakama yake inamhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000.
Hata hivyo mwandishi wa habari wa Radio Times, Chipangula Nandule, aliyekuwapo mahakamani hapo alijitolea kumlipia faini hiyo.
Lakini sekunde chache baadaye askari polisi walimkamata Mulundi, wakidai ni raia wa Kenya, hivyo wanamshikilia ili waweze kuandaa taratibu za kumrejesha nchini kwao.
Agosti 6, mwaka huu, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), alimfutia Mulundi kesi ya kujaribu kumuua na kumteka Dk. Ulimboka.

Source: TANZANIA DAIMA

[Mabadiliko] Al Shaabab Na Chimbuko la Ugaidi ( II)

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[Mabadiliko] Al Shaabab Na Chimbuko la Ugaidi ( II)

Tumeshajadili maana ya ugaidi na aina  za ugaidi kwa kuzitolea

mifano.  Hapa tutajadili juu ya chimbuko la ugaidi na kwa kutoa mifano. Na kama nilivyobainisha huko nyuma, tutaanza pia kuona mahusiano ya mwezi Septemba na vitendo vya kigaidi.

 

Wa- Salote

Kwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita kikundi cha Wayahudi kilipambana vikali
dhidi ya himaya ya Waroma katika iliyokuwa Palestina ya zamani.  Kikundi
hiki kiliitwa Salote. Ni  wenye hasira kali ikiwa na maana pia kuwa  kilikuwa ni
kikundi cha kisiasa na kidini chenye imani kali.  Kikundi hiki kilitaka
Wayahudi wote wazingatie yote kulingana na maagizo ya dini yao.

Wasalote walipambana kisiasa dhidi ya dola ya wavamizi ya Waroma.
Wasalote waliongozwa  na Myahudi Galileo, ambaye amri yake ya kuwataka
wafuasi wake  kugoma kulipa kodi ndio ilikuwa chachu ya  kuanzisha mapambano
ya kigaidi dhidi ya wavamizi wa Kiroma. Jambo hili linashuhudiwa pia katika
maandiko matakatifu ya  Biblia juu ya kodi  katika Agano Jipya.

Hatma ya Wayahudi haikujulikana , lakini, kiongozi mpya  alijitokeza
na kuwaahidi Wayahudi  ukombozi kutoka kwenye  mikono ya wavamizi. Hatimaye,
baada ya  machafuko yaliyodumu kwa miaka sabini, Wasolote waliangamizwa 
baada ya Jerusalem kutekwa na hekalu kuangamizwa. Wasalote walirudi nyuma
hadi  kwenye vilima vya Masada.

Baada ya kushindwa huko kwa Wasalote, Wasalote wapatao elfu moja 
walijiua kwa pamoja. Wasalote waliwaua kwanza wanawake  , watoto na wazee,
baadae wanaume nao walijiua kabla ya Waroma hawajavitwaa vilima hivyo.
Inasadikiwa tukio hili lilitokea mwaka 73 baada ya Yesu Kristo.

Wa-Assassine

Miaka elfu moja baadae lilijitokeza kundi jingine la kigaidi, hawa waliitwa 
Assassine. Hawa walikuwa wafuasi wa dhehebu la dini ya Kiisamu  lililokuwa
na makao yake makuu katika  Iran ya leo. Kutoka huko Iran walimtuma kiongozi
wao aliyeitwa  Hassan Ibn Sabah, aende  katika Mashariki ya Kati yote. Huko
akafanye  mauaji ya kulipwa.

Wafuasi wa dhehebu hili walifahamika pia kwa  kuvuta bangi  kabla
hawajafanya tendo la kigaidi  kwa jina la Allah. Hapa tunaona neno
"Assassin" kwa Kiingereza na hata kwa Kifaransa,  lina maana ya "kuua."
"Assasination" kwa Kiingereza, na kwa lugha ya kiarabu linamaanisha "
Mla-bangi". Wa-assassin walikuwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia.  Vitendo
vyao vya kigaidi viliwalenga zaidi Wasuni waliochukua sehemu kubwa ya
Persia.

Kunako mwaka 1200  vitendo vya kigaidi vya Wa-assasasine  vilikoma
baada ya mjuukuu wa Djingis Khan kuangamiza ngome na makao  makuu ya
Wa-assassine.


Utawala wa hofu  1773-94

Kwa kawaida Mapinduzi ya Ufaransa uangaliwa kwa kutazama tarehe ile 
Wafaransa walipovuka mstari  wa Basti. Ni  tarehe 14 Julai 1789. Kuna historia
yenye kuelezea tukio lile la kuvamia na kuvuka mstari ule. Kiuchumi taifa la
Ufaransa lilikuwa katika wakati mgumu baada ya kushiriki vita kadhaa vyenye
gharama nyingi na pia hali ya ufalme wa nchi kutokulipa kodi ikiwemo kufanya
anasa ya kupindukia. Hali ya uchumi mbaya na mlipuko wa bei za bidhaa baada
ya vita vya gharama nyingi ndio iliyopelekea wananchi kuanzisha mapinduzi
yale.

Mfalme alikamatwa  na kufungwa gerezani baada ya jaribio lake la
kutoroka nchi kushindwa. Kati ya mwaka 1792 na Julai  1774 Ufaransa ilikuwa
chini ya  himaya ya Maximilien Robespierre. Ulikuwa ni utawala dhalimu na
uliosambaza hofu kuu kwa watu wake, " La Grande terreur" kwa lugha ya
Kifaransa. Lengo hasa la kusambaza hofu ile ilikuwa kuhakikisha madaraka ya
Serikali ile ya kimapinduzi  yanabaki chini ya walioshika himaya ya dola.

Kilikuwa ni kipindi ambacho watu walikuwa na hofu hata ya kunong'ona
kuishutumu serikali. Watoa habari walikuwepo kila kona na hata ndani ya
familia.  Inasadikiwa, kuwa Wafaransa takribani 40 000 walinyongwa  bila hata
kufikishwa mahakamani. Kosa kubwa wakati huo ambalo mtu alihukumiwa
kunyongwa ni  vitendo vyenye mwelekeo wa kupinga mapinduzi.


Magaidi  wa Kiyahudi

Mwanzoni mwa miaka ya 1900,  Mazayuni wa Kiyaudi walianzisha ujenzi wa
makazi ya Wayahaudi katika iliyokuwa Palestina ya zamani. Ni Palestina 
iliyokuwa chini ya himaya ya Ottoman. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza,  Palestina
ilikuwa chini ya udhamini wa Waingereza.

 Baada ya kampeni ya vikundi vya kishawishi vya Wayahudi , Serikali ya
Uingereza ilitangaza kuwepo kwa taifa la Kiyahudi. Lakini,   Serikali ya Uingereza ilionesha pia kutopendelea mradi ule wa ujenzi wa makazi ya Wayahudi.

Hali ile ilipelekea kuanzishwa kwa vikundi kadhaa vya kigaidi vya Wayahudi vilivyopambana na Waingereza. Wakati  wa Vita Kuu ya pili ya dunia , vingi ya vikundi hivi vilisimamisha harakati zao za kigaidi.

Baada ya Vita Kuu ya pili ya Dunia , vikundi hivyo vilianzisha tena
mashambulizi ya kigaidi kutetea kuwapo kwa taifa la Wayahudi . Moja ya
shambulizi la kigaidi la Wayahudi ni dhidi ya Hoteli ya Waingereza
iliyojulikana kama King David Hotel katika mji wa Jerusalem. Jengo la hoteli
liliangamizwa na watu 89 waliuawa.


Baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia  wahamiaji wengi zaidi wa Kiyahudi
waliendelea kuingia katika  Palestina iliyokuwa katika udhamini wa
Waingereza. Lengo  la kisiasa la Wayahudi la kuanzishwa kwa taifa la Uyahudi
  lilipelekea kuanzishwa kwa vikundi zaidi vya kigaidi vyenye  mitazamo ya
kitaifa. Viwili kati ya vikundi hivyo ni Irgun na Stern. Vikundi  ambavyo vilitumia
mbinu za kigaidi katika kuendesha harakati zao. Miongoni mwa mbinu hizo ni
matumizi ya mabomu ya barua.

Tangu mwezi Septemba  1947 hadi kutangazwa kwa taifa la Israel ,
mwezi Mei 1948, vikundi vya Irgun na Stern vilijulikana sana kwa matumizi
yake ya mabomu ya barua.

Kabla na hata baada ya kutangazwa kwa taifa la Israel, vikundi vya Irgun na
Stern,  na baadae  taifa la Israel, vimekuwa vikiendesha mashambulizi ya
kijeshi dhidi ya Wapalestina. Vitendo hivi viangaliwe kama matendo ya
kigaidi dhidi ya watu wa Palestina , ambapo, lengo kuu ni kuwafukuza wale
wote wasio –Wayahudi.

 

 Katika kufankisha malengo haya,  Israel imeendesha mashambulizi mengi
ya kigaidi katika vijiji na maeneo ya Waarabu. Takribani watu laki saba
walikimbia  makazi yao katika vita vya awali kati ya Waarabu na Waisrael. 
Watu hawa hawakuruhusiwa kurudi makwao. Hii ndio sababu Wapalestina wengi
wanaishi kwenye makambi ya wakimbizi ndani ya ardhi yao na hata katika nchi
jirani kama vile Lebanon. Itaendelea...

 

Maggid.

0754 678 252

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[Mabadiliko] Kenyan Community in Canada mourn Westgate Victims

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[Mabadiliko] Kenyan Community in Canada mourn Westgate Victims

Here's a TV clip for an event in Toronto this last Sunday. Kenyans in Ontario came together yesterday for a memorial service to mourn the victims of Westgate and to denounce terrorism.

http://www.citynews.ca/2013/09/29/sisters-injured-in-nairobi-shooting-return-to-canada/


Courage

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Fw: Nigeria attack: Students shot dead as they slept

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Fw: Nigeria attack: Students shot dead as they slept

----- Forwarded Message -----
From: "ANS@Assist-Ministries.com" <ANS@Assist-Ministries.com>
To: ASSISTNEWS@sheperd.com
Sent: Monday, September 30, 2013 3:25 AM
Subject: Nigeria attack: Students shot dead as they slept

Nigeria attack: Students shot dead as they slept
ASSIST News Service (ANS) - PO Box 609, Lake Forest, CA 92609-0609 USA
Visit our web site at: www.assistnews.net -- E-mail: assistnews@aol.com

Sunday, September 29, 2013

Nigeria attack: Students shot dead as they slept

By Dan Wooding, who was born in Nigeria
Founder of ASSIST Ministries
GUJBA DISTRICT, NIGERIA (ANS) -- The BBC is reporting that suspected Islamist gunmen have attacked a college in north-eastern Nigeria, killing up to 50 students.
In this image taken with a mobile phone, rescue workers and family members gather to identify the bodies of students killed following an attack by Islamist extremist on an agricultural college in Gujba, Nigeria, on Sunday
The students were shot dead as they slept in their dormitory at the College of Agriculture in Yobe state. The college is in the rural Gujba district.
"North-eastern Nigeria is under a state of emergency amid an Islamist insurgency by the Boko Haram group," said the BBC story. "Boko Haram is fighting to overthrow Nigeria's government to create an Islamic state, and has launched a number of attacks on schools."
Classrooms burned
Casualty figures from the latest attack vary, but a local politician told the BBC that around 50 students had been killed.
The politician said two vanloads of bodies had been taken to a hospital in Yobe's state capital, Damaturu.
A witness quoted by Reuters news agency counted 40 bodies at the hospital, mostly those of young men believed to be students.
College provost Molima Idi Mato, speaking to Associated Press, also said the number of dead could be as high as 50, adding that security forces were still recovering the bodies and that about 1,000 students had fled the campus.
A Nigerian military source told AP that soldiers had collected 42 bodies.
The gunmen also set fire to classrooms, a military spokesman in Yobe state, Lazarus Eli, told Agence France-Presse.
Boko Haram members
In May, President Goodluck Jonathan, a Christian, ordered an operation against Boko Haram, and a state of emergency was declared for the north-east on 14 May.
"Many of the Islamist militants left their bases in the north-east and violence initially fell, but revenge attacks quickly followed," the BBC story continued. "In June, Boko Haram carried out two attacks on schools in the region.
"At least nine children were killed in a school on the outskirts of Maiduguri, while 13 students and teachers were killed in a school in Damaturu.
"In July in the village of Mamudo in Yobe state, Islamist militants attacked a school's dormitories with guns and explosives, killing at least 42 people, mostly students."
Boko Haram regards schools as a symbol of Western culture.
Boko Haram is led by Abubakar Shekau. The Nigerian military said in August that it might have killed him in a shoot-out.
However, a video released last week purportedly showed him alive. Other previous reports of his death later proved to be unfounded.
Boko Haram, which has particularly targeted Christians and churches, was founded in 2002. Its official Arabic name, "Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad," means "People Committed to the Propagation of the Prophet's Teachings and Jihad."
Nicknamed Boko Haram, a phrase in the local Hausa language meaning, "Western education is forbidden," launched military operations in 2009 to create an Islamic state across Nigeria, which is said to be 50 percent Christian and 50 percent Muslim.

Share     See all ASSIST News articles at www.assistnews.net
Dan Wooding, 72, who was born in Nigeria of British missionary parents, is an award winning British journalist now living in Southern California with his wife Norma, to whom he has been married for 50 years. They have two sons, Andrew and Peter, and six grandchildren who all live in the UK. He is the founder and international director of ASSIST (Aid to Special Saints in Strategic Times) and the ASSIST News Service (ANS) and he hosts the weekly "Front Page Radio" show on the KWVE Radio Network in Southern California and which is also carried throughout the United States and around the world. Besides this, Wooding is a host for His Channel Live, which is carried via the Internet to some 192 countries. Dan recently received two top media awards -- the "Passion for the Persecuted" award from Open Doors US, and as one of the top "Newsmakers of 2011" from Plain Truth magazine. He is the author of some 45 books, the latest of which is a novel about the life of Jesus through the eyes of his mother called "Mary: My Stor y from Bethlehem to Calvary." To order a copy, go to:   this link..

** You may republish this story with proper attribution.
Send this story to a friend.


If this story has been forwarded to you, click here for your own subscription to Assist News.
If you no longer wish to receive Assist News via e-mail, click here to unsubscribe.

ASSIST News Service is Sponsored By



[wanabidii] School food, politics, and child health

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] School food, politics, and child health

This paper reflects on how understanding of school feeding has changed since the 2009 analysis conducted by the UN World Food Programme, The Partnership for Child Development and the World Bank, which was published as Rethinking School Feeding. Data on school feeding programme outcomes were collected through a literature review. Regression models were used to analyse relationships between school feeding costs (from data that were collected), the per capita costs of primary education and Gross Domestic Product per capita. Data on the transition to national ownership, supply chains and country examples were collected through country case studies.

The authors found that school feeding programmes increase school attendance, cognition and educational achievement, as well as provide a transfer of resources to households with possible benefits to local agricultural production and local market development. Low-income countries exhibit large variations in school feeding costs, with concomitant opportunities for cost containment. Countries are increasingly looking to transition from externally supported projects to national programmes. With a global turnover in excess of $US 100 billion, the authors sustain that school feeding should remain a focus of study with a view to helping countries ensure that their programmes are as cost-effective as possible.

Link:http://www.schoolsandhealth.org/Documents/School%20food,%20politics,%20and%20child%20health.pdf

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Sexuality and empowerment: An intimate connection

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Sexuality and empowerment: An intimate connection

What does sexuality have to do with women's empowerment? Research from Pathways of Women's Empowerment shows that sexuality affects women's political and economic empowerment in a number of important ways. For example, in the ways that women experience seeking election to political office, how women are treated and respected (or disrespected) in the workplace and in public, and how families and communities place expectations on how women should behave. Being exposed to sexual harassment and sexual violence and not being able to exercise choice in their sexual relationships affects women's well-being and ultimately undermines political, social and economic empowerment.

In this policy paper, we demonstrate why sexuality is so important for women's empowerment, drawing on evidence generated by research carried out by the Pathways of Women's Empowerment RPC and collaborative initiatives with the DFID-funded IDS Sexuality and Development Programme.

Link:http://www.pathways-of-empowerment.org/Sexuality%20_and_Empowerment_Policy_paper.pdf

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Climate Change 2013: The Physical Science Basis – Summary for Policymakers

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Climate Change 2013: The Physical Science Basis – Summary for Policymakers

This Summary for Policymakers (SPM) follows the structure of the Working Group I report. The narrative is supported by a series of overarching highlighted conclusions which, taken together, provide a concise summary. It is virtually certain that globally the troposphere has warmed since the mid-20th century. More complete observations allow greater confidence in estimates of tropospheric temperature changes in the extratropical Northern Hemisphere than elsewhere. There is medium confidence in the rate of warming and its vertical structure in the Northern Hemisphere extra-tropical troposphere and low confidence elsewhere.

Changes in many extreme weather and climate events have been observed since about 1950. It is very likely that the number of cold days and nights has decreased and the number of warm days and nights has increased on the global scale6. It is likely that the frequency of heat waves has increased in large parts of Europe, Asia and Australia. There are likely more land regions where the number of heavy precipitation events has increased than where it has decreased. The frequency or intensity of heavy precipitation events has likely increased in North America and Europe. In other continents, confidence in changes in heavy precipitation events is at most medium.

There is very high confidence that maximum global mean sea level during the last interglacial period (129,000 to 116,000 years ago) was, for several thousand years, at least 5 m higher than present and high confidence that it did not exceed 10 m above present. During the last interglacial period, the Greenland ice sheet very likely contributed between 1.4 and 4.3 m to the higher global mean sea level, implying with medium confidence an additional contribution from the Antarctic ice sheet. This change in sea level occurred in the context of different orbital forcing and with high-latitude surface temperature, averaged over several thousand years, at least 2°C warmer than present (high confidence).

Link:http://www.climatechange2013.org/images/uploads/WGIAR5-SPM_Approved27Sep2013.pdf

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Behind the Brands: Countdown to the next chapter

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Behind the Brands: Countdown to the next chapter

Since launching in February, Behind the Brands has mobilized more than 120,000 people to call on the Big 10 food and beverage companies to improve the way they do business.

When you asked the world's three largest chocolate companies to do right by the women who grow their cocoa, Mars, Mondelez and Nestle listened, and committed to make sure women cocoa farmers in their supply chains are respected.

The successes achieved so far would not have been possible without the power of you! Your actions have made the companies sit up and take notice, and to start making positive changes in the food system.

But the story doesn't end there. The campaign now shifts to sugar, an essential ingredient in many of our favorite brands. The Big 10 buy and produce huge amounts of sugar – but have you ever wondered where this sugar comes from?

Link:http://blogs.oxfam.org/en/blogs/13-09-26-behind-brands-countdown-next-chapter

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Who’s not online and why

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Who’s not online and why

As of May 2013, 15% of American adults ages 18 and older do not use the internet or email.

Asked why they do not use the internet:

• 34% of non-internet users think the internet is just not relevant to them, saying they are not interested, do not want to use it, or have no need for it.

• 32% of non-internet users cite reasons tied to their sense that the internet is not very easy to use. These non-users say it is difficult or frustrating to go online, they are physically unable, or they are worried about other issues such as spam, spyware, and hackers. This figure is considerably higher than in earlier surveys.

• 19% of non-internet users cite the expense of owning a computer or paying for an internet connection.

• 7% of non-users cited a physical lack of availability or access to the internet.

Even among the 85% of adults who do go online, experiences connecting to the internet may vary widely. For instance, even though 76% of adults use the internet at home, 9% of adults use the internet but lack home access. These internet users cite many reasons for not having internet connections at home, most often relating to issues of affordability—some 44% mention financial issues such as not having a computer, or having a cheaper option outside the home.

Link:http://pewinternet.org/~/media//Files/Reports/2013/PIP_Offline%20adults_092513.pdf

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] The African pharmaceutical sector is expected to grow tremendously in the coming years

Monday, September 30, 2013 Add Comment

If you cannot read that message, click here.

 

 

PRESS RELEASE

 

Public-private partnerships promise a bright future for the African pharmaceutical industry

 

The African pharmaceutical sector is expected to grow tremendously in the coming years

 

HAMMAMET, Tunisia, September 30, 2013/ -- The African pharmaceutical sector is expected to grow tremendously in the coming years. The opportunity is such that public-private synergies are key to the development of the industry. These were the conclusions that emerged from the first African Pharmaceutical Summit, held on September 23 and 24 in Hammamet, Tunisia.

 

Logo AfDB: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/logos/african-development-bank-2.png

 

Photo 1: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/dsc_8000_01.jpg

 

Photo 2: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/dsc_7937_01.jpg

 

With a compound annual growth rate (CAGR) of more than 10 per cent, Africa is the second most dynamic pharmaceutical market after Asia Pacific, with a pharmaceutical spending expected to reach $30 billion by 2016. Co-organized by the African Development Bank (http://www.afdb.org) and the Africa Health journal, the African Pharmaceutical Summit drew over 130 participants from around the world. The summit is the first platform to bring together high-level policy-makers, Ministers of Health, Industry, Trade, and Finance, CEOs, experts from pharmaceutical manufacturers, universities, institutions and organizations to debate the future strategies of Africa’s pharmaceutical industry. The important meeting was an opportunity to highlight the need of public-private partnerships which are more than ever necessary to seize opportunities in this sector and improve the health of Africans.

 

Abdellatif Mekki, Tunisian Minister of Health, expressed his support for the development of African partnerships in this emerging economic area. He said that such partnerships would significantly improve the access to medicine and harmonization of laws in Africa.

 

As the premier financing and development institution for Africa, the AfDB has a unique role to play in the public-private dialogue in the pharmaceutical sector. With this first edition of the African Pharmaceutical Summit, the Bank provides an opportunity to create a business-to-business platform aimed at building partnerships, strengthening collaboration and engaging key stakeholders in meaningful discussion around Africa’s pharmaceutical sector.

 

Mthuli Ncube, Chief Economist and Vice-President at the African Development Bank, pointed out “the current political momentum in the pharmaceutical sector development in Africa. Although the African pharmaceutical market represents only two per cent in global terms, it is the fastest-growing in the world,” he said. “There is a window of opportunity considering the strong demographic dynamics, the growth of the consumer spending power in Africa, although the continent accounts for the bulk of the global infectious disease burden.”

 

Feng Zhao, Manager of the Health Division of the AfDB’s Human Capital Development Department, acknowledged that there were a number of challenges to overcome in Africa. In the context of the current financial crisis, huge up-front investments are needed to boost the industry, he said. “New business models and partnerships applicable to Africa should be designed to better meet the specificity of the continent,” he added. “We have already launched several initiatives and we continue to offer our support to develop the potential of this sector.” 

 

The AfDB has embarked on an ambitious program to support its Ten-Year Strategy for 2013- 2022. Through the Human Capital Development Department, the Bank has defined its priorities for the pharmaceutical industry supporting private-sector development and regional economic integration. These two pillars are pushing Africa to be a key player in the global pharmaceutical market.

 

Investments in skills and technology are also at the centre of the Bank’s development agenda. Given the specific nature of the African pharmaceutical industry, technology and innovation can be harnessed to accelerate inclusive growth and job creation in the sector.

 

The AfDB has undertaken several initiatives to assist the public and private sector, NGOs and institutes in Africa in the development of innovative solution in the health sector. In this context, the first edition of the African Pharmaceutical Summit celebrated 10 recipients of AfDB e-health award. During the summit, the winners received a certificate recognizing their innovative contributions and solutions in the emerging areas of e-health and m-health in Africa.

 

Distributed by the African Press Organization on behalf of the African Development Bank (AfDB).

 

 

Media Contact: Nawsheen Elaheebocus, Tel: +216 7110 1224

Programme Coordinator de programmes : Feng Zhao, Tel : +216 7110 2117

 

About the African Development Bank Group

The African Development Bank Group (AfDB) (http://www.afdb.org) is Africa’s premier development finance institution. It comprises three distinct entities: the African Development Bank (AfDB), the African Development Fund (ADF) and the Nigeria Trust Fund (NTF). On the ground in 33 African countries with an external office in Japan, the AfDB contributes to the economic development and the social progress of its 53 regional member states.

For more information: http://www.afdb.org

 

SOURCE 

African Development Bank (AfDB)

 

Safe Sender Instructions

 

UNSUBSCRIBE

 

 

[wanabidii] Call for Expression of Interest (EOI) for CIRCLE Fellowship Programme

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Call for Expression of Interest (EOI) for CIRCLE Fellowship Programme

Dear Sir/Madam,

The African Academy of Sciences (AAS) and the Association of Commonwealth Universities (ACU) are pleased to invite you and/or your institution to submit an Expression of Interest (EOI) for a new fellowship scheme and institutional capacity strengthening programme that will enhance research into the impacts of climate change.

The GBP 4.8m programme titled, Climate Impacts Research Capacity and Leadership Enhancement (CIRCLE), is funded by the UK government and will strengthen both institutional and individual research capacity.  It will fund maximum one-year fellowships for 60 post-Doctoral and 40 post-MSc researchers and concurrently run a programme for strengthening institutional research management and support for early career academics. The fellowships will cover the full cost of a one-year placement at another (host) African institution and will commence in 2014. Full implementation of the programme will be contingent on sufficient interest and commitment being expressed by African institutions to host and nominate fellows and a large enough pool of eligible fellows.

For further information about this programme, please visit CIRCLE Call for Expression of Interest (EOI) or the CIRCLE webpage and read the criteria before submitting your EOI. To submit your EOI as a potential Host and/or Nominating/Home institution or as a Fellow, click on the relevant link below:

EOI for potential Host institutions

EOI for potential Nominating/Home institutions

EOI for potential Fellows

The deadline for submitting an expression of interest is 31 October 2013.

For further assistance please contact Dr Benji Gyampoh, b.gyampoh@aasciemce.org or Ms Jay Kubler, j.kubler@acu.ac.uk

You are kindly requested  to assist by forwarding this call to all suitable institutions and/or individuals in your network.   

 

Yours Sincerely,

Benji Apraku Gyampoh

 

For:

Prof Berhanu Abegaz

Executive Director, AAS

 

---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Benjamin Apraku Gyampoh, PhD | Programme Officer | The African Academy of Sciences (AAS) [www.aasciences.org]

Postal Address: Box 14798-00800, Nairobi, KENYA | Physical Address: 38 Miotoni Lane, Off Miotoni Road, Karen, Nairobi 

Tel: + 254 (20) 806 0674 | Fax: +254 (20) 806 0675  Mobile +254 728 741632  |  Skype: benji.gyampoh

Twitter:  @aprakugyampoh   |   Blog: http://benjigyampoh.blogspot.com

 

[wanabidii] Read what we are DISCUSSING this WEEK!

Monday, September 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Read what we are DISCUSSING this WEEK!
I hope to see you guys on Thursday evening!
Especially the Christian and Muslim folks! 

http://www.kenyanfreethinkers.net/#!weekly-discussion/c21pw

-- 
-- Copyright © The Atheist
Twitter: @harrisonmumia
Facebook: http://www.facebook.com/harrisonmumia




--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.