[wanabidii] Salamu Za Mwaka Mpya Kutoka Mjengwablog!

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Salamu Za Mwaka Mpya Kutoka Mjengwablog!
Ndugu zangu, 

Imekuwa ni utamaduni wangu kutuma salamu za Mwaka Mpya kwa wanakijiji wa Mjengwablog, marafiki zangu kwenye FB na wengine walio ndani na nje ya mitandao ya kijamii.

 Nimefanya hivyo tangu mwaka 2006 ilipoanzishwa Mjengwablog. Na mwaka huu naendeleza utamaduni huo. Nina mambo makubwa mawili kwenye salamu za mwaka huu, lakini, nitaanza salamu hizi kwa kukumbushua ahadi muhimu ya Mwana –TANU; kwamba; 

 " Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa manufaa ya wote". 

 Ndugu zangu, 

Siku kama ya leo miaka 30 iliyopita nilikuwa ndani ya garimoshi la Tazara nikielekea Dar kutokea kijijini kwetu Nyeregete. 

Nikiwa Nyeregete kwenye likizo ndefu ya kusubiri matokeo ya Kidato cha Nne, zilinifikia taarifa kuwa nahitajika haraka Dar es salaam kwenda kufanya maandalizi ya kuanza Kidato cha Kwanza shule ya Sekondari Tambaza. Masomo yetu pale Tambaza yalianza Januari 13, 1983. 

 Siku kama ya leo miaka 30 iliyopita nilivuka kwa kuogelea korongo la Lihamile ili kuifikia Rujewa na hatimaye stesheni ya Tazara kule Ihanga. Korongo hilo lilijaa maji ya mvua ya masika yaliyokuwa yakipita kwa kasi. 

Hakukuwa na daraja. Baadae likajengwa daraja la magogo wakati wa kipindi cha Ubunge wa Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa. Daraja hilo sasa limeoza. Halipitiki. Ahadi nyingi zimetolewa kulijenga upya. Zimebaki kuwa ahadi. Ni daraja muhimu kiuchumi na kijamii kwa watu wa Nyeregete na wengine wengi wenye kulitumia. Ni kero kubwa kwa wananchi wa Nyeregete. 

Nimeongea na baadhi ya viongozi wa Nyeregete. Na nimewaambia, kuwa tushirikiane kuhakikisha, kuwa mwaka 2013 daraja hizo linajengwa hata kama ni kwa nguvu za wananchi. Tayari tumeshafanya utafiti na kuona inawezekana likajengwa kwa kiwango cha zege na chini ya shilingi milioni 20. 

Hivyo basi, mwaka 2013 nitashirikiana na wananchi wa Nyeregete na wengine wote watakaokuwa tayari kusaidia kuhakikisha tunapitisha harambee ya kujenga daraja hilo. Miaka 30 baada ya mimi kuvuka Lihamile kwa kuogelea itakuwa ni aibu kubwa kuwaona tena wananchi wa Nyeregete na wengine wakivuka korongo hilo kwa kuogelea. Ni nini basi maana ya kwenda shule?

 Ndugu zangu, 

Maji ni kero kubwa kwa wananchi wengi wa Bonde la Usangu, Mbarali Mbeya. 

Badala tu ya kuilalamikia na kuisubiri Serikali iwasaidie wananchi kutatua kero ya maji, mwaka 2013 nimeazimia nitashirikiana na wanakijiji wa vijiji vya Magwalisi na Lihamile wilayani Mbarali ili tuweze kuchangisha fedha za kuchimba visima vya pampu kimoja katika kila kijiji husika. 

Nitashiriki kuchangisha sehemu ya fedha zinazohitajika kugharamia visima hivyo kwa kupanda Mlima Kilimanjaro, kitu ambacho nimependa nikifanye katika maisha yangu lakini sijapata bahati ya kufanya. 

Ndugu zangu, 

Hayo ni mawili makubwa niliyotaka kuyasema kupitia salamu za mwaka mpya wa 2013. 

Ni matumaini yangu, Desemba 31, 2013 Mungu atanijalia uhai na kurudi tena hapa kutoa tena salamu za mwaka mpya huku hayo mawili yakiwa tayari yameshafanyiwa kazi kwa nguvu za pamoja, ikiwamo ushirikiano wenu. Nawatakia Heri na Fanaka Za Mwaka Mpya wa 2013. 

Maggid Mjengwa, 

 Morogoro

 0788 111 765
http://mjengwablog.com

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Adsense and Adwords talk by Thomas Schoemaecker from Google, Friday 4th Jan from 3pm at KINU

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Adsense and Adwords talk by Thomas Schoemaecker from Google, Friday 4th Jan from 3pm at KINU


---------- Forwarded message ----------
From: Joachim Mangilima <joachim@gtugs.org>
Date: Mon, Dec 31, 2012 at 1:35 PM
Subject: [Google Developer Group(GDG) Dar es Salaam ] Adsense and Adwords talk by Thomas Schoemaecker from Google, Friday 4th Jan from 3pm at KINU
To: dargtug <dargtug@googlegroups.com>


Hi  all,

On  behalf of my fellow GDG   Dar leads,  would like to thank you for all the support in  the year 2012  and  wish  you a  productive and prosperous 2013.

This is  also  to inform you  that ,we  will have  an  informal  session on  Google  Adsense  and  Adwords  to be  facilitated  by    Thomas Schoemaecker,   from  Google,  this  week  on  Friday  4th  January,  from 3pm  sharp at  KINU   hub. Thomas  will be  available  to talk  to you about  adsense  and  adwords  ,  but also  for questions and answers on the two and any general questions that you might have on Google.  Registration is  not required  for  this event ,  so please  feel free to show  up at KINU  on Friday at the stated time.

Thanks

Joachim





 

--
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Salamu za mwaka mpya 2013 toka Goldentz blog

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Salamu za mwaka mpya 2013 toka Goldentz blog
Kama video hiyo inavyoonyesha kwenye link
Maisha yana mambo mengi  tena magumu ajabu
But if we fight herder we win the ground
Follow video at: http://goldentz.blogspot.com/2012/12/salamu-za-mwaka-mpya-2013-kutoka.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Happy New Year from TCKC

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Happy New Year from TCKC


Friends,

It has been one good Year for us at The Clean Kenya Campaign. And we could not have achieved all that without your support.

On behalf of KCDN and The Clean Kenya Campaign, may I wish you all a Happy New Year, the year of the Great Transformation when we will all vote peacefully for a Clean General Election and the Year we will be celebrating our Silver Jubilee as an Independent Sovereign State.

Happy New Year once more and view these links;

http://youtu.be/zOUcDwR2kE8

http://youtu.be/_h0EbG3CW-0

Let us pray for solace that springs from work well done,

Tasks honestly discharged,

as we seek Peace and Goodwill to ALL Mankind.  

Let us all work for a Clean Kenya, a Clean Africa and a Clean General Election as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 


Odhiambo T Oketch,
Executive Director,

The Clean Kenya Campaign- TCKC

Tel; 0724 365 557

Facebook; Odhiambo T Oketch 
Facebook; Monthly Nationwide Clean up Campaign
Mailing Groupfriendsofkcdn@ yahoogroups.com

The Clean Kenya Campaign is an Initiative of KCDN Kenya

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Watanzania tupo 44,929,002 - Mtazamo wangu

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Watanzania tupo 44,929,002 - Mtazamo wangu
Watanzania sasa tupo 44,929,002
mwaka 2002 tulikuwa 34.4million
Mwaka 1967 tulikuwa 12,313,054

Tanzania bara, 43,625,434
Zanzibar 1,303,568

Growth rate sasa ni 2.6% ukilinganisha na 2.9% ya mwaka 2002

2016 Projected Population ni 51mil

Kwa mtazamo wa kawaida hii ni idadi kubwa sana ukiringanisha na
rasilimali tulizonazo, Tanzania need to have a more serious Policies
to reduce Growth rate of tanzania la sivyo tunaelekea kubaya sana!

--
Ipyana Lwinga

Email: ipyanalwinga@gmail.com
Mob: +255 757 065577
Skype: ipyana.plwinga

"Mpende Jirani yako kama nafsi yako..."

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

[wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Matokea Sensa ya Taifa Tanzania tupo 44,929,002
Rais ametangaza kwamba kwa Sensa ya mwaka huu tupo watanzania 44,929,002

tbc source

--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
www.ores.or.tz
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

[wanabidii] Nderumaki takes over after Mkumbwa Ally as TSN Acting Managing Editor - Mwanzo

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Nderumaki takes over after Mkumbwa Ally as TSN Acting Managing Editor - Mwanzo

TSN Board Appoints Nderumaki Acting ME THE Board of Directors of Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN) has appointed Mr Gabriel Nderumaki (pictured), the company's Acting Managing Editor effective December, 24, this year.

According to a statement issued by the company yesterday, Mr Nderumaki takes over from Mr Mkumbwa Ally, after expiry of his contract with the company on December 15.

new acting Managing Editor has been with TSN for over 20 years and served in senior editorial positions including Sports Editor, News Editor and Business Editor. "I am ready for the new challenge and looking forward to getting maximum co-operation from readers, government, private sector and all other stakeholders," Mr Nderumaki.


http://wotepamoja.com/archives/10940#.UOFDPzVTGjw.gmail

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Mbeya kwawaka moto tena

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Mbeya kwawaka moto tena
Imekuwa ni mazoea sasa kusikia kwamba moto umezuka katika masoko ya wafanya buashara huko Mbeya.
Haikuwa jambo la kushangaza jana umati mkubwa wa watu waliokuwa wanashuhudia moto ukiteketeza bidhaa za mamilioni ya fedha katika soko la Mwajnlwa Jijini Mbeya.
Hii hali inayojitokeza mara kwa mara itatukwamua kwenye umaskini  kweli?
Fuatilia zaidi kisa hiki hapa:

 http://goldentz.blogspot.com/2012/12/maghala-ya-kuhifadhia-bidhaa-za-wafanya.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Happy New Year BE WILD WND FREE

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Happy New Year BE WILD WND FREE
Happy New Year Wish
 
There are no passengers on spaceship Earth, we are all crew.
RESPECT MOTHER EARTH.

We cannot command Nature except by obeying her.
CO-EXIST WITH NATURE .

Look deep into Nature and you will understand everything better.
LEARN YOUR SURROUNDINGS.

Sun is the only SAFE nuclear reactor as it is situated some 100 million miles away.
REJECT THE NUKE.

All good things are wild and free.
BE WILD and FREE.

God Bless
Love, Hugs and Kisses,
MAY NOBLE THOUGHTS COME TO YOU FROM EVERWHERE

Vijay KRKM Shah


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] MAGAZETI YA LEO

Monday, December 31, 2012 Add Comment

Yasome www.mjengwablog.com

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

[wanabidii] Fwd: (VVM Forum) G-Mail Filling up

Monday, December 31, 2012 Add Comment
[wanabidii] Fwd: (VVM Forum) G-Mail Filling up


Ladies and Gentlemen,
 
 
My G-Mail address is filling up but I do not want to delete some mail. I'm now at 98% full. Does anyone know how I can store some of the mail ? Are there archives on g-mail that can absorb such material?
 
Anyone out there who can help me save the mail somewhere to free up my g-mail account space?
 
Courage
 

__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (1)
Recent Activity:
    Vugu Vugu Mashinani (VVM) is a movement that seeks to bring together Kenyans from all walks of life in ensuring a paradigm shift in leadership. After passing of the Katiba, Kenyans have now the sole responsibility to identify, audit and choose leaders of integrity right from the grassroots level to the Executive.
    Group Email Addresses
    Post message:      VuguVuguMashinani@yahoogroups.com
    Subscribe:      VuguVuguMashinani-subscribe@yahoogroups.com
    Unsubscribe:      VuguVuguMashinani-unsubscribe@yahoogroups.com
    List owner:      VuguVuguMashinani-owner@yahoogroups.com
    .

    __,_._,___

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] China rejects claims of producing fake medicine for Africa

    Monday, December 31, 2012 Add Comment
    [wanabidii] China rejects claims of producing fake medicine for Africa


    ---------- Forwarded message ----------
    From: Binta Terrier <binta@allafr.org>
    Date: Sun, Dec 30, 2012 at 11:10 PM
    Subject: Fwd: China rejects claims of producing fake medicine for Africa
    To: Binta Terrier <binta@allafr.org>


    Please see below! I wonder why these things can only happen in Africa?
    When will our people realize that nothing comes for free? Any $1 to Africa has some type of cost of at least $2 attached to it.
     
    Happy New Year!
     
    Binta
     
     ----------------------------------------------------------------------------
    China rejects claims of producing fake medicine for Africa
    Beijing responds to the Guardian's investigation that around one third of anti-malaria treatments were counterfeit

    Jonathan Kaiman in Beijing
    guardian.co.uk, Friday 28 December 2012 05.15 EST

    China has denied allegations that it has been exporting huge amounts of counterfeit medication to Africa, threatening public health in east Africa, five days after the Guardian published a front page exposé on the phenomenon.

    The official Xinhua news agency said a foreign ministry spokeswoman rejected the accusation, but "called on foreign traders to procure medicines from legitimate companies through standardised channels".

    "Spokeswoman Hua Chunying said at a daily press briefing that the accusations are unfounded, noting that co-operation between the Chinese government and African countries has played an important role in improving the healthcare environment for people in Africa," Xinhua reported on Thursday night.

    The Guardian article cited experts and NGO reports as saying that up to a third of anti-malarial drugs in Uganda and Tanzania may be fake or substandard, and that the majority of them are manufactured in China and India. The drugs look identical to real ones, and can only be distinguished with lab testing. Aside from malaria drugs, analysis of antibiotics and contraceptives have also turned up fakes. "Some pills contain no active ingredients, some are partial strength and some the wrong formulation entirely," said the article.

    The fake medications have led to deaths, prolonged illness and increased drug resistance in areas of east Africa, the article said.

    A Chinese foreign ministry official refused to specify which parts of the Guardian article the ministry disputed. She said that the repudiations were aimed at the question of counterfeit drug exports, not the article specifically.

    Counterfeit drugs are an endemic and long-running issue in China. According to official statements, Chinese police seized £113m worth of fake pharmaceuticals this July alone and £19m worth last November. Many ingredients were found to be harmful or toxic.

    According to Xinhua, the foreign ministry spokeswoman "stressed that China always attaches great importance to drug safety and resolutely cracks down on the manufacture and sale of counterfeit drugs" and defended Beijing's record of providing healthcare aid to African countries.


    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] Happy New Year Wish 4 u.

    Sunday, December 30, 2012 1 Comment
    [wanabidii] Happy New Year Wish 4 u.
     
    Happy New Year Wish
     
    My Happy New Year wish for you
    Is for your best year yet,
    A year where life is peaceful,
    And what you want, you get.
     
    A year in which you cherish
    The past year's memories,
    And live your life each new day,
    Full of bright expectancies.
     
    A year we shall cherish the elections outcome
    And take credit for the choices of leaders,
    The leaders of accountability,
    Accountability that is objective.
     
    I wish for you peace of mind
    With happiness galore;
    Even as you debate meaningfully,
    To enlighten others,and not annoy.
     
    And when it's done, I wish you
    Happy New Year, and many more.
    Give peace a chance,to live peacefully.
     
    Bye 2012,Karibu 2013.
     
    Evans MACHERA

    [wanabidii] Prayers for Peace and Redeemed Gospel Church

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment


    Friends,

    As we roll out Kenyans for a Clean General Elections on the 5th January 2012 at the Redeemed Gospel Church in Huruma Estate, today we attended a Church Service at the Redeemed Gospel Church in Huruma. Together with me from The Clean Kenya Campaign was Mr. Edgar Wycliffe Onyango and we were joined by Mr. Kennedy Osutwa- the Deputy Registration Officer- IEBC Mathare Constituency.

    The sermons were great and well delivered by Pst John Kitonga, Pst James Miriego and an even more powerful delivery from the Senior Pastor Josephine Kitonga who called upon Kenyans to campaign peacefully then vote peacefully for whomsoever they prefer.

    Senior Pastor Josephine Kitonga giving us the final blessings after inviting the faithful to join with us on the 5th Jan 2013 as we launch Kenyans for a Clean General Elections Campaign. L-R; Pst James Miriego, the Police Chaplain from Nyeri Kiganjo, Rev Mutiso, Pst John Kitongo, Senior Pst Josephine Kitonga, Oto and Past Frederick Muvengei in Church today

    She noted that we can only have one President, one Governor, one Senator, one Member of Parliament, one Women County Representative and one Country Ward Representative at a time. We must hence vet all those who have offered themselves to be our political leaders and then vote wisely as One People under God.

    She then invited me to explain to the Congregation about the Kenyans for a Clean General Election, which I did. I invited the faithful, wherever they are across Kenya, to all join in and be our Ambassadors for Peaceful Campaigns across Kenya and a Peaceful and Clean General Election to boot. This must not be left to the Church and IEBC alone. It must concern all of us that any single life lost, is that of a Kenyan.

    When I was given the opportunity, I want to believe I made some very good use of it and invited Kenyans to own the Kenyans for a Clean General Election and also join with us on 5th Jan 2013 as we launch 

    It must concern us that any single property lost is that of a Kenyan, and it must concern all of us that any one person displaced is a Kenyan.

    We must hence campaign and vote in a manner that shows that truly we are 50 years old and that we are One People under God.

    We then invited the faithfuls to join with us on the 5th January 2013 at 7.00am as we join in removing the garbage along Juja Road around the Church and later at 9.30am, as we officially launch Kenyans for a Clean General Election Campaign at a Forum in the Church Compound.

    Look and behold; how cleanliness feels! The Redeemed Gospel Church Huruma

    We at The Clean Kenya Campaign are equally happy that similar calls have come from none other than our own President- Hon Mwai Kibaki, who had this to say today; 'We must therefore carefully reflect on the leadership of this country as well as the management of our destiny as a nation. To equip ourselves for the journey ahead, we must think smart and plan carefully. We must implement programmes as scheduled and we must also work very hard'.

    These are very inspiring words and we at The Clean Kenya Campaign want to invite our brothers and sisters in Mathare to pause for a moment of reflection and countenance if the kind of violence in their midst is really necessary.

    The Church was really packed and all were excited at us working for a Clean and Peaceful General Election

    Why must brother kill brother? Why must we defecate upon our sovereign as a people? We need to advocate peace and goodwill to all mankind as we strive to build a better Kenya, one that will meet our aspirations as we celebrate our silver jubilee on 1st June 2012.

    This is a great Transformation taking place in our times and it is our sovereign duty as a people to safe guard our Independence and jealously be proud that we are Kenyans. Let the world know this.

    Let us all work for a Clean Kenya, a Clean Africa and a Clean General Election as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 


    Odhiambo T Oketch,
    Executive Director,

    The Clean Kenya Campaign- TCKC

    Tel; 0724 365 557

    Facebook; Odhiambo T Oketch 
    Facebook; Monthly Nationwide Clean up Campaign
    Mailing Groupfriendsofkcdn@ yahoogroups.com

    The Clean Kenya Campaign is an Initiative of KCDN Kenya

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] CUF yajichanganya kuhusu sera ya Muungano

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment
    [wanabidii] CUF yajichanganya kuhusu sera ya Muungano
    Ndugu Wanabidii,

    Bila shaka baadhi mlipata fursa ya kutazama kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa na kituo cha televison cha Star TV. Yalizungumzwa masuala mengi na yenye tija lakini nitapenda kugusia suala la Muungano.

    Naibu Katibu Mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro akijibu swali la mtazamaji mmoja kupitia mtandao wa Jamii Forums aliyetaka kujua kama CUF kinaunga mkono hoja ya mkataba au la. Ndugu Mtatiro alibabaika sana katika maelezo yake na katika kubabaika huko aliongeza mashaka zaidi juu ya nini hasa sera ya chama chake kuhusu Muungano. Mwisho akasema chama chake kinaunga mkono serikali tatu na kiujanjanja akajaribu kuitetea dhana ya mkataba kama vile ni haja ya makubaliano hivi ya namna ya kuendesha hizi serikali tatu na mwisho katika namna inayoonesha kumuogopa Katibu Mkuu wake ambaye moja kwa moja ametangaza hadharani tena kwenye jukwaa la kisiasa kuunga mkono mkataba akatupia mzigo kwa viongozi wa juu labda watalisemea zaidi.


    Katika maelezo ya Mtatiro nimepata mambo mawili; moja, kwamba Mtatiro binafsi haamini na hakubaliani na hoja ya mkataba lakini anashindwa kusema hadharani na Pili, kwamba CUF kama chama hawajakubaliana au hawakubaliani juu ya jambo hili. Kwa mujibu wa watetezi wa mkataba, Zanzibar inapaswa kuwa na mamlaka yake kamili kitaifa na kimataifa ikiashiria vivyo hivyo kwa Tanganyika. Ukishakuwa na Serikali ya Zanzibar na Tanganyika zenye mamlaka kamili utahitaji serikali ya tatu ya Muungano ya kazi gani na itayatoa wapi mamlaka yake wakati kila nchi ina mamlaka yake kamili mikononi mwake? Huhitaji kuwa Albert Einstein kujua kuwa hawa wanataka kuvunja Muungano. Kimsingi watetezi wa mkataba wanataka kuvunja Muungano lakini wameamua kupitia njia yenye kona nyingi kama sehemu ya kuhadaa wananchi hasa wasiotaka Muungano uvunjike.

    Nadhani ni muhimu CUF kikatolea ufafanuzi juu ya sera yake ya Muungano la sivyo itaonekana kuna vyama viwili ndani ya kimoja, kimoja kikitaka serikali tatu na kingine mkataba. Kutokuwa na sera inayoeleweka kutawachanganya watanzania na mwisho wakiacha kuwachagua mtalalamika kura zenu kuibwa au tumekosa kura kwa sababu pale wanaishi watu wengi kutoka bara!

    Namuunga mkono Zitto kuhusu mantiki ya Muungano. Kwamba tunaweza tusiwe na kitu kizima kama jiwe la kulishika mkononi na kusema hiki au huu ndio faida ya Muungano. Lakini ile heshima tulioujenga kwa Afrika kutofungwa na mipaka ya kufikirika ya kikoloni ni kitu kizito sana. Ni jambo la ajabu sana kwamba tunaheshimu sana hivi vinchi vya kikoloni ( call them Bismarck states), Tanganyika na Zanzibar kuliko nchi iliyoundwa na waafrika wenyewe( Tanzania). Pia nakubaliana naye kwamba ukiruhusu sehemu moja ya nchi kujimega unahalalisha mmomonyoko endelevu maana hakutakuwa na hoja ya kuwazuia wengine wasijitenge.

    Nafikiri ifike mahali kujadili suala la kuvuruga Muungano iwe ni mwiko kama ilivyo mwiko kwa watoto kujadili kuvunja ndoa ya baba na mama yao eti kwa kuwa walikosea taratibu za kuchumbiana!

    Nawatakia mwaka 2013 wenye baraka tele!
    Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

    DELL LATITUDE D 620 & D30

    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam

    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

    [wanabidii] Ng'ombe Hanenepi Siku Ya Mnada; Ni wakati wa kuandaa salamu za Mwaka Mpya....!

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment
    [wanabidii] Ng'ombe Hanenepi Siku Ya Mnada; Ni wakati wa kuandaa salamu za Mwaka Mpya....!

     Ndugu zangu,

    ... Najiandaa na salamu za Mwaka Mpya kwa ' Wanakijiji wangu' wa Mjengwablog, Kwanza Jamii na marafiki zangu wa FB. Imekuwa ni utamaduni niliojiwekea tangu mwaka 2006 nilipoanzisha Mjengwablog.

    Na salamu za Mwaka Mpya hutolewa mara moja tu kila mwaka, Desemba 31, ni kesho. Ni salamu za mwisho kwa mwaka na zenye kutuvusha kwenda kwenye mwaka mpya. Ni tukio muhimu sana.

    Najiandaa vipi? Ni kwa kutembea kwa miguu peke yangu japo kwa saa nzima huku nikitafakari. Kisha nitahitaji kula saladi ya matunda na vikombe vya chai ya rangi bila sukari kabla sijaanza kuyaandika niliyoyafikiri.

    Na hata kwa maandalizi hayo haimaanishi kuwa salamu haziwezi kukosa mapungufu, maana, ni kwa vile zinaandikwa na mwanadamu asiyekamilika.

    Muhimu ni kutambua, kuwa kwa kila jambo unalotaka kutenda, basi, jitahidi kufanya maandalizi. Na maanandalizi yasifanywe siku ya tukio lenyewe.

    Wahenga walisema; ng'ombe hanenepi siku ya mnada!

    Maggid Mjengwa,
    Iringa.

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] MAGAZETI YA LEO

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment

    Yasome www.mjengwablog.com

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] Mjengwablog Kutoka Na Sura Mpya Jan 1, 2013!

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment
    [wanabidii] Mjengwablog Kutoka Na Sura Mpya Jan 1, 2013!
    Heri ya Mwaka Mpya Mwenyekiti Mjengwa.
     


    Date: Sun, 30 Dec 2012 03:52:19 +0000
    Subject: [Mabadiliko] Mjengwablog Kutoka Na Sura Mpya Jan 1, 2013!
    From: mjengwamaggid@gmail.com
    To: wanabidii@googlegroups.com; mabadilikotanzania@googlegroups.com

    Ndugu zangu,
    Kutokana na maoni ya wadau mbalimbali tunayo furaha kuwatangazia, kuwa  Mjengwa Blog itatoka na muonekano mpya ifikapo Januari Mosi 2013.
    Maggid Mjengwa
    Mwenyekiti Mtendaji -Mjengwa Blog
    0788 111 765

    --
    Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
    Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
    Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
     
    TEMBELEA Facebook yetu:
    http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
     
    For more options, visit this group at:
    http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
     
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
    To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
     
     

    [wanabidii] Mjengwablog Kutoka Na Sura Mpya Jan 1, 2013!

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment

    Ndugu zangu,
    Kutokana na maoni ya wadau mbalimbali tunayo furaha kuwatangazia, kuwa  Mjengwa Blog itatoka na muonekano mpya ifikapo Januari Mosi 2013.
    Maggid Mjengwa
    Mwenyekiti Mtendaji -Mjengwa Blog
    0788 111 765

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] FreeMan Mbowe : Dr Slaa Mgombea Urais CHADEMA 2015

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment
    [wanabidii] FreeMan Mbowe : Dr Slaa Mgombea Urais CHADEMA 2015
    Katika Mkutano Mmoja huko Karatu mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
    amemtangaza Dr W P Slaa kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka
    2015 .

    Mimi Binafsi nashangaa ni Utaratibu gani umetumika kumpitisha Dr Slaa
    kama mgombea urais wa CHADEMA , Najua huwa kuna vikao na michanganuo
    kadhaa wa kadhaa kwa hapa sijui imekuwaje .

    Ndugu Tumaini Makene tunaomba utujuze au Mhe Mbowe alikuwa Anapima
    upepo tu ?

    Kwa maoni yangu ningependa kumwona Dr Slaa akupumzika amwachie nafasi
    hiyo mwingine yeye mpaka sasa ameifanyia chadema na taifa hili mengi
    akiwa mshauri itakuwa hatua nzuri zaidi asiwe kinganganizi kama
    akikubalia basi apishe utaratibu wa kidemokrasia ufanyike ili kumpata
    mgombea .

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

    DELL LATITUDE D 620 & D30

    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam

    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

    [wanabidii] What do we know about wages in Tanzania?

    Sunday, December 30, 2012 Add Comment
    [wanabidii] What do we know about wages in Tanzania?

    Let's think together: Every Sunday the World Bank in Tanzania in collaboration with The Citizen wants to stimulate your thinking by sharing data from recent official surveys in Tanzania and ask you a few questions.

    How much a worker earns for her or his labor is important for different reasons. First, it matters with regard to poverty since labor income counts usually for an important share of households' revenue. Secondly, it influences firms' competitiveness, especially for labor intensive activities such as manufacturing and agriculture. Thirdly, it is relevant for equity as anybody should expect a fair remuneration for his efforts. It is therefore not surprising that wages have attracted a lot of attention from economists and policy makers across the world over the years.

    In Tanzania, only one third of workers report earning a wage for their labor. However, this number is growing relatively fast, especially in urban areas. A look at the statistics collected from the Tanzanian private sector highlights three interesting results:

    • The average wage in the private sector was about Tsh78,000 per month (or USD 45) in 2011, which was barely above the subsistence level
    • Between 2000 and 2011, labor earnings have multiplied by approximately 60 percent, after adjusting for inflation
    • Real wages declined by almost 10 per cent from 2008 to 2011, possibly reflecting a slowdown in demand for labor by private firms.

     

    The situation of wage workers in the private sector can be compared that of civil servants. This comparison reveals that public employees not only earned on average 3.4 times more than private employees in 2011 but they have also not witnessed a decline in their real wages during the recent years. On the contrary, real public wages have risen by 32 per cent between 2008 and 2011.

    If the wage premium in favor of public employees reflects their higher level of education, it is more difficult to explain why the gap between private and public wages doubled from 1.7 in 2000 to 3.3 in 2011.

    These statistical observations point to the following questions:

    • Is the average private wage sufficient to lift Tanzanian households out of poverty?
    • Do low private wages reflect the low productivity or an excess of supply of workers (fueled by the rapid population growth rate)?
    • Should wages be automatically adjusted in line with the inflation rate?
    • Are public employees paid too much compared to private workers even if they are more educated (two thirds of them report having secondary education against 12 per cent for the rest of the population)?
    • To what extent do the recent increases in real public wages reflect higher bargaining ability or productivity gains?

     

    Note: The statistics above are based on the 2008/09 and 2010/11 National Panel Survey, the 2000 Household Budget Survey, the 2006 Integrated Labor Force Survey, and the IMF's World Economic Outlook Database (October 2012 version). Data from these sources are publicly available and results can be readily replicated.

    Link: http://blogs.worldbank.org/africacan/what-do-we-know-about-wages-in-tanzania

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] G-Mail Filling up

    Saturday, December 29, 2012 Add Comment
    [wanabidii] G-Mail Filling up
     
    My G-Mail address is filling up but I do not want to delete some mail. I'm now at 98% full. Does anyone know how I can store some of the mail ? Are there archives on g-mail that can absorb such material?
     
    Courage
     

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] VYAKULA VYA GMO MADUKANI KWETU

    Saturday, December 29, 2012 Add Comment
    [wanabidii] VYAKULA VYA GMO MADUKANI KWETU

    Ndugu zangu


    Nilikuwa natafuta vyakula Fulani Fulani vya watoto na moja ya kitu nilichokuwa naangalia kwenye kila bidhaa ni kama vyakula hivyo vina nembo zenye kuonyesha kama ni GMO au la , Nilipata bidhaa kama 3 hivi zilizokuwa na chapa inayosema NON GMO kwa zile bidhaa zinazotoka nje ya nchi haswa Ulaya Na Marekani .


    Bidhaa hizi nimezikuta katika duka la shoprite mlimani city ,hii imekuwa ishara nzuri maana tumejadili mara kadhaa kuhusu bidhaa kuwekwa nembo kama ni GMO au la hii nimeiona kwa mara ya kwanza hapo Shoprite .


    Hili sio Tangazo la biashara ila ni kuleta mjadala huu mpana zaidi kuhusu bidhaa zinazotokana na GMO haswa vyakula ambavyo inasemekana vipo nchini na watu wanatumia na tumekuwa tukisikia au kusoma kuhusu madhara ya bidhaa hizi sehemu mbalimbali duniani .


    Kama una ushuhuda wowote kuhusu GMO kwa kanda ya afrika mashariki au popote ulipo tunaweza kutupa kutumia mtiririko wa mjadala huu au tuma kwenda wanabidii@googlegroups.com kama wewe sio mwanachama wa Wanabidii na wengine wataweza kusoma mchango wako .


    Karibu tuendelee kujadiliana huku tukijenga nchi zetu .


    Unaweza kusoma au kujifunza zaidi kuhusu GMO kwa kutembelea 


    http://www.raiamwema.co.tz/chembe-hai-za-ng%E2%80%99ombe-nge-zachanganywa-kutengeneza-ng%E2%80%99ombe-mpya


    http://en.wikipedia.org/wiki/Genetically_modified_organism


    http://www.whfoods.com/genpage.php?tname=george&dbid=207



    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
     

    [wanabidii] Thanks for the Enthusiasm; Kenyans for a Clean General Election

    Saturday, December 29, 2012 Add Comment


    Friends,

    In line with our 3 Thematic Areas, and working with our Partners, we are happy that the Kenyans for a Clean General Election Campaign is receiving great support across all Kenya.

    Many people have written to us expressing their desire to work with us in this Campaign and many more have called me. And we want to encourage all of us to join in and be part of great transformation.

    This morning, to help cement the planning process, we had a meeting with Mr. Walter Mong'are aka Nyambane at The Clean Kenya Campaign offices to explore how the Campaign will be driven.

    The Ward Manager Madam Faith, Oto,  Mr. Nyambane, Ms Kiptugen, Arnorld- the IEBC Embakasi South Coordinator and his Team 

    It is our desire that all the 14.3 Million Kenyans who registered as voters come out and vote for their preferred candidates on the 4th March 2013 in a peaceful manner, and wait for the results a happy lot.

    Peacenet Kenya have indicated to us that they will join in this Campaign and we are happy that we shall partner with them in Mombasa, Langata, Kamukunji and Kisumu.

    We are in major discussions with more players and we are inviting as many Kenyans as possible to own this Campaign. Kenyans for a Clean General Elections will be our sure way of celebrating our Silver Jubilee with our heads held high.

    I want to appreciate the following Teams for being part of the Kenyans for a Clean General Election;

    1. The Public Service Transformation Department
    2. The Independent Electoral and Boundaries Commission
    3. A Better World/SOFDI,
    4. Africa Youth Trust,
    5. Safe and Friendly Cities for All,
    6. The Provincial Administration Nairobi,
    7. The City Council of Nairobi,
    8. The Municipal Council of Mombasa,
    9. The Municipal Council of Kisumu,
    10. PeaceNet Kenya

    Let us all work for a Clean Kenya, a Clean Africa and a Clean General Election as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 


    Odhiambo T Oketch,
    Executive Director,

    The Clean Kenya Campaign- TCKC

    Tel; 0724 365 557

    Facebook; Odhiambo T Oketch 
    Facebook; Monthly Nationwide Clean up Campaign
    Mailing Groupfriendsofkcdn@ yahoogroups.com

    The Clean Kenya Campaign is an Initiative of KCDN Ken

    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
    Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
     
    DELL LATITUDE D 620 & D30
     
    80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
    DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
     
    TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
     
    CALL : 0786 806028
    Free Delivery in Dar es salaam
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.