[wanabidii] NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME
NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME, SERIKALI IELEZE WANANCHI UKWELI NA HATUA KUHUSU UDHAIFU KWENYE UTEKELEZAJI WA MPANGO WA DHARURA


Nchi imeingia tena katika mgawo wa umeme kinyume na ahadi iliyotolewa na Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo bungeni tarehe 28 Julai 2012. 

Hali hiyo ni matokeo ya Serikali kutozingatia tahadhari niliyoitoa bungeni tarehe 27 Julai 2012 kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani na kwa nyakati mbalimbali kwa nafasi yangu ya Waziri Kivuli wa Nishati na Madini juu ya hali tete iliyotarajiwa kuwepo na hatua zinazopaswa kuchukuliwa katika utekelezaji wa mpango wa dharura wa umeme. 

Ikiwa ni sehemu ya wajibu wa kibunge wa kuisimamia Serikali nawataka viongozi na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuacha kuficha hali ya mambo na kuwaeleza ukweli wananchi kuhusu mgawo wa umeme uliojitokeza na hatua za haraka zinazochukuliwa kurekebisha hali hiyo. 

Iwapo Wizara na TANESCO hawatatoa matangazo ya ukweli kwa wananchi, kwa nafasi yangu ya Waziri Kivuli wa Nishati na Madini nitaeleza vyanzo vya mgawo wa umeme uliojitokeza ili hatua ziweze kuchukuliwa wakati huu ambapo wajumbe wa kamati ya nishati na madini wenye wajibu wa kuisimamia Serikali kwa niaba ya Bunge katika sekta hizo nyeti hawajateuliwa.

Aidha, pamoja na kutoa maelezo kuhusu mgawo wa umeme, Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO watumie nafasi hiyo pia kueleza hatua zilizochukuliwa kuhusu ukaguzi wa awamu ya pili kuhusu tuhuma za ufisadi katika ununuzi wa vifaa na uzalishaji wa umeme wa dharura ikiwemo kuhusu mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme. 

Ikumbukwe kwamba mwanzoni mwezi Agosti 2012 Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAOT) iliunda timu ya wakaguzi kufanya ukaguzi maalum wa hesabu za Shirika la Umeme (TANESCO) kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zilitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Nishati na Madini katika maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani tarehe 27 Julai 2012 na Waziri wa Nishati na Madini wakati wa majumuisho ya hoja ya Serikali tarehe 28 Julai 2012. 

Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO waeleze pia hatua iliyofikiwa kuhusu uchunguzi mwingine uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuanzia mwezi Agosti 2012 wa mchakato wa ununuzi wa mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme wa dharura kutokana na tuhuma mbalimbali zilizotolewa bungeni kuhusu ununuzi huo suala ambalo Kambi Rasmi ya Upinzani ilitaka pia tarehe 27 Julai 2012 liundiwe kamati teule ya Bunge ili uchunguzi wa kina uweze kufanyika. 

Wenu katika uwakilishi wa wananchi, 

John Mnyika (Mb)
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini 

27 Februari 2013

Source: http://www.wavuti.com/4/previous/2.html#ixzz2ME73XnTm

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] TAHADHARI KUHUSU WATU WANAO FANYA UTAPELI MTANDAONI KWA JINA LA TAASISI YA RAFIKI ELIMU

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] TAHADHARI KUHUSU WATU WANAO FANYA UTAPELI MTANDAONI KWA JINA LA TAASISI YA RAFIKI ELIMU
TAHADHARI KUHUSU WATU WANAO FANYA UTAPELI MTANDAONI KWA JINA LA TAASISI YA RAFIKI ELIMU.

Uongozi  wa  Taasisi  Ya  RafikiElimu  Foundation  unapenda  kuwahadharisha  wananchi wote  juu  ya  kuibuka  kwa  kundi  la watu  wanaofanya  utapeli  mitandaoni  kwa  kutumia  jina  la  Taasisi  ya  RafikiElimu ( RafikiElimu Foundation.) 

Siku  ya  Ijumaa  ya  leo  tarehe  28  FEBRUARI  2013  mnamo  majira  ya  saa  5  kamili asubuhi, ofisi  yetu  ilitembelewa  na  mwanadada  aliye jitambulisha  kwa  jina  la  HAWA  MUSSA. 

Mwanadada  huyu  baada  ya  kujitambulisha, aliomba  kuonana  na  HUMAN  RESOURCES  MANAGER  wa  Taasisi  ya  RafikiElimu, baada  ya  kumuona alionesha  fomu  aliyopewa  kupitia  mtandaoni  na  watu  waliojitambulisha  kwake  kama  RafikiElimu  Foundation.

Watu  hao  walitoa  tangazo  kupitia  mtandao  wa  ZOOM TANZANIA  wakidai  kuwa  wana wa- link, wahitimu  mbalimbali  wa  vyuo  vikuu    na  taasisi  mbalimbali  zisizokuwa  za  kiserikali  kwa  ajili ya  kufanya  kazi  katika  taasisi  hizo  kama  volunteers.  

Mwanadada  huyu  akaendelea  kueleza  ya  kwamba, baada  ya  kuona  tangazo  hilo  alivutiwa  na  kutuma  maombi  ambapo  walimjibu  kwa  kumpatia  fomu  aliyo takiwa  kuijaza  na  kuirejesha  kwao.  Baada  ya  kujaza  fomu  hiyo, walimtumia  barua  pepe  nyingine  na  kumwambia  kwamba  maombi  yake  yamekubaliwa, kisha  wakamtumia  fomu  na  kumwambia  aijaze, aimbatanishe  na   CV  yake, na  kuwatumia  pesa  kiasi  cha  shilingi  Elfu  Tano  ( TSh. 5,000/=)  kwa  njia  ya  MPESA   kwenda  namba  0763906931  (AMBAYO  MBAYA  ZAIDI,  WAMEISAJILI  KWA  JINA  LA  RAFIKIELIMU). 

Baada  ya  kuwatumia  pesa  hiyo, wakamwambia   aripoti  na  fomu  yake  iliyojazwa na  kuambatanishwa  na  CV kwa  HUMAN  RESOURCES  MANAGER   wa  Taasisi  ya  RafikiElimu  (ambaye  kwenye  barua  hiyo  walimtaja  kama  Mr. ALBERT  EMMANUEL  ) siku  ya  tarehe  28  FEBRUARI  2013  saa  5  kamili  asubuhi.

Sisi  Taasisi ya RafikiElimu tumeshangazwa  sana  na  taarifa  hii kwa  sababu  kwanza,  hatukutoa  tangazo  la  aina  hiyo, lakini  pili  huwa  hatuwatozi  watu  pesa  ili  kuwatafutia   nafasi  za  kujitolea. Tumefadhaishwa  sana. 

Tumebaini  kuwepo  kwa   utapeli unaofanywa  na  watu  kwa  jina  letu,   hivyo  moja  kwa  moja  tumekwenda  kuripoti  tukio  hili  la  uhalifu  katika  kituo  kidogo  cha  polisi  kilichopo  katika   Chuo  Kikuu  Cha  Dar  Es  salaam, sehemu  ya  Mlimani  na  kupewa  RB  namba    UD/RB/849/2013  WIZI  KWA  NJIA  YA  MTANDAO. Tumelitazama  tangazo  hilo  katika  mtandao  wa  Zoom Tanzania.  Tangazo  hili lililowekwa  mtandaoni  mnamo siku  ya  tarehe   05 FEBRUARI  2013  lilisomeka  kama  ifuatavyo :
Picture
UDHAIFU  WA  TANGAZO  HILI:

i.  Namba  waliyo  weka  haipo (  IT  DOES NOT  EXIST  )
ii.   Wanasema  " We are looking for Highly motivated individuals to volunteer in differentprivate Organisation... (RafikiElimu  Foundation,  hatushughuliki na  private  organizations bali  NON-GOVERNMENTAL  ORGANIZATIONS).
iii.  Namba  za  simu  walizo  weka, hazipo  kwenye  blogu  yetu.
iv.   Katika  tangazo  lao,  hakuna  link  inayo  onyesha   anuani  ya  blogu  yetu.
v.   Wametoa  tangazo  lao  kwa  lugha  ya  kiingereza, sisi  kama  RafikiElimu  Foundation  hatujawahi  kutoa  tangazo  kwa  lugha  ya  kiingereza.
vi.  Kiingereza  walicho  tumia  ni  kibovu  sana.  
vii.  Anuani  ya  barua  pepe  waliyo  tumia  ni  batili  na  wala  haipo  kwenye  taarifa zetu  za  kwenye  blogu  yetu.   Anwani  ya  barua  pepe  waliyo   tumia  ni  : graduatevolunteer@gmail.com    wakati   anuani  ya  barua  pepe  ya  taasisi  ya  RafikiElimu  Foundation  ni   :  rafikielimutanzania@gmail.com


HATUA  TULIYO  CHUKUA  BAADA  YA  KULIONA  TANGAZO  HILI  NI  KUUFAHAMISHA  UONGOZI  WA  MTANDAO  WA  ZOOM    TANZANIA, KUHUSU  TANGAZO  HILO  LA  KITAPELI  ILI  KUWANUSURU   WANANCHI  WENGINE  ZAIDI   NA  TUNASHUKURU  ZOOM  TANZANIA  WAMEPOKEA  TAARIFA  YETU  NA  KUAHIDI  KULISHUGHULIKIA  TATIZO  HILO  KWA  KULIONDOA  KATIKA  TOVUTI  YAO .

MAELEZO   YA  KWENYE   FOMU   YA  MATAPELI  HAWA
UDHAIFU   WA   FOMU   HII  :

1.  Namba  zao  walizo  zitoa  kwenye  fomu  hizi  za  kitapeli, hazipatikani  muda  wote, wakati  namba  zetu  zinapatikana  muda  wote.
2.   Katika  fomu  yao  ya  kitapeli, hawajaandika  location  ya  ofisi  zilipo, hawajaweka  sanduku  la  barua,  blog  adress   wala  namba  za  simu  zinazo  patikana.
3.   Hakuna  logo.
4.  Hakuna  sahihi.
5. Hakuna  jina
6. Hakuna  muhuri.

Tulipo  jaribu  kuwapigia  kwa  namba  walizo  ziweka  kwenye  mtandao  ambazo  ni  +255 22 524 3785  tukajibiwa  ya  kwamba  namba  hizo  hazipo  (  the  number  your  dialing  are  not existing  ).

Na  tulipo  jaribu  kuwapigia  kwa  namba   0763906931  nazo  zikawa  hazipatikani  muda  wote.

Taasisi  yangu  kwa  kushirikiana  na  jeshi  la  polisi,  tunafanya  msako  mkali  dhidi  ya  mtu  ama  watu  hawa  na  tunaahidi  ya  kwamba  tutawakamata  ndani  ya  muda  ambao  si  mrefu  sana  na  kuwafikisha  kwenye  vyombo  vya  dola.

OMBI:  Kama   na  wewe  ni  miongoni  mwa  walio  tapeliwa  na  watu  hawa, tafadhali  wasiliana  nasi  kwa simu   0782405936  ili  tushirikiane  katika  kuhakikisha  wahalifu  hawa  wanatiwa  mbaroni  na  kufikishwa  katika  vyombo   vya  sheria. 

TAMKO  LETU :  Tunalaani  vikali  kitendo  kilicho  fanywa  na  ama  kinacho fanywa  na  wahalifu  hawa, kwani  mbali  na  kuiba  pesa  za  Watanzania  masikini  kama  wao,  kitendo  hiki  kinachafua  jina  la  Taasisi  yetu  ambayo  inafanya  kazi  zake  kwa  kushirikiana  na  wananchi.


ANGALIZO  KWA  WANAOTAFUTA  KAZI : 
  

i. Unapo  tuma  maombi  ya  kazi  katika  sehemu  yoyote  ile  halafu  ukaambiwa  utume  pesa  ili  kupatiwa  kazi  hiyo, jua  kwamba    huo  ni  utapeli  na  kazi  hiyo  haipo.

ii.  Hakikisha  unazifahamu  ofisi  za     taasisi  hiyo  zilipo  kabla  ya  kuchukua  maamuzi  yoyote  yanayo  husisha  pesa.  

iiii.  Ni  vyema  kufanya  uchunguzi  ili  kujiridhisha  kama  taasisi  hiyo  kweli  ipo.

iv.  Unapoona  tangazo  la kazi, na  kuvutiwa  nalo, jitaidi  kuwapigia  simu  walioweka  tangazo  na  kuwauliza   maswali mawili  matatu kuhusu  kazi  hiyo.  

HATA  HIVYO:  Tunashukuru kuwa mpaka sasa  ni  mtu  mmoja  tu  ndie  aliyeripoti  kutapeliwa  na  watu  hao  kwa  jina  la  Taasisi  yetu.  Hii  ina  maana  kuwa  Watanzania  wengi  wameelimika  kwa  sasa, inawezekana   watu  wengine  walilishitukia  tangazo  hili  na  kuachana  nalo.


Source: http://www.wavuti.com/4/previous/2.html#ixzz2ME6tXd1l

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Mizinga Melu is a new NBC’s Managing Director

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] Mizinga Melu is a new NBC’s Managing Director
Dar es Salaam February 28, 2013. 

The National Bank of Commerce (NBC) has today announced the appointment of Mizinga Melu as its new Managing Director, subject to regulatory approval. The appointment is with effect from 20th May 2013.

Mizinga is joining NBC from Standard Chartered Bank Zambia where until now she has been Managing Director since 2007. She takes over from Lawrence Mafuru, who left the bank in December, 2012.

Mizinga has previously served in senior roles at Standard Chartered, including as Global Head of Development Organisations in the United Kingdom where she was responsible for strategy development and implementation as well as Africa Regional Head of Financial Institutions in Kenya and South Africa where she led formulation of Standard Chartered's FI business strategy in Africa. Prior, she served as Head of Treasury at Standard Chartered Bank Tanzania between 2000 and 2003. 

Mizinga holds a Masters in Business Administration (MBA) from Henley Management College (UK) and is an Associate of the Chartered Institute of Bankers (A.C.I.B). She holds numerous other banking qualifications.

Commenting on the appointment, Barclays Africa Chief Executive Officer and Head of Africa Group Strategy, Kennedy Bungane said: "The appointment of Mizinga reiterates the importance of NBC to our 'One Africa Strategy' and we are excited that she is joining us at a time we are making steady progress towards our goal of becoming the go-to bank in Africa." 

Dr. Mussa Juma Assad, Chairman of NBC commented: "The board welcomes Mizinga to NBC and looks forward to working with her in maintaining the position of NBC as a leading bank in Tanzania."

Commenting on her appointment, Mizinga said: "NBC has over the years proven to be an important financial services provider in Tanzania. I am privileged to have the opportunity to lead this great bank at this important moment and I am looking forward to working with every colleague in NBC as we continue on our journey of transforming the bank in the market."

Mizinga will report directly to Kennedy Bungane, Barclays Africa Chief Executive Officer and will be a member of the Barclays Africa Executive Committee.


About NBC:

NBC is one of the most represented retail bank in the country with 45 years experience in providing financial services. Apart from offering traditional banking services, NBC also prides itself with an expanded branch network and footprint. NBC has 52 branches, 302 Visa enabled ATMs, and over 264 Points of Sales strategically located throughout the country. NBC has employed over 1,400 staff. Conveniently Everywhere.

For more information contact:
Mwinda Kiula-Mfugale, Head of Marketing, Communications & corporate Affairs, NBC, mwinda.mfugale@nbctz.com


Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2ME6ahdpU

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Mabadiliko ya Mfumo wa Ukusanyaji Mapato Hospitalini Muhimbili

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] Mabadiliko ya Mfumo wa Ukusanyaji Mapato Hospitalini Muhimbili

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MABADILIKO YAMFUMO WA UKUSANYAJI MAPATO


Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili iko kwenye mchakato wa kutekeleza mikakati mbalimbali inayolengakuongeza mapato ili kuiongezea uwezo wa kifedha unaohitajikakatika kuboresha utekelezaji wa shughuli mbalimbali zaHospitali ikiwemo utoaji wa huduma kwa wagonjwa. Mikakati hiyo pamoja na malengo mengineyo, inakusudia kuhakikisha kuwa Hospitali inakusanya kikamilifu mapato yatokanayo naada mbalimbali wanazolipa wagonjwa ili kuchangia gharama za huduma mbalimbali zitolewazo hivyo kuongeza kiwango chaubora wa utoaji huduma ya tiba kwa wagonjwa. 

Aidha, kufanikiwa kwa lengo hili kutaiwezesha Hospitali kuvuka lengo la kugharamia bajeti ya matumizi ya kawaida, kwa kutumia mapato ya ndani kwa asilimia arobaini kama Sera ya Mabadilikoya Taasisi za Umma inavyoelekeza. (Public Sector Reforms). Kwa sasa Hospitali inagharamia bajeti ya matumizi ya kawaidakwa kutumia mapato ya ndani kwa asilimia 58%. 

Menejimenti ya Hospitali ya inategemea kuwa, mabadiliko haya ya mfumowa ukusanyaji wa mapato kwa kutumia benki, yataongeza makusanyo ya ndani kwa asilimia hamsini (50%) au zaidi na hivyo kuongeza uwezo wa kifedha wa Hospitali kugharamia bajeti ya matumizi ya kawaida kwa kutumia mapato ya ndanikutoka asilimia 58% hadi 72% katika mwaka wa fedha2013/2014. 

Tunapenda kuwafahamisha kwamba moja ya mikakati inayotekelezwa na Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, ni kuboresha udhibiti wa mfumo wa ukusanyaji mapato ya ndani.

Katika jitihada za kuboresha na kudhibiti mfumo wa ukusanyaji mapato unaotumika hivi sasa, Hospitali imeingia katika makubaliano na benki ya National Microfinance Bank (NMB) ambayo itatoa huduma ya ukusanyaji mapato kwa niaba ya Hospitali. Makubaliano ya kutoa huduma hii yalifikiwa baina ya Benki ya NMB na Hospitali ya Taifa Muhimbili mwezi wa Januari2013 na maandalizi ya kutoa huduma hii yalianza.

Maandalizi haya yapo katika hatua za mwisho na tunategemea kuanza kutumia mfumo mpya wa ukusanyaji mapato kupitiabenki ya NMB kuanzia siku ya Jumatatu, tarehe 11/03/2013.

Katika mfumo huu mpya wa kukusanya mapato, tutakuwa na vituo vitatu ndani ya Hospitali ambapo vituo viwili vitakuwa katika jengo la wagonjwa wa nje (New Outpatient Block) ambalo lipo mkabala na jengo la wazazi na kituo kingine kitakuwa katika jengo la kutolea huduma ya vipimo vya mionzi (lijulikanalo kama - Jengo la X-ray).

Katika mfumo huu mpya, mgonjwa atatakiwa kupata hati yagharama ya malipo ya huduma (bill note) itakayokuwa inatolewa na wafanyakazi wa Hospitali katika vituo ambavyo vitakuwa karibu na maeneo yote ya kutolea huduma. Hati ya gharama ya malipo ya huduma (bill note) itaonyesha huduma ambazo mgonjwa anahitajika kulipia na kiasi cha fedha zinazopaswa kulipwa. Baada ya kupata hati hiyo, mgonjwa ataelekezwa sehemu kilipo kituo cha benki ambako atafanya malipo na kisha kwenda sehemu ya kupata huduma inayohitajika.

Ili kuepusha usumbufu kwa wagonjwa, Menejimenti ya Hospitali imeandaa wafanyakazi maalum ambao watakuwa na mavazi maalum ili (yaliyoandikwa niulize mimi) kuwaelekeza wagonjwa na wateja wetu wengine sehemu za kupata hati ya gharama ya malipo ya huduma na sehemu ya kulipia nakuwapa maelezo zaidi kuhusiana na utaratibu mpya wa malipo. Aidha, kutakuwepo na vibao vitakavyoelekeza sehemu vilipo vituo vya kulipia vya benki ya NMB.

Benki ya NMB itatoa huduma hii kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na nusu jioni, kwa siku za Jumatatu hadi Ijumaa. Siku za Jumamosi huduma ya malipo kupitia benki itatolewa kuanzia saa mbili na nusu hadi saa nane na nusu mchana. Muda wote ambapo vituo vya benki vitakuwa vimefungwa, huduma ya malipo itaendelea kutolewa kwa kutumia mfumo unaotumika hivi sasa katika kituo kimoja tu kilichoko Idara yaMagonjwa ya Dharura.

Ni mategemeo yetu kuwa wafanyakazi wote wa Hospitaliya Taifa Muhimbili pamoja na wateja wetu watatoa ushirikiano mkubwa na wa dhati ili kuiwezesha Hospitali kutimiza malengo yake ya kuboresha ukusanyaji mapato na hivyo kuongeza uwezo wa kifedha unaohitajika kuboresha huduma za matibabu,pamoja na kutimiza maelekezo ya Sera ya Uchangiaji wahuduma za afya.Ni matumaini yetu tutapata ushirikiano wa kutosha katikakutekeleza azma yetu.

Asanteni sana kunisikiliza.

Dkt. Marina Njelekela,
Mkurugenzi Mtendaji,
Februari 27, 2013.


Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2ME61WLSK

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] UTEUZIWA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA TBS

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] UTEUZIWA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA TBS
WIZARAYA VIWANDA NA BIASHARA


TAARIFAKWA UMMA


UTEUZIWA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA TBS
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,amemteua Prof. CUTHBERT F. MHILU, Mhadhiri wa Chuo Kikuucha Dar Es Salaam kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania, TBSkuanzia tarehe 18 Februari, 2013.

Kufuatia uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi, Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Omary Kigoda (Mb), ameteua Wajumbekumi na moja wa Bodi hiyo. Wajumbe walioteuliwa na mahali wanapotoka ni kamaifuatavyo.
S/N JINA TAASISI ANAKOTOKA
01. Bw. Geofrey Simbeye Mwakilishi wa TPSF
02. Bi. Fatma Riami Diwani Mwakilishi wa Viwanda Vidogo na Vya kati
03. Bw. Michael Kamba Mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
04. Dkt. Pamela L. Sawa Mwakilishi wa Wizara ya Afya
05. Bi. Magdallena Utouh Mwakilishi wa Tume ya Ushindani
06. Bw. Jasson B.B Bagonza Mwakilishi wa Wizara ya Fedha
07. Bw. Juma Rajabu Mwakilishi wa Umoja wa wajumbe wenye uelewa wa masuala ya Viwango
08. Bw. Rashid A. Salum Mwakilishi wa Umoja wa wajumbe wenye uelewa wa masuala ya Viwango, Zanzibar
09. Prof. Ntegua Mdoe Mwakilishi Vyuo vya Elimu ya Juu
10. Dkt. Fidea L. Mgina Mwakilishi wa Wizara ya Viwanda na Biashara
11. Bw. Leandry Kinabo Kaimu Mkurugenzi Mkuu

Uteuzi wa wajumbe hawa, unaanza mara moja.
Imetolewa na Wizaraya Viwanda na Biashara

S.L.P 9503

DARES SALAAM.


--
www.wejobs.blogspot.com Jobs in Africa
www.jobsunited.blogspot.com International Job Opportunities

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] MSHIKE MSHIKE KITUO CHA POLISI NA DALADALA MWENGE

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] MSHIKE MSHIKE KITUO CHA POLISI NA DALADALA MWENGE
Kuna Kamata Kamata inaendelea kituo cha daladala mwenge na askari wa
kituo cha polisi mwenge baada ya kutonywa na wasamaria wema kuhusu
baadhi ya watu kupatiwa unifomu za askari jamii wa kituo hicho
kufanyia kazi ambazo sio halali .

Taarifa zaidi zinasema askari hao jamii ambao ni feki wamekuwa
wanajihusisha na vitendo viovu ndani ya kituo cha daladala na maeneo
jirani ya kituo hicho kama kuibia abiria na uhalifu dhidi ya madereva
na wafanyakazi wengine wa daladala .

Kamata kamata hii imesababisha kutuo cha polisi mwenge kuvamiwa na
vijana hawa wanaotuhumiwa kwa ajili ya kushugulikia wenzao ambao
tayari wameshawekwa rumande kwa kukutwa na unifomu au wakifanya kazi
ndani ya kutuo kama askari jamii .

Mpaka sasa hivi hakuna maelewano maana watu wameanza kurushiana maneno
na kutishiana .

Taarifa zaidi zinasema vikundi hivi vya askari jamii vinaendeshwa na
mabaousa ambao ndio wamejipachika uongozi ndani ya vituo mbalimbali
vya daladala mkoani dar es salaam .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"


Ndugu zangu,

Hakuna wawili watembeao pamoja pasi na maelewano.
Ukiwaona wanadamu wawili wanatembea pamoja, basi, wana makubaliano. Ni watu waliopatana.

Kwenye kundi la watu wa mataifa tofauti ukimsikia Mtanzania anamtamkia Mtanzania mwenzake, tena kwa Kiswahili; " E bwana inuka twende zetu!", na Mtanzania huyo mwingine akabaki amekaa bila kushtuka, basi, utilie mashaka UTanzania wake.

Ndio, " Inuka twende ni kwa waliogana". Ni watu wenye kufahamiana. Ni ndugu.

Nimeanza kuingiwa na hofu kuwa Watanzania tumeanza kupoteana kama ndugu. " Inuka twende' yetu imeanza kuangaliwa kwa sura ya udini, ukabila na itikadi.

Hatujafika pabaya sana, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tumeshaziona ishara. Miongoni mwetu Watanzania tumeanza kuzisikia kaauli za ; " Umewasikia jamaa zetu Wakrito? Umewasikia jamaa zetu Waislamu? Umewasikia jamaa zetu WaZanzibar? Umewasikia jamaa zetu wa Bara?......"

Hizi ni ishara za undugu unaosambaratika. Zamani sisi sote tulikuwa ni ndugu. Tulitembea pamoja, ishara ya watu tuliopatana.

Leo kuna Watanzania wanaoambiwa; " E bwana wee, siku hizi nakuona unatembea na kuongea na wale jamaa zetu wa upande mwingine!"

Ndio, Watanzania tumeacha kuwa ndugu. Tunagawanyika kwenye mapande. Ni kwa kuzitazama tofauti za dini, kabila na itikadi.

Hatujafikia pabaya, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tukumbuke; " Inuka twende ni kwa waliogana". Watanzania tulishaagana. Tulishakubaliana. Tulijua tunakokwenda kama Taifa. Kama ndugu. Tumeanza sasa kusambaratika.

Tuinuke sasa twende kupambana na yote yenye kutugawa kama ndugu wa taifa moja. Tuna kila sababu, nia na uwezo wa kushinda mapambano haya dhidi ya ubaguzi wa aina zote.


Na hilo ni Neno La Leo.

Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765
http://mjengwablog.co.tz/

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] POPE TOPPLED BY AGE, WEAKNESS, CHILD ABUSE, CORRUPTION AND RIVALRY AMONG VATICAN OFFICIALS!

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] POPE TOPPLED BY AGE, WEAKNESS, CHILD ABUSE, CORRUPTION AND RIVALRY AMONG VATICAN OFFICIALS!
REUTERS
VATICAN CITY — Pope Benedict bid an emotional farewell at his last general audience yesterday, saying he understood the gravity of his decision to become the first pontiff to resign in 600 years but that he had done it for the good of the Roman Catholic Church.
Addressing an estimated 150,000 people in St Peter's Square the day before he steps down, Benedict said his crisis-hit papacy had included moments of joy but also difficulty when, "It seemed like the Lord was sleeping."
Sitting on an ivory coloured throne on the steps of St Peter's Basilica and frequently interrupted by applause from the crowd, the pontiff said: "There were moments when the waters were choppy and there were headwinds."
When he finished his speech the crowd, including many red-hatted cardinals, stood to clap.
Benedict will abdicate on Thursday night and then cardinals begin consultations ahead of a conclave to choose his successor.
He said he had great faith in the future of a troubled Church, adding: "I took this step in the full knowledge of its gravity and rarity but with a profound serenity of spirit."
Loving the Church meant, "having the courage to take difficult and anguished choices, always having in mind the good of the church and not oneself," he said.
The pope says he is too old and weak to continue leading a Church beset by crises over child abuse by priests and a leak of confidential Vatican documents showing corruption and rivalry among Vatican officials............


[wanabidii] Sede Vacante

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] Sede Vacante

Sede Vacante

http://goldentz.blogspot.com/2013/02/sede-vacante.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] VIWANJA NA NYUMBA VINAUZWA

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] VIWANJA NA NYUMBA VINAUZWA

Habari za mchana ndugu wananchi? Ninazo habari njema kwenu kuhusu uuzwaji wa nyumba na viwanja.

Kiwanja kimoja kinauzwa Mikocheni B, Hiki kina nyumba kuu kuuu ya zamani na kiwanja kingine kipo Tabata Relini karibu na chuo cha Ualimu cha St. Marys (nyumba yenye vyumba 8 self contained, na servant quarters yenye vyumba vinne stoo na vyoo vyake). 

Viwanja vyote hivi vina hati ya umiliki.

Kwa yeyote mwenye hitaji la maeneo haya tafadhali awasiliane nami. Bei maelewano na hamna dalali.

MUNGU AWABARIKI, AMANI KWENU!

ROBERT CHARLES
+255754763683
+255715763683
+255787763683

 
"To live or die,to make it or not,To have it or not.Through fire or water.I will live and preach the gospel of CHRIST in truth, in the fullness and totality of the Holy Spirit,thus, GOD HELP ME!"
 

[wanabidii] WHY PRIME MINISTER RAILA ODINGA WILL LOSE KENYA’S PRESIDENTIAL RACE AGAIN

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] WHY PRIME MINISTER RAILA ODINGA WILL LOSE KENYA’S PRESIDENTIAL RACE AGAIN
Dear Dave,

Consider this; http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-21587054

Raila Odinga's   supporters at a rally on 23 February 2013

Regards,

 
***********************************************
Oduya-Magunga,
            Cell: +256 756 116 303
       E-mail: oduyaericson@gmail.com


***********************************************
I have tasted the wines of His love,
         smelt the fragrance of His grace,
            My God reigns, and that is,
                  enough for my soul.


***********************************************



From: David ochwangi <dochwangi@yahoo.com>
To: "kenya-diaspora@yahoogroups.com" <kenya-diaspora@yahoogroups.com>; An East African Online Forum Dedicated to Information Exchange. <jambo@publiceyesite.org>; KENYAONLINE <kenyaonline@yahoogroups.com>; KCA Main <kca_main@yahoogroups.com>; Africa Opedgroups <africa-oped@yahoogroups.com>; Kenya Pyla <kenya_pyla@yahoogroups.com>; Kenya Can <kenya-can@egroups.com>; Kenya Canada <kenya-can@yahoogroups.com>; Nation <editor@nation.co.ke>; "thepublicwatchdog@eastandard.net" <thepublicwatchdog@eastandard.net>; "afrocentrikworld@yahoogroups.com" <afrocentrikworld@yahoogroups.com>; Kenya Club <kenyaclub@yahoogroups.com>; "africare-newpublications@yahoogroups.com" <africare-newpublications@yahoogroups.com>; "human-rights@un.org " <human-rights@un.org>; africa press <africanpress@chello.no>; "news@newvision.co.ug" <news@newvision.co.ug>; "wananchiforums@googlegroups.com" <wananchiforums@googlegroups.com>; "afrocentrikworld-subscribe@yahoogroups.com" <afrocentrikworld-subscribe@yahoogroups.com>; "africa.journal@reuters.com" <africa.journal@reuters.com>; "comms@go.ke" <comms@go.ke>; "news@royalmedia.co.ke" <news@royalmedia.co.ke>; "eastafrican@nation.co.ke" <eastafrican@nation.co.ke>; "editorial@eastandard.net" <editorial@eastandard.net>; "editor@africanexecutive.com" <editor@africanexecutive.com>; "comms@comms.go.ke" <comms@comms.go.ke>; African International <africanpress@getmail.no>; Coalition Reform <ccr_kenya@yahoo.co.uk>; africa News <africanewsnetwork@usa.com>; africa talk <africantalk@yahoogroups.com>; "editorial@estandard.net" <editorial@estandard.net>; "kenyatimes@timesnews.co.ke" <kenyatimes@timesnews.co.ke>; "news@nationmedia.com" <news@nationmedia.com>; "bidiiafrika@googlegroups.com" <bidiiafrika@googlegroups.com>; "editor@majimbokenya.com" <editor@majimbokenya.com>; "editor@theexpress.com" <editor@theexpress.com>; Editor <editor@foreignaffairs.com>; Editor Gurdian <editor@guardianunlimited.co.uk>; "kenyanpeace@gmail.com" <kenyanpeace@gmail.com>; Sunday Standard <sundayletters@eastandard.net>; newvision <newvisionkenya@yahoogroups.com>; "youngprofessional_ke@googlegroups.com" <youngprofessional_ke@googlegroups.com>; Nation News Desk <newsdesk@ke.nationmedia.com>; "Bifwoli, Wakoli Sylvester " <Wakolib@yahoo.com>; NairobiStar Newsdesk <newsdesk@nairobistar.com>; "jmaina@primeminister.go.ke" <jmaina@primeminister.go.ke>; Young Professionals <youngprofessionals_ke@googlegroups.com>; KenyaParliament <sna@parliament.go.ke>; "info@williamrutto.com" <info@williamrutto.com>; "editor@ktnkenya.co.ke" <editor@ktnkenya.co.ke>; "wananchi@yahoogroups.com" <wananchi@yahoogroups.com>; "publiceye@publiceyesite.org" <publiceye@publiceyesite.org>; bidii-afrika Group <bidii-afrika@googlegroups.com>; "kenya-alternatives@googlegroups.com" <kenya-alternatives@googlegroups.com>; NVK-M MAGEUZI <NVK-Mageuzi@yahoogroups.com>; bidiiafricaint <bidiiafricaINT@googlegroups.com>; "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>; Kassdiaspora Debate <kassdiaspora@yahoogroups.com>; "newsdesk@nation.co.ke" <newsdesk@nation.co.ke>; Wanakenya <wanakenya@googlegroups.com>; BUNGE MWANACHI <bungelamwanainchi@yahoo.com>; Vuguvugu Mashinani <VuguVuguMashinani@yahoogroups.com>; "kenyaglobal-unity@googlegroups.com" <kenyaglobal-unity@googlegroups.com>; "wamuyanga@yahoo.com" <wamuyanga@yahoo.com>; "oped@yahoogroups.com" <oped@yahoogroups.com>; "youngprofessionals_ke@googlegroups.coms" <youngprofessionals_ke@googlegroups.coms>; the last word to kenya <thelastwordtokenya@yahoogroups.com>; "mwamogusii@yahoogroups.com" <mwamogusii@yahoogroups.com>; G-47 Kenya <g47-kenya@yahoogroups.com>; "kenya-bros@googlegroups.com" <kenya-bros@googlegroups.com>; "info@judiciary.go.ke" <info@judiciary.go.ke>; uchunguzi online <uchunguzionline@yahoogroups.com>; "ict@iebc.or.ke" <ict@iebc.or.ke>
Sent: Thursday, February 28, 2013 9:38 AM
Subject: (VVM Forum) WHY PRIME MINISTER RAILA ODINGA WILL LOSE KENYA'S PRESIDENTIAL RACE AGAIN

 
Folks

All else being equal, Prime Minister Raila Odinga would have easily won Monday March 4 elections and become Kenya's 4th President - after all  half of the country once believed that Mr. Odinga was robbed of victory in 2007 and this would be the moment to right the injustice and restore to him what rightfully belongs to him. However, even a perfunctory review of Mr. Odinga's  political odyssey since 2007 and current fortunes tell is a tale of a man who has lost his mojo, caught up with age, made up several critical mistakes over the last 5 years and lost his once colossal support as a consequence.  There is no doubt that Odinga is still a formidable adversary to his political opponents but his potency has been severely eroded in the five years he has been the Prime Minister. Here are some of the reasons why he will not win next Monday.
  • i. Odinga has lost support he once enjoyed among major voting blocks,
    specifically in Rift valley among the Kalenjins and Western among the Luyhas.
    First, was virtually tied with Kibaki in 2007, his margin of loss in 2007 was
    very slim, a mere 200,000 votes less than  Kibaki. In 2013, Raila has lost
    more support than he has gained, way more than the 200,000 he needed to close
    the gap. Both losses were avoidable, especially in voter rich  Rift Valley.
    Kalenjins, led by Ruto distrust Odinga because of his alleged betrayal of the
    community when he fell out with William Ruto and the eviction of poor peasants
    from the MAU. Odinga mishandled the evictions and his recent attempt to resettle
    the peasants was a little too late because it came across as an insincere
    political ploy to win votes and the locals were being treated as political
    pawns. Needless to say, he failed to win back that critical constituency. The
    most telling sign of the depth of Raila's loss of support in Rift Valley was in
    2010. Mr. William Ruto who  engineered Mr. Odinga's victory in the
    community almost to every voter in 2007, led the community to vote against the
    new constitution, clearly the man still has a lot of sway in Rift Valley which
    translates into at least a Million votes. So formidable is Ruto's dominance
    among the Kalenjins that once Raila supporters such as Roads Minister Franklin
    Bett as abandoned his parliamentary run to avoid embarrassment at the polls.
    Among the Luyha, Mudavadi's split from Raila also means Raila will lose plenty
    of votes, after all, the country is still polarized along tribal lines whether
    we like it or not. Raila hasn't  filled the deficit by any replacement of
    the votes he lost both in Rift valley and Western, if anything he has
    hemorrhaged even much more support. 
 
  • ii. For each of the PENTAGON members who left his 2007 coalition it will cost Raila votes on Monday and the
    last I checked, practically everyone of them left. William Ruto, Norman Nyagah,
    Charity Ngilu, Najib Balala, Musalia Mudavadi- all of them left. This is a sign
    of a man who is not trusted even by the closest of associates. They accused him
    of all sorts of malfeasances including being undemocratic, dictatorial and
    untrustworthy.  Raila failed to replace those folks with equally
    influential leaders and as a consequence his once formidable national party of
    ODM was relegated to a regional party that needed a coalition of several others
    including that of his onetime arch enemy Kalonzo Musyoka's WIPER party. The
    point is ODM and Prime Minister Raila are in a much weaker position than they
    were in 2007.
  • iii. The stigma of the 2007 PEV still remains and hangs on the
    Prime Minister like a tick. Whereas PNU, the protagonist party considered
    equally responsible for the PEV is practically non-existent, ODM has stayed on
    albeit also much weaker. Whereas this resilience is admirable it comes at a
    price, the vestiges of violence have attached to ODM as we witnessed over the
    years particularly during the nominations. Each violent act (and there were
    several) by ODM reminded Kenyans of the PEV and scared away would be supporters.
    From stoning Raphael Tuju, manhandling Miguna Miguna to several instances of
    stone throwing and even murders during the nomination in ODM  simply means
    ODM has not shunned its violent ways. Even  recent campaign trails across
    the country have been marked with endemic violence and Raila doesn't  seem
    to be in control anymore. People seem to have lost respect for JAKOM even in his
    own backyard of Luo Nuanza, in Homabay, Kisumu, Siaya, Migori, etc. These
    episodes were unheard of before 2007 PEV but now they are commonplace and
    synonymous to ODM.
  • iv. Raila has failed to live up to his well-crafted image of a democratic leader.  This was very pronounced
    in the recently concluded primaries/nominations of candidates for elective
    office. ODM's nominations exercises were mishandled worse than in 2007. The
    Prime Minister was accused of imposing his family and relatives on the
    electorate,  from his brother Oburu Odinga, his cousin Jakoyo Midiwo, to
    his sister and many other close relatives and friends. It got so bad in Luo
    Nyanza that for the first time the folks in Luo Nyanza openly rebelled against
    Raila Odinga, something that would be unfathomable a few years ago. The Prime
    Minister was accused of nepotism and imposing his will on the people and this
    further hurt his chances on March 4, even after he tried to delink himself from
    the shenanigans, damage was already done.
  • v. The Tyranny of Numbers- truth be told Mutahi Ngunyi's assessment about the numbers was spot on. The Prime Minister can only ignore him at his own peril. Kenya today remains an ethnically polarized
    society. Not ideal but it is what it is. Large blocks in Central Kenya
    (GEMA) will follow traditional voting patterns and vote in large numbers for
    Uhuru. Add to that the Rift Valley vote that left Raila and a split
    primarily between Raila and Uhuru in the rest of the country and Uhuru
    emerges the clear winner, if not straight up in round one, certainly in
    round two. 
        vi. A dismal development record, The one good thing Raila has
going for him is a good campaign machine that amplifies and embellishes a lot.
To the common voter, Raila was responsible for the new constitution (factually
untrue), infrastructure, expanded democratic space, hospitals, CDF and just
about everything that is right in Kenya. The problem is nobody can back up these
claims, if you ask the people of Kibera one simple question, " are you better
off or worse off today with Raila Odinga as your leader over the last 20
years"?  The answer would be "NO"! On the other hand, if you ask the folks
in Katanga the same question about Peter Kenneth, they will tell you "YES"!
Raila talks but his performance is way lagging. If he has failed to improve the
lives of the Kibera residents for as long as he has been their leader, how will
he improve the country as a whole?
  • vii. And then there is the
    small matter of the ICC. All the candidates have taken advantage of Mr.
    Kenyatta's circumstances at the ICC for political mileage but none more so than
    his closest rival Raila Odinga. Mr. Odinga is a good man, I have no doubt he
    means well for Kenya but his obsession with Uhuru's case at the ICC and
    persistent scheming to have Uhuru removed from the race  has encumbered and
    severely hurt his campaign. Mr. Odinga started with calling for the arrest of
    Mr. Kenyatta soon after the latter returned from The Hague, claiming that Uhuru
    was inciting the public against the ICC when in fact Kenyatta was seeking public
    prayers; his surrogates tried repeatedly to cause civil unrest so they can blame
    Uhuru. Soon thereafter Odinga's cousin Jakoyo Midiwo claimed that Uhuru had
    plotted to assassinate Odinga in two weeks; of course that was a lie. Then it
    was Gitobu Imanyara's turn- he told the nation that Mungiki waylaid him on his
    way home at night and forced him to sweat allegiance to Uhuru Kenyatta three
    times while facing Mount Kenya, all these ruses were designed to bait the ICC
    into issuing arrest warrants against Mr. Kenyatta and to accelerate the trial
    date to remove Mr. Kenyatta from contesting the presidency. The ICC caught on to
    these diabolical schemes and wisely removed itself from the mix, it refused to
    issue arrest warrants and instead set the trial date after the elections. After
    these plans failed, these folks then went on to plan 1000 and tried to use a yet
    to be enacted law under chapter 6 of the constitution on account of Uhuru's
    integrity, the case was filed by the same civil society groups who coached and
    bribed Mungiki witnesses to bear false witnesses against Uhuru at the Hague. In
    short, the failed to stop Uhuru because the court refused to be politicized even
    with the Chief Justice Willie Mutunga inserting himself in the politics the with
    unproven claims by that Mungiki threatened the courts with death if they ruled
    against Uhuru, I mean the brazenness of these officials to smear Mr. Kenyatta is
    breathtaking. If it is true that Justice Mutunga used his position to advance a
    political agenda of any of the candidates, it would be yet another unmitigated
    misuse of office and the judiciary and I will leave that alone that for now. My
    point is that Raila squandered a great opportunity to close the deal with
    Kenyans by focusing his energies of tearing down Uhuru Kenyatta.
    I think that
    Raila, with his great oratory skills and infectious charm that connects with
    ordinary folks should have used it to promote his own vision and promote or
    defend his record in government and avoid disparaging Uhuru at every turn. He
    took the exact opposite route instead and co-opted a lot of people along the
    way, that strategy has failed miserably at every turn and in fact helped Mr.
    Kenyatta tremendously. Raila could have closed the loose ends on issues such as
    infrastructure, defend his development record in Kibera, explain to Kenyans how
    he would end nepotism while defending his own record on the same. He could have
    tried to democratize his ODM and stave off the kind of rebellion against him
    from his own hometowns for trying to impose his family and friends on the
    people. He should explain why chaos seem to follow him all over he goes and why
    folks seem to have lost confidence and respect for him, why he can't seem to
    keep any friends for longcoalition together and why the ODM Pentagon broke
    up?  He could have told us how he will end corruption and defend the vice
    in his own office for such things as the maize scandal and Kazi kwa Vijana. He
    chose not to and that will cost him the election.

 
    
__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (6)
Recent Activity:
Vugu Vugu Mashinani (VVM) is a movement that seeks to bring together Kenyans from all walks of life in ensuring a paradigm shift in leadership. After passing of the Katiba, Kenyans have now the sole responsibility to identify, audit and choose leaders of integrity right from the grassroots level to the Executive.
Group Email Addresses
Post message:      VuguVuguMashinani@yahoogroups.com
Subscribe:      VuguVuguMashinani-subscribe@yahoogroups.com
Unsubscribe:      VuguVuguMashinani-unsubscribe@yahoogroups.com
List owner:      VuguVuguMashinani-owner@yahoogroups.com
.

__,_._,___


[wanabidii] CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
Ndugu zangu

Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa
vyama vingine .

Kwa maana hiyo CHADEMA sasa imeshajaa wale wanachama wa vyama vingine
wanaotaka au kupanga kuhamia siku zijazo wachague vyama tofauti .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA(MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE [8 Attachments]

Thursday, February 28, 2013 Add Comment
[wanabidii] MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA(MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE [8 Attachments]
[Attachment(s) from Pius kilasi included below]
SALAAM MH, KUFUATIA KUMALIZIKA KWA AWAMU YA LKWANZA YA KUTOA MAONI YA
KATIBA, TAARIFA ZIMETOLEWA KUPITIA GAZETI LA MWANANCHI LA JANA, AMBAZO
NIMEAMBATANISHA TAARIFA HIYO YOTE. KWA PAMOJA MH. TUSHIRIKI KUWAHIMIZA
NDUGU ZETU WAINGIE KATIKA MABARAZA HAYO YA KWENYE KATA ZETU ILI WATOE
MAPENDEKEZO WAKATI WA KUJADILI MAONI YA KATIBA YALIYOKUSANYWA,

KWA FAIDA YA WALE AMBAO HAWAKUPATA NAKALA YA GAZETI HILO JANA BASI
WAWEZA KUTUMIA ATTACHMENT HIZO.

NIWATAKIE MEMA MH.



 ''When you pass through the waters, I will be with you; and when you pass through the 
rivers, they will not sweep over you. When you walk through the fire, 
you will not be burned; the flames will not set you ablaze. For I am the LORD, your God, the Holy One of Israel, your Savior ...''

                                                           Isaiah 43:2-3

Pius kilasy.
kilasyp@yahoo.com

__._,_.___
Attachment(s) from Pius kilasi
8 of 8 File(s)
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (2)
Recent Activity:
Rafiki Huru
.

__,_._,___