[wanabidii] JINSI YA KUWATUNZA KUKU WA KIENYEJI

Thursday, February 28, 2013

Utunzaji wa kuku wa kienyeji ni rahisi ukilinganisha na kuku wa kisasa, tangu wakiwa wadogo hadi wakubwa kwani chakula wanachohitaji kinapatikana kirahisi lakini pia hawashambuliwi na magonjwa kama walivyo kuku wa kisasa. Uhitaji wake wa soko kwa sasa ni mkubwa sana kwani walaji wengi wa kuku wameona kuwa hawa ni kuku wasiopewa madawa mengi.

Hivyo, unaweza kutunza kuku wa kienyeji na ukawa na kipato cha uhakika, pamoja na lishe nzuri kwa ajili ya familia yako.

Soma hapa http://www.achengula.blogspot.com/  kwa maelezo zaidi juu ya ufugaji wa kuku na mifugo mingine.


--




To all the questions of your life YOU are the  most possible answer. To all the problems of your life YOU are the best solution. Trust yourself

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments