[Mabadiliko] Neno La Leo; Na Iwe, Kwenye Mafanikio Ya Mwanamme, Kando Yake Kuna Mwanammke...

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[Mabadiliko] Neno La Leo; Na Iwe, Kwenye Mafanikio Ya Mwanamme, Kando Yake Kuna Mwanammke...


Ndugu zangu,

Inasemwa, kuwa kwenye mafanikio ya mwanamme nyuma yake kuna mwanamke. Dhana hii ina walakini, maana, hata hapa, kwenye mafanikio ya mwanamme, tunaamua kwa makusudi kumweka mwanamke nyuma.

Ni kwa nini mwanamke asiwe kando au hata mbele pale kwenye mafanikio ya mwanamme? Na mara nyingi huo ndio huwa ukweli, lakini, kwa makusudi ama kwa kutotambua, huwa tunaufumbia macho ukweli huo.

Ndugu zangu,

Naiangalia ziara ya Barack Obama Afrika na yale yenye kusemwa na kuandikwa. Nayaona mapungufu, yumkini yanatokana na mitazamo yetu inayotokana na makuzi yetu. Kwamba hata katika hili la mafanikio ya Obama, tunamwona mkewe, Michelle Obama, kuwa ni kiumbe aliye nyuma ya mafanikio ya mumewe, Barack Obama. Na tunapojaribu kumwangalia Michelle, basi, yanaandikwa yenye kuhusu urembo wake, ama mavazi na yale ya jikoni na...... Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/3621-neno-la-leo-na-iwe-kwenye-mafanikio-ya-mwanamme-kando-yake-kuna-mwanamke.html#.UdCJbZyNCAg

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Hizi zipo tu

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Hizi zipo tu
----Forwarded Message----
From: aramakurias@yahoo.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sat, Jun 29, 2013 2:14 PM EDT
Subject: Hizi zipo tu






----Forwarded Message----
From: aramakurias@yahoo.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sat, Jun 29, 2013 1:53 PM EDT
Subject: Hizi zipo tu


Jamani salaam...pamoja na mijadala niwape wap kuna nini ili ujiangalie kama utaweza, ni fursa tupu nawapa....naombeni mwenye ujuz huu anitafute maana nataka kudevelop blogg niwe naweka haya madude ktk blogg yangu please....we have these hot propts: plot eka 3 yenye title deed mbez temboni bei m 150,eka 1 m 14, pia 20kwa 25 kwa m 4.5 tu mbezi karibu na ilipo plot ya kanumba zipo plot 5 hv.b tunayo starlet 2 kali ya 1999 mileage 8500 tu rangi bluu na nyekundu bei m 7:5,nyumba kali masaki sq m 1500 kwa usd laki 8, pia sq m 1800 jiran na rose garden kwa m 600 tu, tunazo sheli 3 za kuuza along moro rd bei usd m 2 had 3. C tunauza bar kali sana na guest ipo madale na tabata kimanfa bei m 200 na 0 190 tu.bar ya kupangisha ina ukumbi na majiko 3 ni mpya na modern bar bei lak 9 kwa mwezi ipo mbz mwisho. Tunazo nyumba za kuuza sehem mbali mbali za bei rahis kuanzia m 35 na kuendelea .call mr mollel of ALJ Gen CO Ltd kwa hotline 0652 31 4181


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Behind the presidential curtains

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Behind the presidential curtains
BY Noble Marara

Yesterday (Friday, 10 June 2011) as I sat on the sofa to read the transfer window of the British foot ball league which is booming, my phone rang the number was hidden, normally I never answer hidden numbers but this time answered because of being a father you expect any call from school or play grounds.

And never guess what it was, you won't believe it, this call was from Rwanda and the guy seemed like he was a priest with a calm voice and reminding me of our time. Asking to come back home and reminded me of our Good times in the army, these were times while escorting his excellence the president of Rwanda Paul Kagame, we worked together with this man since I joined the RPA in early 90's we had shared the little in those hard times, but we ended up not seeing each other regularly after the war as he was transferred to a different post but with in republican guard unit.

He urged me to totally denounce Rwanda National Congress and forget about being a member of this organisation; he reminded me how his excellence was so special and how he was elected by the people of Rwanda, during the process he sounded as threatening and so I became uncomfortable with his conversation. He reminded me of the times that I left behind, which involved believing some one's decision even their stupid judgements, mismanagement and poor planning. As I listened, I remembered my time as a body guard and driver to Paul Kagame, and every horror that I witnessed during my service. As I grew up in Uganda I had always wished to go back to Rwanda, my uncles were older than me and in Ugandan forces, my elder brother too. When we attacked Rwanda I had all the names of RPA commanders in my head from the late Afande Fred Rwigyema , Late Adam Waswa, Late Ndugute Kalisoliso and others we can go on and on.

I continued to think of what is going on today in Rwanda, and that is how the brain works running in short and long term memory at all times. So he convinced me that I should denounce and have a better future, which obviously I cannot accept, as a person who had lived alongside Kagame for so long and who still recalls his characters of abusing his commanding officers, his wife and anyone around. I was around him for so long and I find it easy to know where I belong Mr, I answered as I hung up.

I witnessed Kagame making a full of himself for so many times and so I can not dare follow him again.
In 1994 I witnessed him slapping James Kabarebe for not answering the radio, when he called nyinyi wajinga as if it was his call sign, James's call sign was 66 Golf but he was beaten because it was his responsibility to know that wajinga means anyone with a radio.

In 1995 he started being anxious that afande Ndugute was planning to kill him, so we used to spend the nights at his mother in laws, sometimes to his brother in law until he dropped all his commanders and appointed new ones, this is the time I remembered how our army planted a landmine in front of Ndugute's home in Kinihira, around 93-94 which he survived though inside the defence, this landmine went off and afande Ndugute was in the car but fortunately no one was injured. It was not a long time before afande Karangwa had just been killed by a landmine which was planted by our own soldiers, the young soldier who I cannot I identify because of his security asked Masumbuko if Karangwa was not going to use the route, Masumbuko told him to hurry and said that he knew what he was doing.

At some point in 1995, I was travelling in a land rover jeep which belonged to the late Fred Rwigyema: this army Jeep we had kept for so long and it was getting old without using it, so I asked Rogers Rutikanga who was responsible for Kagame's transport who actually ended up replacing at some point, if we could use that car instead of parking it forever. He said that he could not see the reason why we couldn't use it; I wanted to drop one of our causalities Captain Leandre who lost his sight during the war. He got in the car and we drove off, he is a very nice chap who can use his senses to figure out what is around him, with his funny stories we started driving and bragging around the world and life in general. As we were getting out of Camp Kigali we saw the convoy and guess who it was: Kagame was coming to camp Kigali he was viewing schools to see if his children would join the camp Kigali primary school which he did not like anyway.
He stopped and asked me if I knew who that car belonged to, I said so and he slapped me in the face twice. He told three of his guards, Sentongo, Kizima, and Rwoganyanja to lay us and continue beating us, Captain Leandre disabled was left wondering. It was me and another guy called Bosco who got beaten, he then asked me about that car and where it has been for those years, I told him and then he looked at Bosco who was breathless and said that we should take him to the hospital. I started asking myself why we were beaten but I could not get the answer until today.

In 1997 he was anxious again that they were plans to kill him, this time that the plan was around in the senior army officials, he dropped several others but before dropping them we used to spend the night in the middle of the road to Kinyinya for four days, we would leave at eight o'clock and come back home at six in the morning, this time he ordered the assassination of Major Birasa John who they accused of knowing the plan of overthrowing the Government but never reported. He was assassinated by a section of nine soldiers sent by the now Colonel Silas Udahemuka who was a captain at the time, he is attached to the security of Kanombe airport right now.

The nine soldiers commanded by W011 Mugabo who was later promoted to a full Lieutenant and now a major, Major John Birasa died alongside Captain Eddy Rwigyema who had travelled together with him in the same car. This is the same year when Kagame ordered Rutatina to administer a poisonous injection to afande Ndugute which later killed him in South Africa, the post-mortem indicated that he was in contact with a detected poisonous fluid in his lungs and the rest of the organs.

It's evident that, President Kagame's killings are endless as we all Rwandans know, but let's just focus on what might be the cause of these characters: Like many Rwandese refugees in foreign lands, he was in his early teens when he lost his father. It was the time when he needed his father as a role model, he was a student at old kampala school, his father lived in a settlement with his mother and sisters unfortunately his father got ill, and the illness became very serious so a good Samaritan arranged his travel to Mulago hospital in kampala, this good Samaritan left because that time during Iddi Amin's regime treatment was free.

It did not take long before Kagame's father passed away but he had received a visit from my uncle who was a lorry driver in Kawanda research, he went back to visit him and they told my uncle that Kagame's father Rutagambwa had passed away, he sent a message to the settlement but after waiting for two days with no response he asked for the permission to bury him in a government land in kawanda research.
All my time while protecting Kagame I used to say to myself that, I wish he would come ask my uncle to show him where his daddy's bones are laid. According to the scientific research losing one of your parents between the ages of 11-15 years can be traumatic that it affects all your upbringing and the decisions you make in life. This has affected Kagame, he is so emotional and he does not trust anyone, his voice is so emotional and the body language is fake.

When he is talking he assumes that everyone has to accept his words, and if not he presents aggression once he realises that there is a sign of opposition. He cannot tolerate the media and sometimes he bungs on the table which is a sign of personality disorder. I was able to see Kagame shout at his mother and at some point his wife, she spent eight hours at a friend's home when she was scared of him after having an argument. He kicked the window inside when his son Brian locked himself in the room; this is the time when he attempted to beat his sister Marice for not being observant, Rwanda is ruled by a mad man.
He used to ask us to wake him up so he can watch boxing in 90's, this was normally 2:00 o'clock in the morning because most of the time it was between Mike Tyson and who ever but when we missed 2 minutes he nearly killed us. He was very tiny compared to now; I used to question myself why would this man enjoy boxing at that size? Look at his arms and his legs.

He later came up with a very good Idea of playing tennis which I thought that suited him and he actually became a better player. My time as his body guard is not regrettable though I promised myself that I was working for Rwanda and that kept me going, but I still think that he has betrayed our nation by killing politicians, false imprisonment, killing our commanders after realising that the war is ended, because he never commanded any war, we used to move to a safe place after clearance of the commanders I mentioned earlier especially Ndugute who was the operation commander. I will always stand on the truth and I am willing to explain my role in any position that I held during my time in Rwanda.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Simulizi Za Mzee Madiba; Mandela Alipomshangaza Dereva Wa Mheshimiwa!

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Simulizi Za Mzee Madiba; Mandela Alipomshangaza Dereva Wa Mheshimiwa!


Ndugu zangu,

Kama tulivyoona huko nyuma, Mzee wetu Madiba hana makuu. Kuna simulizi pale Mzee Mandela akiwa Ikulu alimwalika Mheshimiwa mmoja kwa chai ya saa nne asubuhi. Mgeni wa Mandela akaingia Ikulu. Baada ya kusalimiana, na kabla ya kukaa chini kunywa chai na kuzungumza, Mandela alimuuliza Mheshimiwa yule;

" E bwana, nimeona ukiingia ukiwa na dereva akikuendesha, mbona hukuja nae, si dereva wako wa siku zote?"

" Ndio Mheshimiwa Rais!" Alijibu mgeni wa Mandela.

Naye Mandela akasema; " Basi, kama ni hivyo, ngoja nimtume mtu aende akamwite, naye aje tunywe nae chai!"

Dereva yule wa mheshimiwa hakuamini masikio yake alipoambiwa kuwa anaitwa aende akanywe chai meza moja na Nelson Mandela!

Naam, huyo ndio Mzee wetu, Nelson Mandela! Mtu wa watu wa dunia nzima, masikini na matajiri!

Maggid,

Iringa.
http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Huu ndio unyama wa JWTZ kwa CUF, Mtwara

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Huu ndio unyama wa JWTZ kwa CUF, Mtwara

MATESO NA UKATILI MKUBWA ALIOFANYIWA NAIBU MKURUGENZI WA OGANAIZESHENI UCHAGUZI NA BUNGE WA CUF TAIFA MHE. SHAWEJI MKETO NA VIONGOZI WENGINE WA CUF MKOANI MTWARA.
A. Muhtasari
Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika kambi yao ya Naliendele yamewafanyia mateso makubwa viongozi wa CUF akiwemo Mheshimiwa Shaweji Mketo, Naibu Mkurugenzi wa Oganaizeshani, Uchaguzi na Bunge ambaye alipigwa mpaka akazimia na kuchomwa sindano na kemuwekea drip 3 kabla hajazinduka saa 10 alfajiri. Rais Kikwete asitishe mara moja vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na askari Mkoani Mtwara. Taarifa ninayoitoa inatokana na maelezo na utafiti uliofanywa na Naibu Katibu Mkuu, Julius Mtatiro niliyemtuma kwenda Mtwara kufuatilia kukamatwa kwa Mketo na wenzake.
B. Shughuli halisi alizofanya Mhe. Mketo alipofika Mtwara Mjini;
Jumatano tarehe 26 Juni 2013 Mkurugenzi wetu wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge Mhe. Shaweji Mketo alitumwa na Chama chetu kuhudhuria kesi inayowakabili viongozi mbalimbali wa CUF katika mahakama ya Mtwara Mjini (Kesi inayomkabili MHE.KATANI AHMAD KATANI na wenzake).
Mhe. Mketo alipotoka mahakamani alifanya kikao na wanachama wa CUF Mtwara mjini ambao walimueleza unyanyasaji na ukatili mkubwa ambao wanajeshi na polisi wanawafanyia wananchi wa Mtwara. Palitolewa taarifai ya mwanamke mmoja aliyenajisiwa na ambaye aliripoti tukio husika katika kituo cha polisi cha Msimbati kilichoko Mtwara na alipeleka polisi hadi ushahidi wa mipira ya kiume iliyotumika kumfanyia unyama huo lakini polisi hawakuchukua hatua yoyote hadi leo.
Mhe. Mketo na viongozi wengine waandamizi watano walielekea maeneo ya kijiji cha Msimbati ambako mwanamke huyo amesitiriwa baada ya unyama huo. Mzazi wa binti aliyebakwa anajulikana kwa jina la SELEMANI BIN OMARI. Mhe. Mketo na viongozi aliokuwa nao walifika kijiji cha Msimbati na kukutana na mwanamke aliyebakwa mbele ya familia yake, waliongea naye kwa kina na mwanamke huyo alieleza kila kilichojiri;
C. Maelezo ya mwanamke aliyebakwa yaliyotolewa na mwanamke husika mbele Mkurugenzi Mketo tarehe 27 Juni 2013;
Siku ya tukio mwanamama huyo ambaye ameeleza ana umri wa zaidi ya miaka 40 lakini kimaumbile anaonekana kama ana miaka 20 – 25 alikuwa anawasha moto nyuma ya nyumba yao huku mama yake mzazi akisuka mkeka sehemu ya mbele ya nyumba yao. Ghafla akaona wanajeshi watatu wameingia nyumbani kwao. Mwanajeshi mmoja akamuuliza anawasha moto wa nini, akawajibu anataka kupika. Yule mwanajeshi akamwambia "twende kwanza ndani" na akamshika na kumvutia ndani. Askari Yule akamuingiza katika mojawapo ya vyumba na kumrusha kitandani kwa nguvu.
Wale askari wengine wawili, mmoja akalinda upande aliokuwepo mama yake mzazi akisuka mkeka na mwingine akalinda mlango wa upande ambako mwanamke huyu alikuwa anawasha moto. Mule chumbani, askari Yule alimlazimisha kufanya mapenzi na juhudi zake za kupinga hazikusaidia kwani alitishiwa kuwa akipiga kelele atapigwa sana. Askari Yule alisisitiza kuwa baada ya kumridhisha atampa shilingi elfu tatu 3,000/-. Kwa sababu ya kumzidia nguvu na kumtishia kumuua, askari husika alifanikiwa kutoa pakiti ya mpira wa kiume na kuuvaa na kumuingilia kwa nguvu. Baada ya kitendo kile askari Yule alivaa nguo akaungana na wenzie waliokuwa wakilinda milango yote miwili wakaondoka huku mbakaji akiacha pakiti ya mipira ya kiume ene la tukio.
Baadaye familia ya mwanamke huyu ilitoa taarifa kwa mwenyekiti wa Kitongoji chao anayetokana na Chama Cha Wananchi CUF na mwenyekiti akawataka waende wakaripoti polisi. Waliripoti kituo cha Polisi Msimbati wakapewa nyaraka ili waelekee hospitali. Walipokwenda hospitali, daktari alifanya vipimo na kuwajulisha polisi na ndugu kuwa mwanamama Yule amebakwa na kwamba kuna michubuko ya wazi katika sehemu zake. Baada ya ripoti hiyo kutolewa, polisi waliichukua na hadi leo haijulikani iko wapi.
D. Kutishiwa familia ya mwanamke aliyebakwa, kutekwa na kuteswa kwa daktari aliyempima na kuthibisha kitendo alichofanyiwa;
Mwanamke husika na familia yake wameendelea kutishiwa sana na askari jeshi. Mwenyekiti wa Kitongoji wa CUF amehojiwa mara kadhaa na wanajeshi na daktari aliyefanya uchunguzi ule alivamiwa nyumbani kwake na wanajeshi usiku wa kuamkia tarehe 27 Juni 2013 akakamatwa na kupelekwa kwenye kambi ya jeshi ya Naliendele na kuteswa hadi majira ya alfajiri. Alikuwa anateswa ili asijihusishe tena na namna yoyote ya kutoa ushahidi kwa mtu yeyote kuhusu uthibitisho wa tukio la ubakaji uliofanywa na askari wa jeshi.

E. Safari ya Mhe. Mketo na Viongozi waandamizi kutoka Msimbati kurudi Mtwara Mjini na kutekwa na wanajeshi kulivyotokea;
Kati ya saa 11.30 – 12.00 jioni walifika eneo la kilometa tatu kabla ya kuingia mjini (Eneo la njia pacha). Magari mawili ya kijeshi moja likiwa aina ya TATA na lingine likiwa DEFENDER ya jeshi yaliziba barabara. Ilibidi gari ya mhe. Mketo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya chama chetu isimame (Gari hii ni aina ya NISSAN PATROL yenye namba T 866 BGW – Mali ya Chama Cha Wananchi CUF). Askari jeshi zaidi ya 50 waliivamia gari aliyokuwemo Mhe. Mketo na viongozi waandamizi na kuanza kuwapiga bila sababu na kisha kuwarusha kwenye karandinga la jeshi. Viongozi waliotekwa kwa kushtukizwa walikuwa ni;
1. Shaweji Mketo – Naibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni Uchaguzi na Bunge,
2. Salum Hamis Mohamed – Mwenyekiti CUF Mtwara Mjini,
3. Ismail Hamis Jamal – Mwenyekiti CUF Mtwara Vijijini,
4. Ismail Bakari Njalu – Mwenyekiti wa vijana(JUVICUF) Mtwara Mjini,
5. Said Issa Kulaga – Katibu CUF Mtwara Mjini,
6. Kashindye Kalungwana – Dereve wa CUF Ofisi Kuu.
Baada ya kuwateka waliwapeleka katika kambi ya jeshi ya NALIENDELE ambako walishikiliwa kwa jioni, usiku mzima na asubuhi ya tarehe 28 Juni 2013. Baada shinikizo la kuwaachia nililolitoa, wanajeshi waliwaachia viongozi wote majira ya saa 5 asubuhi kwa kuwakabidhi kwa RPC wa Mkoa wa Mtwara ambaye hadi anakabidhiwa viongozi hao alikataa kabisa kutoa ushirikiano kwa chama, kila alipopigiwa simu alijibu yuko vikaoni na kuwa hawezi kuongea. Majira hayohayo, RPC aliondoka na viongozi wote 6 hadi makao makuu ya jeshi la polisi Mtwara na kisha wakaanza kuhojiwa na kisha wakapelekwa mahakamani.
F. Mashtaka waliyosomewa mahakamani;
Majira ya tarehe 28 Juni 2013 saa 10 jioni walifikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mtwara Mjini na kusomewa mashtaka matatu katika kesi ya jinai namba 137 ya mwaka 2013;
1. Shtaka la kwanza ni Njama za kutenda makosa kinyume na kifungu cha 384 cha Sheria ya Mwenendo wa makosa ya jinai kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 ambapo inadaiwa kwamba tarehe 27 Juni 2013 katika eneo la barabara ya Msimbati ndani ya wilaya ya Mtwara Mjini katika mkoa wa Mtwara wote kwa pamoja walipanga njama za kutenda makosa.
2. Shtaka la pili ni Kusanyiko lisilo halali kinyume na kifungu cha 74(1) na 75 cha Sheria ya Mwenendo wa makosa ya jinai kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 na kwamba shtaka hilo pia linakwenda kinyume na kifungu cha 43,44 na 45 cha Sheria ya Polisi na Polisi wasaidizi kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 ambapo inadaiwa kwamba tarehe 27 Juni 2013 katika eneo la barabara ya Msimbati ndani ya wilaya ya Mtwara Mjini katika mkoa wa Mtwara wote kwa pamoja walifanya kusanyiko ambalo si halali ambalo lilisababibsha kuvunjika kwa amani na kuleta hofu kwa wananchi.
3. Shitaka la tatu ni kupanga na kuchochea ufanyaji wa makosa kinyume na kifungu cha 390 cha Sheria ya Mwenendo wa makosa ya jinai kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 ambapo inadaiwa kwamba tarehe 27 Juni 2013 katika eneo la barabara ya Msimbati ndani ya wilaya ya Mtwara Mjini katika mkoa wa Mtwara wote kwa pamoja waliwachochea wananchi wa Mtwara kutenda makosa.
Walipokana makosa hayo dhamana iliwekwa wazi lakini kwa sharti la kila mshtakiwa kuwa na mdhamini mmoja mwenye mali isiyohamishika na atakayewasilisha hati iliyothaminiwa ya mali husika ambapo thamani ya mali atakayowasilisha iwe ni shilingi milioni 20 na kuendelea.

G. Kushindwa kukamilisha masharti magumu ya dhamana na kukataliwa kupokelewa gerezani;
Kutokana na hali halisi kuwa Mtwara Mjini haina hati zilizothaminiwa kwa wananchi wengi mawakili na wanachama wetu hawakuweza kufanikiwa kukamilisha sharti hilo hivyo viongozi wetu walipelekwa gereza kuu la Mtwara mjini hadi hapo masharti ya dhamana yatakapotekelezwa. Askari magereza walipowakagua walikataa kuwapokea kwa sababu kwamba "magereza haipokei wagonjwa" kwani magereza walithibitisha kupigwa na kuumizwa kikatili kwa wahusika wote sita. Iliwapasa Askari polisi kuondoka nao wote katika gari la polisi na kuwapeleka hospitali ya mkoa wa Mtwara majira ya saa 12 jioni. Hospitalini madaktari walijionea kipigo kikubwa walichopata maeneo mbalimbali ya miili yao, pamoja na hayo madaktari walieleza kuwa hospitali ya Mkoa haina dawa kwa ajili ya matibabu. Ilimpasa mhe. Mketo kutakiwa kutafuta fedha za matibabu kwa hivyo alitafuta na kupata pesa za madawa na kuwapa madaktari ili watuhumiwa wote wapate matibabu.
H. Maelezo ya jumla ya Mhe. Mketo juu ya matukioa aliyohudhuria Mtwara siku ya kesi ya kina Katani aliyayoyatoa mbele ya Mtatiro alipomtembelea gerezani 29 Juni 2013;
Naibu katibu Mkuu wa CUF Mhe. Mtatiro na mawakili walifika Mtwara jumamosi tarehe 29 Juni 2013 na alifika gerezani na kuonana na mhe. Mketo na kufanya naye mazungumzo chini ya ulinzi mkali. Mhe.Mketo alieleza kwa kina tukio zima lilivyokuwa;
Alieleza kuwa wao walipofika Mtwara siku ya alhamisi tarehe 27 Juni walihudhuria mahakamani katika kesi inayomkabili mhe. KATANI AHMAD KATANI (Mwenyekiti wa JUVICUF taifa). KATANI na wenzie kadhaa wakiwamo viongozi wa NCCR Mageuzi wanashtakiwa katika kesi moja yenye mashtaka ya aina moja na nambari ya kesi moja. Cha ajabu katika kesi hii iliyoitwa kwa kutajwa tu siku hiyo, hakimu wa mahakama ya wilaya aliiahirisha hadi tarehe mbili tofauti wakati kesi ni moja na washtakiwa walishtakiwa pamoja. Mhe. Katani aliambiwa atahudhuria mahakamani tarehe 27 Julai 2013 huku wenzake kina Uledi wa NCCR Mageuzi walitakiwa kuhudhuria mahakamani tarehe 29 Julai katika kesi ileile moja na mashtaka yaleyale, hii ina maana kuwa mahakama imetangaza tarehe mbili ambazo watuhumiwa katika kesi moja watahudhuria kila watuhumiwa tarehe yao. Hatuelewi kwa nini mahakama imefanya hivi, mawakili wetu wanashughulikia.
Baada ya ahirisho hilo Mhe. Mketo na viongozi wengine walikusanyika ndani ya ofisi ya CUF wilaya ya mtwara mjini na kufanya kikao kifupi na naada ya hapo walifunga safari ya kwenda kijiji cha MSIMBATI ili kukutana na mwenyekiti wa CUF ambaye alipaswa kuwapeleka kwa familia ya mwanamke aliyebakwa. Walipomaliza kuongea na familia hiyo na mwanamke husika, walirekodi ushahidi na waliingia kwenye gari kurudi Mtwara mjini.
I. Maelezo ya kuvamiwa, kuteswa, kutekwa na wanajeshi hadi kukabidhiwa kwa polisi keshoye(Maelezo ya Mhe. Mketo aliyoyatoa mbele ya Mtatiro):
Kilometa tatu kutoka mjini ndipo walipokuta barabara imezibwa na magari ya jeshi huku wanajeshi zaidi ya 50 walio na silaha nzito zikiwemo bunduki za kijeshi wakiwasubiri. Waliposimamisha gari tu milango yao ilifunguliwa kwa nguvu. Askari mmoja mwenye bunduki alirusha ngumi ambayo mhe. Mketo aliipangua, kuona hivyo askari Yule akahoji kwa nini Mketo amepangua ngumi yake, wakati anataka kujibu askari mwingine alimpiga na kitako cha bunduki katika shavu la kushoto. Katika sekunde chache ambazo walisimama wote walipigwa sana, Mwenyekiti wa VIJANA Mtwara Mjini alipigwa na kuchanika sehemu za usoni. Wote sta walibebwa juu juu na kutupwa katika karandinga la jeshi na kuamriwa kulala chini kisha wakapelekwa kambi ya jeshi ya NALIENDELE.
Walipofikishwa NALIENDELE walianza kupigwa na kuteswa sana. Mketo alishuhudia mateso ya kikatili mbayo hakuwahi kuyaona maishani. Walivuliwa nguo zote na kulazwa kifudifudi na kumwagiwa maji ya baridi na kupakwa chumvi kisha walianza kupigwa usiku kucha kwa kutumia mikanda ya kijeshi, ngumi mateke na fimbo maalum za ngozi za wanyama na miti maalum.
Baadaye wanajeshi wale watesaji walianza kuwapiga mateke ya nguvu maeneo ya usoni, tumboni na kichwani. Kwa bahati mbaya Mketo alipigwa sana katika ubavu wake wa kulia ambapo amewahi kufanyiwa oparesheni kubwa miezi kadhaa iliyopita. Alipoona anapigwa sana eneo hilo akaona awaombe askari jeshi hao wampige maeneo mengine lakini eneo hilo wamhurumie kwa sababu amefanyiwa oparesheni. Kusikia vile, askari wale walimgeuza kwa nguvu na kuanza kumpiga mateke ya nguvu zaidi katika eneo lile hadi alipoteza fahamu majira yale ya jioni. Baada ya kupoteza fahamu askari wale walikuja na kuanza kumchoma sindano (ambazo hazijulikani zilikuwa za nini), kisha walimtundikia dripu tatu za maji. Mketo alizinduka majira ya saa 10 alfajiri ya ijumaa ya tarehe 28 Juni 2013 na alijikuta ana dripu, hakuelewa ni ya nini. Baadaye wanajeshi walikuja na kuitoa, wanajeshi walipoondoka aliwauliza wenzie zile dripu ni za nini, ndiyo wenzie wakamjulisha kuwa alitundikiwa dripu usiku kucha.
Alfajiri hiyohiyo askari jeshi wale walirudi, wakamlaza kifudifudi mhe. Mketo na kuanza kumpiga sana kwa fimbo katika miguu yake, walimpiga kwa saa nzima hadi walipochoka na kuondoka. Baadaye alianza kusikia maumivu makali maeneo yenye upasuaji (ubavuni na tumboni), anasema anahisi kuna matone ya maji au vitu laini yanadondoka ndani kwa ndani katika eneo alilofaniwa upasuaji mkubwa. Hali haikuishia hapo tu, baadaye na hadi sasa anasema kila akienda msalani anajisaidia choo chenye damu nyingi huku hana msaada wa matibabu zaidi ya yale yasiyo na vipimo yanayoendelea gerezani.
Mketo anasema wenzake watano ndio waliopigwa kuliko yeye, anasema kuwa "wenzake ndo wamepigwa kipigo cha mbwa", kwa sababu hawakupoteza fahamu usiku ule. Anaeleza kuwa usiku kucha walipigwa kwa zamu na mafungu ya askari jeshi waliokuwa wakiingia kwa zamu kwa idadi kadhaa. Wanawapiga viongozi wetu kwa nusu saa hadi saa nzima kisha wanaondoka na kuja wengine. Askari wengi waliowatesa walionekana kuwa walinyweshwa pombe ili waifanye kazi ile bila huruma, Mketo anasema usingeongea na askari wale wakakuelewa lolote. Kazi yao ilikuwa "ni kupiga tu, ukiweka kichwa wanapiga, ukiweka tumbo wanapiga, ukiacha jicho wazi wanapiga tu", kwa hiyo namna ilokuwepo ilikuwa ni kulala kifudifudi na kuacha mwili upigwe watakavyotaka.
Dereva Kashinde Kalungwana alipigwa na kuumizwa sana ikiwemo eneo la mkono ambao anasema maeneo ya kiganya ni kama umekufa ganzi hadi leo. Pamoja na sindano anazochomwa hadi sasa hauhisi mkono wake, hivyo umefungwa kwa "crip bandeji" na ameubeba akikata tamaa. Hospitalini hawakumjulisha lolote na hakupata matibabu yoyote ya maana, alipewa madawa ya kumeza tu.
Kulipoanza kucha ndipo mhe. Mketo na wenzake waliacha kupigwa. Baadaye waliingia wakubwa wa jeshi kutoka kwenye kambi ile na kuwasalimu na kuwapa pole na kuwajulia hali. Baadaye majira ya asubuhi alikuja Kamanda wa jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara (RPC) na Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa (RCO) . Kina Mketo walichukuliwa na kupelekwa katika chuma maalum na kuwakuta viongozi wa jeshi la Ulinzi wa kambi ile na Mkoa wa Mtwara wakiwa pamoja na RPC na RCO. Walihojiwa kwa muda katika kikao hicho kisha wanajeshi wakawakabidhi kwa polisi wale majira ya saa 5 asubuhi na wakapelekwa polisi chini ya ulinzi mkali wa polisi na kuhojiwa na kisha tena kufikishwa mahakami na kusomewa mashtaka hayo hapo juu na kurudishwa gerezani.
Pesa zao mbalimbali, laptop, simu na viatu hadi sasa havijulikani vilipo. Vilichukuliwa wakati wa kipigo kile cha askari jeshi na hata wakati Mketo anaondoka pale kambi ya jeshi alipewa viatu viwili tofauti kwa kila mguu kwani viatu vyake halisi havijulikani viko wapi. Anakumbuka kuwa viatu vyake vilivuliwa kwa nguvu na mmoja wa askari wakati wamelazwa kifudifudi.
Pamoja na hali hiyo, Askari magereza wana maelekezo kuwa mtu yeyote asiwaone kina Mketo na wasipelekwe mahali popte kwa ajili ya jambo lolote nje ya Magereza kwa sababu maalum. Kuwaona lazima kupatikane kibali maalum, haya ndo maelekezo aliyopewa mkuu wa gereza kutoka kwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ambaye ni mkuu wa mkoa, sababu inayotolewa ni kuwa Mketo na wenzie ni watu hatari sana na kwamba ati "upelelezi utaharibiwa ikiwa watatembelewa mara kwa mara na watu mbalimbali".
J. Maelezo ya Jeshi la Polisi Mtwara na Hali halisi ya mambo;
Mtatiro alipofika Mtwara alimtafuta RPC wa Mtwara bila mafanikio. Alibahatika kumpata RCO na kuongea naye siku ya jumamosi 29 Juni 2013. RCO alidai kuwa viongozi wa CUF hawakupigwa na kwamba wako salama. RCO alikiri kuwepo kwa tukio na taarifa za kubakwa au kunyanyaswa kijinsia na wanajeshi (hana uhakika) lakini anasisitiza kuwa "mwanamke aliyebakwa ndiye hataki kuendelea na mashtaka na kwamba polisi walipoongea naye pamoja na kutotaka kuendeleza mashtaka dhidi ya wabakaji wake, ati mwanamke huyo aliwajulisha polisi kuwa hajabakwa!"
Ukiangalia mwenendo wa matukio yote hayo kuanzia "kuvamiwa na kutekwa kwa nguvu na wanajeshi, kupelekwa kambi ya jeshi badala ya polisi, kuteswa kinyama usiku kucha, kuja kusalimiwa na wakuu wa kambi ya jeshi asubuhi, kuja kwa RPC na RCO asubuhi husika na kukubali kwao kuwapokea watu waliopigwa kiasi kile, RPC na RCO kukubali kupika mashtaka ya kusadikika na kuwabambikizia viongozi ambao hawakufanya mkutano wowote Mtwara, wala kuchochea jambo lolote Mtwara, wala kuvunja amani yoyote Mtwara, kukiri kwa RCO juu ya kuwepo tukio na taarifa za ubakaji wa mwanamke Msimbati(pamoja na RPC kukubali na kukana kwa wakati), yote haya ni kielelezo cha uvunjifu mkubwa wa katiba ya nchi, uvunjifu mkubwa sheria zinazoongoza ukamataji wa raia na kuwashtaki, uvunjifu mkubwa wa protokali za kijeshi na majukumu ya jeshi la ulinzi na polisi, uvunjifu mkubwa wa haki za raia na ni ushenzi na unyama usiomithilika ambao sasa majeshi yetu kwa Baraka za serikali, wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama, wakuu wa mikoa na mamlaka zao, na wakuu wailaya na mamlaka zao wamekubali haya yatendeke na yaendelee kutendeka. Kutekwa, kuteswa na kubambikiziwa kesi kwa viongozi wetu na wananchi wa Mtwara ni mipango iliyo wazi ya vyombo vya dola na mamlaka za serikali na wala si jambo la bahati mbaya".
Aidha tarehe 29 Juni 2013 Mtatiro ametembelea wakazi kadhaa walioteswa katika kambi ya Naliendele wakiwemo watumishi wa serikali ambao wanaugulia vidonda na maumivu makali vitandani. Wengi wao wametishiwa kuwa wakienda hospitalini majeshi yatajua na kwamba yatawafuata mahospitalini na kuwarudisha kwenye kambi ya mateso.
Kwa bahati mbaya sana – vyombo vya habari, mashirika ya haki za binadamu na asasi za kiraia havifuatilii kabisa matukio haya mabaya nay a kutisha yanayoendelea Mtwara. Hii inakamilisha ule usemi kuwa "mikoa ya kusini imetengwa na haipati huduma na haki za msingi ambazo binadamu wanastahili". Baadhi ya waandishi wa habari tulioongea nao Mtwara wanaonesha kuwa na wao wanasakwa na wanajeshi ikiwa wataripoti matukio haya. Tumewauliza mbona wakiwa Arusha hata kama ni katikati ya mabomu na vipigo bado wanaripoti habari. Wanachojibu ni kuwa Arusha si Mtwara.
K. Hatua muhimu za kuchukua;
Tunatoa wito kwa Mahakama kuwapa dhamana mara moja viongozi wetu waliopigwa na kubambikiziwa kesi ili wapate matibabu. Maisha ya viongozi wetu yako hatarini. Mketo alifanyiwa operesheni kubwa mwaka jana na inaonekana kuna damu inavuja ndani ya mwili wake (internal bleeding). Wengine wamepigwa zaidi ya Mketo hatujui madhara makubwa waliyoyapata.
Tunawasiliana na Mawakili wetu na asasi za haki za binadamu kuelewa hatua za kisheria tunazoweza kuchukua dhidi ya Jeshi la Wananchi kuwateka nyara na kuwatesa viongozi wetu.
Vile vile tunawasiliana na Mawakili kujua hatua za kisheria za kuchukua dhidi ya Jeshi la Polisi la kushiriki katika kubambikizia kesi watu ambao wamekamatwa na kupigwa na askari wa Jeshi la Wananchi.
Tunawasiliana na asasi za kiraia zinashughulikia Haki za Binadamu na Haki za Wanawake kumsaidia mama aliyebakwa kisaikolojia na kuhakikisha waliohusika wanafikishwa mahakamani ili wanajeshi wanaobaka wajue kuwa hawako juu ya sheria.
Jeshi la Wananchi linajijengea uhasama mkubwa na raia wa kawaida mkoani Mtwara. Hii ni hatari kwa usalama na amani ya kweli ya nchi yetu. Utaratibu wa wanajeshi kukamata kupiga na kutesa wananchikwenye kambi ya Naliendele usitishwe mara moja. Mkuu wa Mkoa ambaye ni afisa wa jeshi mstaafu hana mahusiano mazuri. Anawadharau, kuwabeza na kuwaona ni waswahili wasiokuwa na maana. Anajenga uhasama mkubwa kati ya wananchi na serikali.
Tukio hili la utesaji la raia ndani ya Kambi ya Jeshi la Wananchi ukiliunganisha na matukio mengine kama vile utesaji wa Dr. Ulimboka, kutekwa nyara na kuteswa kwa Mwandishi wa Habari Absalom Kibanda, kulipuliwa bomu katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA katika viwanja vya SOWETO, Arusha na matukio mengine kunadhihirisha hatua za awali za kusambaratika kwa dola (Failed State). Rais Kikwete akiendelea kuyafumbia macho mambo haya na kuruhusu vitendo vinavyofanywa na Jeshi la Wananchi katika Kambi ya Naliendele taifa linaweza kusambaratika.

Ibrahim Haruna Lipumba
Mwenyekiti,
Jumapili, 30 Juni 2013.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] God Laughs?

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] God Laughs?

Dear all,
"God DOES NOT laugh at people!" Really?

Words Of The Spirit

MESSAGE SPOKEN April 18, 2013
DELUSIONAL PREPAREDNESS!
I speak unto thee this day, and I say that I the Living God do laugh, I do laugh, I do laugh at the ones who are claiming that they are mine, yet I say they are far from me. That is, I laugh at them because they are so dull, so dumb, so stupid, because they have turned unto idols. I say all the while they see themselves as something that they are not, I say they see themselves as full of courage, bravado, when it is not true.
I say for all of their so-called preparedness, none of them is prepared for me. That is, they are not prepared to meet me, to come forth in my way, to be uplifted in my light. But I say they are merely prepared for their own fantasy world that they live in, and oh how they brag in the same. That is, they boast, they strut, one to another, and declare how prepared they are.
But I say they are not prepared for me, because they do not fellowship me. I say this day that I the Living God never called my people to such dumbness, but I say they are there because they worship idols. That is, because they have chosen to estrange themselves from me, through idolatry, I say they are utter fools.
Now consider that I the Living God never called thee to foolery, to vanity, to vexation, and pride. But I say that I have called thee to walk uprightly in me, to come forth in the truth, the light, the strength of who I am. I say that it is me the Living God and me alone that you are meant to seek to please, to obey, and follow after. It is me the Living God and me alone, who gives to thee the way that is my truth, my light, the mercy, the hope, the peace of who I am.
I say when it is me that you keep your focus, your vision upon, I say you are prepared for me. But I say when you are full of the world, and the vanities, when you are full of fear on every hand, and have neglected the fear of me, I say you are not prepared at all. I say there are many who are braggadocio fools who will find themselves in an utter heap, of devastation and despair. I say that it is because they have chosen to walk according to their own understanding, they have chosen to walk according to falsehood and bearing the same, rather than walking in the truth. I say they have lived in delusions as to their own bravery, as to their own courage. But I say they are not brave enough to be facing me. That is, they will not truly prepare themselves by facing the truth, that I provide, and ever coming forth in the same.
But I say they are full of desolation, because while they brag of their great preparedness, I say while they strut in their so-called bravery and courage, I say they do not have the bravery nor the courage to be facing me. But I say instead they are using my name in vain, but their hearts are far from me.
Now consider that I the Living God do laugh at them, for I say they are as children putting on their great shows. That is, when children will put on certain costumes and imagine that they are some great thing, some great soldier, some great cowboy, some great warrior, when really they are nothing but little children, at their play.
I say so it is with all of these ones who strut and boast one to another, as to how brave and courageous they are in their false preparedness, I say they are as children at play. That is, they are fools who are blinded by pride, and loving it so. Now I say if any man or woman will truly be prepared in the days of my wrath revealed, I say they will face their own sinful state. That is, they will face the fact that aside from me, they are nothing but fools, and they are full of vanity and vexation.
I say this day that I the Living God never called thee to live, to die, to perish as a fool. Not at all! But I say that I have called thee to be uplifted in that which I give thee which is the truth, and the light upon thy path. I say it is me the Living God that you are meant to keep looking unto, it is me the Living God that you are meant to keep believing and trusting in.
I say when it is me that you will be facing, that is, you will see your own sinfulness, and desire to change from the same. But I say when a man or a woman is living in a false concept as to their own worth, and declaring how great they really are, I say know they are deceived. I say while they think they are prepared for the dark days, for the evil times, I say they are not even prepared to face their own evil.
I say this day if you do not become acutely aware of the fact that wickedness that works within thee, I say you can be easily deceived. That is, you can be deceived into the imagination that you are better than you are. But I say that the truth of it is, if you are living in falsehood, if you are living in lies, if you are living in delusion, then you are not all right with me.
I say for all of the preparedness, that men imagine they have in the same, it is not true. I say when a man will live in an imagination as to how great he is, know that is exactly what it is. I say that I the Living God never called my people to live in fabrication, imagination, but I say that I have called my people to live in the truth. I say that it is me the Living God that you are meant to seek to please, to obey, and follow after day by day.
I say you are meant to face the reality that the times of my wrath are hear, and all who are not in right standing with me, will be under the same. I say when I the Living God do delight, to pour forth my wrath, it is because men have departed from me. That is, it is because they have gone a whoring, it is because they have sold themselves out for naught, I say that it is because they have chosen imagination, fabrication, invention, and delusion above the truth. I say for all of their so-called preparedness, I say they are simply preparing themselves to receive my wrath.
I say that I the Living God am not mocked, and when men will choose any other way, than the way that I provide, I say they are counted as fools. I say that it is because they have not kept themselves for me. Now consider that I the Living God have called thee to come forth in the truth, the light, the strength of who I am, that you can indeed be uplifted in me. That is, that you can be thankful that I give thee the truth, the light, the mercy day by day. That is, that you can indeed be thankful that I purpose thee, that you will come forth every made glad in me. I say if it is me the Living God that you prepare yourself for day by day, then you are well pleasing unto me.
I say if you are living in delusional preparedness, whereby you think you are something that you are not, I say you are living in lies. I say this day that I the Living God never called thee to live in lies, but I have called thee to walk, to abide, to come forth in the truth. That is, I have called thee to be thankful for the privilege to keep serving, to keep loving, to keep walking in me.
I say that it is me the Living God and me alone that you are meant to please, to obey and follow after. It is me the Living God who does give to thee the truth, and the light upon thy path, that you can indeed come forth ever made glad in me. I say this day if you really consider that each day a man should be prepared to meet me, prepared to obey me, and prepared to walk in my way, I say that such a man will be so humbled, he will not be bragging on himself. That is, he will not be in the strut, the boast as to his own courage, his own bravado, when he knows himself that it is not true.
I say there are multitudes of men in this hour who live in falsehood, I say they live in delusion, and I say they live in their imaginations. I say they are not brave enough nor courageous enough to face me, but I say they live in lies. I say this day that I the Living God am not deceived, by those who are living in lies, not at all. I say when any will choose the course of falsehood, will choose the course of imagination, they will pay for the same. I say that it is because they have followed after that which I the Living God did not intend for them. I say they have gone on in their dreams and their schemes, until they believe the same themselves.
Now stop and consider when a man will sow unto his flesh, he shall of the same reap corruption. I say when a man will sow unto the delusion as to how great he is, of course he is sowing unto falsehood. I say what can he reap from the same except punishment, because he is far from me. For I say that I the Living God do reward men according to how it is that they pour themselves out, and what it is that they give oblation unto.
I say when men will give oblation, that is their worship unto falsehood, delusion, and lies, they will be left empty by the same. But I say when men will give themselves to the worship of me, seeking to be true and faithful unto me, then they are rewarded by me. I say this day that I the Living God do not call thee to the deception of fools, because you are walking far from me.
But I say that I call thee to the glorious light that I provide, that you can be ever uplifted, brought forth, and guided in my way. Stop and consider that I the Living God do have for thee, the multitude of mercies that you are meant to receive. I say if you will be coming forth in the way that I give thee, you will be uplifted and guided in my life. Yes, you will be given the truth, for it is me the Living God who is well able to give to thee the same. Yes, you will be strengthened for I am the one, who will give my purpose, my plan, my strength unto thee.
I say this day be glad that it is me the Living God, who does give to thee the privilege to come forth, the privilege to be uplifted, and guided, the privilege to be ever strengthened in my way. I say that it is me the Living God and me alone who is indeed the blessedness, the truth, the light, and the hope, that you are meant to live in day by day. I say when it is me that you will be loving and serving, when it is me that you will be seeking to please, I say you will not be full of falsehood, bragging on yourself. But I say you will know, understand, and realize that your strength is in me.
I say this day that I the Living God do laugh, I say that I laugh at the fools, who are strutting and boasting as children in costumes, in proud array. I say that it is me the Living God who does know the measure of a man, and I know the ones who are prepared for me, and the ones who are not. I say when you see the proud braggarts, the swaggering fools, who are so sure of who and what they are, know that they are nothing before me. I say they are buffoons, who are caught up in the drunkenness of their own pride, and believing their own lies.
But I say that I the Living God do look for the ones who will truly love and serve me, seek to please me, and come forth in my way. I say this day be glad that it is me the Living God you are privileged to look to, that it is me the Living God you are privileged to believe, to trust, and obey. I say be thankful that you do not need to be under the wrath, the fury, the indignation, because you are far from me.
I say if you walk each day prepared for me, desiring to please me, and walking in obedience unto me, then I say that you do not need to fear my wrath. But I say if you have strayed away, if you have gone a whoring, if you have taken up idols, then I say you are proven to be fool in the same. Yes, as a fool you will be beaten with many stripes, which is the ventilation of my wrath.
I say this day that I the Living God am ever present in mercy, unto the ones who will be able to receive the same of me. That is, the ones who will humble themselves continually, looking for the way that I give unto my own. I say through me the Living God you will be ever uplifted and strengthened, directed, guided, and brought forth in the truth, the light that I provide.
I say that you will be given the hope, for it is me the Living God who does give the same to thee. I say this day that I the Living God do not call thee to worship idols, even the idol of yourself. I say that I do not call thee to have delusion about how great you are, when it is not true. But I say that I call thee to realize that your strength is only to be found through and being prepared, to fellowship me.
I say that it is me the Living God that you are meant to be pleasing, and not putting on a vain show for others, that they will admire thee. But I say, you are meant to walk in the humility of facing yourself, and bowing down low and coming forth in my way. I say this day be glad for the privilege to receive of me, be glad for the privilege to come forth in me, and be ever guided in my way. I say be thankful that I the Living God am the truth, the light, the mercy, the hope, and the peace intended for thee. I say when you come forth rejoicing in all that I offer and provide, be ever thankful, ever thankful, ever thankful, that you can indeed be prepared for me. I say give thanks and praise.

God Laughs?
Gen. James Green
WHEN WE posted the above Word—April 18, 2013—on the Youtube, one critic wrote that "God DOES NOT laugh at people!" Really? This person surely doesn't study his Bible:
"He that sitteth in the heavens shall LAUGH: the Lord shall have them (kings, rulers of earth, v. 2) in derision" (Ps. 2:4, KJV). This LAUGHING is followed up with God's WRATH, VEXING them in His sore displeasure (v. 5). The Revised Standard Version uses, "TERRIFY them in His FURY;" like TERRORIZE!! The Lord laughs and holds their (heathen, v. 1) vain conceits in derision; then in terrifying anger He sets about to show that the king, whom He has set up on Zion, is inviolable (v. 6).
"I also will laugh at you calamity; I will mock when your fear cometh" (Prov. 1:26, KJV).
Why would God LAUGH at someone's calamity? Verse 24 and 25 tells us WHY: "Because I have called, and ye refused; I have stretched out My hand, and no man regarded; But ye have set at nought all My counsel, and would none of My reproof."
"Set at nought" (KJV), or, as the RSV has it, "ignored." The root idea of the verb 'para' is "to let loose" (see Ex. 32:25); then "to let go free," and so "to neglect," "to avoid," "to ignore."
THUSLY, WISDOM, IN TURN, HAS HER LAUGH WHEN MISFORTUNE BEFALLS THOSE WHO HAVE DISREGARDED HER WARNINGS.
MOCK!: A stronger word than LAUGH of the preceding clause—since it implies utterance.
FEAR/PANIC: 'pahadh' means, "sudden terror." The PANIC (RSV) results from events which strike FEAR into the heart, when those who disregard wisdom feel most secure in their own strength, CALAMITY strikes, and brings them to RUIN! Our mere human reason, like that of our critic, is repulsed at Wisdom/God gloating over the misfortune of others. Yet, here it is in the Bible, used by the psalmist, and the prophet, who, likewise, exult over the downfall of the sinner.
Why is it that people only want to believe that God/Jesus/Holy Ghost are only love, love, love? They certainly have another side to them—and it is called WRATH/ ANGER/ FURY/ INDIGNATION/ JUDGMENT!!
I challenge all our critics to read "The Wrath of God" magazines parts one and two; I put days, weeks, months into these. If anyone can prove them false, just try it.
Verse 29 opens our minds a bit more: "For that they HATED knowledge, and did not choose the fear of the LORD." The verbs noted: "did not choose, would have none, despised," are synonymous; revealing the antagonistic attitude of the FOOLS to Wisdom and her counsel, (see Jer. 18:18). Read vv. 30-33 also in Proverbs one.
"The Lord shall laugh at him: for He seeth that his day is coming" (Ps. 37:13). Verse 12 tells of who "him" is: "The wicked plotteth against the just, and gnasheth upon him with his teeth." Verse 12, 14 provides us with a precise picture of the anti-godly; but the LORD LAUGHS at him/them…there is a painful touch of ridicule in v. 13. Amen! God sees ahead that the "wicked" will come to ruin himself/herself.
You see, eventually, retribution will overtake the ungodly. We know this by Ps. 52:5 where, "God shall likewise DESTROY thee for ever, He shall take thee away, and pluck thee out of thy dwelling place, and root thee out of the land of the living." We are surely seeing this happen here, and now, in good ol' backslidden USA—many are being deprived of their power, wealth, health; made homeless. Verse 6 tells us that, "The righteous also shall see, and fear, and shall LAUGH at him!! (V. 7 continues: "Lo, this is the man that made not God his strength; but trusted in the abundance of his riches, and strengthened himself in his wickedness.") We, personally, know some who are under God's judgment: some have died a HORRID DEATH, others are in total RUIN!!
"But thou, O LORD, shalt laugh at them (enemies of vv. 1-7); thou shalt have all the heathen in derision" (Ps. 59:8, KJV). Read this entire psalm.
The LORD, who is competent to SAVE, is also the same LORD that is competent to SLAYLAUGHTER and corrosive SCORN are all part of God's character!
You see, if, and when, men mock God/laugh at His Word, the pleasant vice of such will become instruments to scourge us. God MOCKS the mockers. Those who conspired to have Jesus put to death (see Mark 10:32-34) were MOCKED in 70 AD. Tens of thousands of the Jews were crucified!! Jesus put forth a parable (a true one!) in Luke 19:12-27 in which He was revealing what lie ahead for, "those mine enemies, which would not that I (Jesus) should reign over them, bring hither, and SLAY them before Me" (v. 27). Why isn't this taught by our "Jesus is only love, love, love" Churchites??
In every parable that Jesus uttered, there was something that lay at the door. In this one, Jesus foretells the DESTRUCTION of Jerusalem, and His enemies. And I'll warn all of you, that, if you, too, refuse to let Jesus reign over you (v. 14), YOU WILL FACE HIS WRATH.
No doubt Jesus had in mind 1 Samuel 15:33—the prophet Samuel's treatment of king Agag. Matthew's version describes the fate of the "worthless servant" (Mt. 25:30); and Codex Bezae adds this matter to Luke's text.
Verse 27 refers to the Jews, whom Jesus would SLAY by the sword of the Romans—this is New Testament folks, not Old Testament. And, as I write, God is pouring out His Wrathful judgments/punishments upon this world. And, they are going to increase, too. I PITY YOU WHO ARE THE ENEMIES OF CHRIST—HE WILL LAUGH AT YOUR RUIN!
Not only did the Jews kill Jesus, they also were guilty of killing the prophets (Matt. 23:37). Jesus wished to gather the Jewish people together into the Kingdom of God "as a hen (or bird) gathereth her chicken (or brood) under her wings, and ye would not!"
According to Josephus (Jewish War VI 5:3), at the time of Pentecost, just before the temple's fall, the priests heard a portentous voice say, "We are departing hence." It must have been generally believed that God's presence had forsaken His house.
The lament and pathos over Jerusalem came before God's WRATH; mercy before FURY. There is no doubt that Jesus loved both Jerusalem, and the people. He wanted both to be spared (v. 37 echoes Ps. 17:8 and 57:1). Lest we forget, the Jews were under the wings of the Roman eagle, not God's, because of their rebellion/sin. Jesus wanted to free their minds/hearts from the same. Had they accepted Him, the Romans would have been driven away by God. But, because of their continued rebellion against God, Roman dominion prevailed…and ICHABOD (1 Sam. 4:21) was written upon that city. Jesus says in v. 38, "Behold, your house is left unto you desolate." Has this happened to America? Is it a matter of time before America lies in ruin?
Let's face the facts, America's "freedoms" are fading fast. We can become like Jerusalem in our obstinate rejection of God's love—it can, and will, run out!!
Jesus predicts the destruction of Jerusalem, and the temple in cpt. 24:1-2. No doubt, Jesus, regarding this future catastrophe, predicted its ruin, not with happiness, but with sorrow. Remember, too, that His enemies, at His trial, accused Him of planning to destroy the temple. Their evil returned unto them; the temple was destroyed by the fierce and overwhelming vengeance of Rome. Jesus saw a DARK day coming, and He could not hide the Truth.
Most think that America will not suffer ruin. Don't be so sure, dear ones. Jerusalem's great building—her great temple, became a tower of Babel! Don't be fooled by America's "Greatness;" God's temple was the "beauty of holiness" (Ps. 29:2; 96:9); yet destroyed!
WHEN MERE MEN MOCK GOD, GOD WILL MOCK THEM.

HAVE YOU BEEN SAVED? JESUS IS REAL!! PRAY LIKE THIS.
Dear Jesus, I come to you with all the sins I've committed and I beg you to forgive me. Rescue me from eternal damnation in Hellfire. I confess that I am a sinner and that I cannot save myself. Don't let me die in my sins. Please cleanse my body, soul and spirit with your precious blood. I need your help and I ask you to come and live in my heart. I want to serve you, obey your commands and do what is right. I want to live for you everyday and receive everlasting life. Please lead and guide me by your Spirit into righteousness. Help me live a clean and holy life that is pleasing unto God. Thank you Jesus for hearing and answering my prayer. Amen! Read the BIBLE!
Write for our other free publications dealing with the JUDGMENTS OF GOD.
We would like to hear from you!
To request literature or more information
about us or our community please E-mail us:
livingword@aggressivechristianity.net

or write to us:
AGGRESSIVE CHRISTIANITY
HR 60, Box 11,
Fence Lake, NM 87315

www.aggressivechristianity.net  

[wanabidii] Only in Tanzania- Kituo Dar es Salaam mwajiriwa Nchi nyingine

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Only in Tanzania- Kituo Dar es Salaam mwajiriwa Nchi nyingine
Nadhani hapa mamlaka zatakiwa kuwa makini vinginevyo watanzania hatakuwa na ajira kamwe

Look at this  criteria for an incumbent required     http://tz.3wjobs.com/votIIA.html

Kwa mtindo huu wengi wameshaingia nchini pasipo kujulikana na wizara ya kazi

Nawaza tu
M

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Kitabu cha mbinu za biashara sehemu ya 2 kwa email.

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Kitabu cha mbinu za  biashara sehemu ya 2 kwa email.


Napenda kuwaarifu kwamba sasa, Nimekamilisha kutunga, kitabu cha mbinu za biashara sehemu ya pili, unaweza kukipata kwenye email yako kwa mfumo wa PDF. Kwa wale wanaohitaji wanaweza kunitumia Sh. 5,000 kwa M PESA kwenye simu namba 0755394701 kisha kunitumia email zao na mimi nitawatumia email iliyoambatanishwa na kitabu.

 Kitabu hiki ni sehemu ya pili ya kitabu cha Mbinu za biashara na maarifa ya kupata pesa na utajiri ambacho kina na lengo la kukusaidia wewe ili uweze kupata maarifa endelevu, ujuzi, elimu ya biashara na mbinu za kudunduliza fedha ili kufanikisha safari yako ya kuelekea kwenye kutafuta utajiri. Kama hujasoma kitabu cha kwanza (Mbinu za biashara na maarifa ya kupata pesa na utajiri) nakushauri ukitafute ukinunue na ukisome. Tofauti ya kitabu cha kwanza na cha pili ni kwamba kitabu cha kwanza kinakupa mbinu za uendeshaji wa biashara na maarifa ya kupata pesa kwa hatua za mwanzo lakini cha pili kina mbinu za biashara za hali ya juu pamoja na  mawazo ya ziada  ambayo yanaweza kukusaidia kupata pesa zaidi na jinsi ya kuwekeza pesa zako ili ziweze kuongezeka zaidi.

 Kitabu hiki kinawafaa watu wote wanaotafuta kujiongezea mapato na utajiri kwa njia mbalimbali halali kwa kufanya biashara, kuanzia wafanya biashara ndogo ndogo hata wafanyabiashara wakubwa. Hakiishii kwa wafanyabiashara tu, bali kinamfaa mtu yeyote anayetaka kuwa tajiri kwa kuwa atajifunza mbinu mbalimbali za kujipatia, kunyumbua mapato yake na kuwa tajiri kwa njia halali.

 

CHARLES NAZI

Mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara sehemu ya pili.

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] 2013 CGAP Photo Contest Now Open for Entries

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] 2013 CGAP Photo Contest Now Open for Entries

The CGAP Photo Contest, which aims to highlight stand-out photography from amateurs and professionals around the world depicting financial inclusion, is now accepting entries for 2013. All entries should be submitted online atcgap.org/photocontest between June 26 and October 2, 2013.

We are looking for original, striking images that illustrate the complex financial lives of people living in poverty and how financial inclusion makes a difference. Photos may represent a range of products, institutions, and methodologies, and may touch on a broad range of social, economic, developmental, and technological issues. We encourage entries from all regions, in both rural and urban settings. By sharing your images that demonstrate the variety of ways poor households manage household finances, you'll help us tell a story of innovation and ingenuity in the use of financial services to improve lives.

 

Previous rounds of the contest have produced stunning and creative images that have been shared with organizations working in financial inclusion and global media. Last year's contest was the most competitive to date, with 2,500 entries from 80 countries. The winning photo - "Smoke of Charcoal," submitted by Yavuz Sariyildiz of Turkey, a former banker - received excellent exposure globally: it was displayed by PR Newswire in New York City's Times Square, featured in two Turkish newspapers, and included in a gallery on BBC Vietnam's website.

Many prizes will be issued in 2013, including a grand, second, and third prize. Be sure to vote for your favorite photos online to help determine the People's Choice winner.

To view all photo submissions, official rules, requirements, and prizes, please go tocgap.org/photocontest. Additionally, you may follow us on Twitter (@CGAP) and find us on Facebook for updates.

 

About CGAP
The Consultative Group to Assist the Poor works toward a world in which everyone has access to the financial services they need to improve their lives. CGAP develops innovative solutions for financial inclusion through practical research and active engagement with financial service providers, policy makers, and funders. Established in 1995 and housed at the World Bank, CGAP combines a pragmatic approach to market development with an evidence-based advocacy platform to advance poor people's access to finance.

Link:http://www.cgap.org/news/2013-cgap-photo-contest-now-open-entries

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Uganda 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Rankings and Accountability in Higher Education: Uses and Misuses

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Rankings and Accountability in Higher Education: Uses and Misuses

A new UNESCO publication, Rankings and Accountability in Higher Education: Uses and Misuses, debates the pros and cons of classifying universities. It brings together the people behind university rankings and their critics to debate the uses and misuses of existing rankings. Featuring voices from five continents, the publication aims to help the ultimate readers of rankings and league tables – be they students, parents, governments or institutional leaders – become better, and more discerning users of these tools. It provides a comprehensive overview of current thinking on the subject, and sets out alternative approaches and complementary tools for a new era of transparent and informed use of higher education ranking tables.  

Of the world's 17,000+ universities, only 1% are the focus of the "world university rankings" published by three of the most prominent "ranking houses". Although varied in many respects, the top 200 ranked schools tend to be older (200+ years) establishments, focusing mostly on scientific research, with around 25,000 students and 2,500 faculty; and annual budgets exceeding 2 billion USD. Contributing authors from well-known ranking organizations open the debate in Rankings and Accountability, offering a detailed look at the methodological approaches they use, their strengths and shortcomings, and their evolution over time. For Nian Cai Liu of Shanghai Jiao Tong University, who helped launch the first ever global university rankings in 2003, rankings are not and should not be used as the sole source of information that guides decisions pertaining to the quality of universities. Yet for Phil Baty of the Times Higher Education and Ben Sowter of QS University Rankings, there is no doubt that rankings are "set to stay", and can help improve transparency and accountability in higher education, in a global market of higher education. 

Link:http://www.unesco.org/new/en/education/resources/in-focus-articles/rankings/

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Uganda 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[Mabadiliko] Obama Hafichi Kusimulia Alikotoka, Anasema; " Nilidunduliza nikanunua suti na viatu vilivyonibana!"

Sunday, June 30, 2013 Add Comment

Obama Hafichi Kusimulia Alikotoka, Anasema; " Nilidunduliza nikaweza kununua suti na viatu vilivyonibana, ofisini walishangaa!"

Ndugu zangu,

Obama anasema; " Wakati tukiendelea na masomo yetu ya Sheria mimi na Michelle tulifanya kazi katika kampuni ya Uwakili ya Sidley na Austin jijini Chicago.

Binafsi nilikuwa na wasi wasi kuhusu ujana wangu na hasa changamoto kuwa maisha ya sasa ni fedha. Hofu yangu ilikuwa ni lini nitaanza kukamata fedha nyingi ili zisaidie mawazo na fikra zangu kufikia mahala ninapotaka.

Lakini, kutokana na kupanda kwa gharama na mkopo niliyochukua Serikalini kwa ajili ya masomo, niliamua kuendelea kuwatumikia mabwana wawili; chuo na kampuni ya sheria.

Nilijitahidi kadiri nilivyoweza kundunduliza sehemu ya kipato changu . Hatimaye nilifanikiwa kuwa na chumba. Nilinunua suti zangu tatu na pia jozi moja ya viatu.

Hata hivyo, wakati nanunua viatu sikuwa makini, kwani vilionekana vidogo; vilivyonibana na kunifanya nionekane mshamba. Siku niliyopiga ripoti ofisini, kila mmoja aliniangalia.

Ingawa sikujua ni kwa nini, lakini nilihisi walifanya hivyo kutokana na viatu vyangu!"- Barack Obama ( Kutoka kijitabu cha Maisha Ya Barack Obama, alikotoka, aliko na anakokwenda, Maggid Mjengwa, 2008.)

Maggid,
Iringa.
0754 678 252
http://mjengwablog.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[Mabadiliko] Msimamo Mkali Wa Vijana Wa Mlimani ( VI)- Nyerere Aliwaita Wajerumani ' Wamasai Wa Ulaya'!

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[Mabadiliko] Msimamo Mkali Wa Vijana Wa Mlimani ( VI)- Nyerere Aliwaita Wajerumani ' Wamasai Wa Ulaya'!


Na Born Again Pagan

Mwalimu alikipenda Chuo Kikuu (Mlimani)! Alipendelea kuwaleta wageni wa taifa hapo Mlimani kukutana na jamii ya Chuo Kikuu na kubadilishana mawazo, kwa mfano. Rais Josip Tito wa Yugoslavia na Indira Gandhi wa India.

Mwalimu Nyerere alivutwa na wanafunzi wa Mlimani, hususan, wana-TYL. Wakati alipopata nafasi, hakusita kuwakaribisha wana-TYL nyumbani kwake Msasani. Nakumbuka siku moja alokoshwa sana na baadhi ya michango kutoka kwa kundi lilikwena kumtembelea alasiri moja ya Jumapili.

Akiwa amejawa na furaha, Mwalimu Nyerere alitamka...nasikia kuwa wakati mwingine mnaacha raha za wikiendi na kumalizia, pengine, "homework" zenu alasiri za Jumatano zisizo na madarasa kusaidia....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/siasa/item/3606-msimamo-mkali-wa-vijana-wa-mlimani-vi-nyerere-aliwaita-wajerumani-wamasai-wa-ulaya.html#.Uc_VgpyNCAg

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Obama Ana Simulizi Mbaya Ya Afrika Kichwani Mwake...( MAKALA, MWANANCHI JUMAPILI)

Sunday, June 30, 2013 Add Comment
[wanabidii] Obama Ana Simulizi Mbaya Ya Afrika Kichwani Mwake...( MAKALA, MWANANCHI JUMAPILI)


Na Maggid Mjengwa,

BARACK Obama ametua Afrika. Mguu wake wa kwanza ameukanyagia Senegal. Neno lake kuu akiwa Senegal ni DEMOKRASIA. Ameisifu Senegal kwa kuwa mfano wa kuigwa katika kukuza demokrasia barani Afrika.

Kisha ametua Afrika Kusini. Jana Jumamosi ametembelea Kisiwa cha Robben, mahali ambapo Nelson Mandela alifungwa kwa miaka 27. Inahusu DEMOKRASIA. Bila shaka, Obama ataisifu Afrika Kusini kwa kukuza demokrasia yake na hivyo kuinua uchumi wake. Maana, pasipo na demokrasia ni nadra kwa uchumi kukua.

Kesho Barack Obama atatua Dar Es Salaam, Tanzania. Huhitaji kuwa mtabiri, kujua , kuwa Barack Obama atalitamka neno DEMOKRASIA akiwa Tanzania. Huenda Obama akaitaja Tanzania kuwa mfano wa kuigwa katika kudumisha Amani na Umoja miongoni mwa watu wake. Lakini, bado Obama atasisitiza pia umuhimu wa demokrasia na uhuru zaidi wa vyombo vya habari barani Afrika.

Obama anaipenda Afrika, ni bara alilozaliwa baba yake mzazi, Dr. Barack Hussein Obama, Sir. Hivyo, kwa Barack Obama, Afrika ni bara la asili yake, na Kenya ndiko iliko asili yake. Ndiko liliko kaburi la baba yake.

Lakini, Obama ana simulizi mbaya juu ya bara hili.....Soma zaidi...http://mjengwablog.com/siasa/item/3605-obama-ana-simulizi-mbaya-ya-afrika-kichwani-mwake-mwananchi-jumapili.html#.Uc_I3JyNCAg

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.